Imagine ukoo mzima sina ndugu hata mmoja Dar! Ni huzuni ilioje

Imagine ukoo mzima sina ndugu hata mmoja Dar! Ni huzuni ilioje

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Jamani kama una ukoo kama wangu ambao ukoo mzima hamna ndugu hata mmoja Dar basi una safari ndefu sana.

Yamenikuta mara 1000 haya majanga

Kuna biashara naifanya na ninapata wateja wengi wa Dar lakini nashindwa kufanikisha kwasababu sina ndugu wa kumuagiza kunichukulia mizigo yangu na kunitunzia then wateja waje hapo wachukue.

KIFUPI KAMA UNA UKOO WOTE MNAPATIKANA MKOA MMOJA TU AU MIWILI BASI JISEMEE.
“Eeh Mungu nifanyie Wepesi”
 
Jamani kama una ukoo kama wangu ambao ukoo mzima hamna ndugu hata mmoja Dar basi una safari ndefu sana.

Yamenikuta mara 1000 haya majanga

Kuna biashara naifanya na ninapata wateja wengi wa Dar lakini nashindwa kufanikisha kwasababu sina ndugu wa kumuagiza kunichukulia mizigo yangu na kunitunzia then wateja waje hapo wachukue.

KIFUPI KAMA UNA UKOO WOTE MNAPATIKANA MKOA MMOJA TU AU MIWILI BASI JISEMEE.
“Eeh Mungu nifanyie Wepesi”
Duuh kweli unasikitisha! Wengine tuna ndugu hadi kuwaambia unaenda Dar,unachagua maana usipowaona ni lawama balaa!
 
Jamani kama una ukoo kama wangu ambao ukoo mzima hamna ndugu hata mmoja Dar basi una safari ndefu sana.

Yamenikuta mara 1000 haya majanga

Kuna biashara naifanya na ninapata wateja wengi wa Dar lakini nashindwa kufanikisha kwasababu sina ndugu wa kumuagiza kunichukulia mizigo yangu na kunitunzia then wateja waje hapo wachukue.

KIFUPI KAMA UNA UKOO WOTE MNAPATIKANA MKOA MMOJA TU AU MIWILI BASI JISEMEE.
“Eeh Mungu nifanyie Wepesi”
Njoo pm tuyajenge.Mimi niko dar hapa down town ila natokea kanda ya ziwa.
 
Kama ambavyo unaona kufika Dar n mafanikio bc na Mm sina ndugu Marekani lkn hata sijawahi kulalamika
 
Jitahidi uwe wa Kwanza kwenye Ukoo kuwa na Makazi Dar.Kisha vuta wengine.Watie Moyo wanaukoo wengine waende Amerika au Asia wakaanzishe himaya huko.Kama mko Mkoa mmoja tawanyikeni.Aliniusia babu kwamba ndugu msikae Kijiji kimoja,mtagombana.Toka kwenda sekondari ndiyo mwanzo wa Familia na Ukoo Kutawanyika Mikoa na Nchi zingine.
 
Jitahidi uwe wa Kwanza kwenye Ukoo kuwa na Makazi Dar.Kisha vuta wengine.Watie Moyo wanaukoo wengine waende Amerika au Asia wakaanzishe himaya huko.Kama mko Mkoa mmoja tawanyikeni.Aliniusia babu kwamba ndugu msikae Kijiji kimoja,mtagombana.Toka kwenda sekondari ndiyo mwanzo wa Familia na Ukoo Kutawanyika Mikoa na Nchi zingine.
Mi niko mkoa mwingine
 
Jamani kama una ukoo kama wangu ambao ukoo mzima hamna ndugu hata mmoja Dar basi una safari ndefu sana.

Yamenikuta mara 1000 haya majanga

Kuna biashara naifanya na ninapata wateja wengi wa Dar lakini nashindwa kufanikisha kwasababu sina ndugu wa kumuagiza kunichukulia mizigo yangu na kunitunzia then wateja waje hapo wachukue.

KIFUPI KAMA UNA UKOO WOTE MNAPATIKANA MKOA MMOJA TU AU MIWILI BASI JISEMEE.
“Eeh Mungu nifanyie Wepesi”
Geuza marafiki au tafuta marafiki wawe ndugu kuna watu wengi sana wanaishi na marafiki kama ndugu na issue zinaenda vizuri kuliko ndugu
 
Back
Top Bottom