Imam aliyeishi Italy miaka 30 afukuzwa baada ya kuagiza waislamu waanze vita dhidi ya wasioamini katika uislamu

Imam aliyeishi Italy miaka 30 afukuzwa baada ya kuagiza waislamu waanze vita dhidi ya wasioamini katika uislamu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.

Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618
 
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact....


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618

Hebu mwangalie tu sura yake, sijui Magaidi huwa wanakuwa na pepo gani mkubwa hivi

Mbaya zaidi hapo anawaambia wenzie wafight kwa wasio waislam LASIVYO they will face the quencequences, Sasa hao Waislam wenzake wana tatizo gani na wasio waislam

Ugaidi ni Ushetani kabisa
 
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact....


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618
 
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact....


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618
 

Attachments

  • images - 2024-10-25T062939.570.jpeg
    images - 2024-10-25T062939.570.jpeg
    14.7 KB · Views: 3
Kweli Mungu alisema nimemchukia Esau nimemkubali Isaka. Watoto wa esau walikataliwa tangu kuzaliwa kwao ndio maana hawana chakupoteza kwao vita, kujitoa muhanga , kuua ni kawaida.
Warumi 9:13
Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.
 
Wagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo

Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam

Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam

Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile

Hizo ni propaganda
 

Attachments

  • Screenshot_20241105-085918.jpg
    Screenshot_20241105-085918.jpg
    206.6 KB · Views: 3
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact....


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618

Huo ni uonevu tu dhidi ya Uislam, kosa la Imam hapo ni lipi wakati Allah mwenyewe (عليه السلام) ndiye amesema Uislam ndiyo dini khakhi na ameagiza kwamba watu wote waufuate uislam.

سورة آل عمران (3:19):

("إن الدين عند الله الإسلام وما اختلف الذين أوتوا الكتاب إلا من بعد ما جاءهم العلم بغيا بينهم ومن يكفر بآيات الله فإنه )

So hao wataliano wamemuonea tu Sheikhe, wakati anafannya kazi ya Allah.

Lazima tuandamane kumuunga mkono Sheikhe na pia kupinga hatu dhidi yake.
Najua nchi zinazotunza ardhi takatifu za waislam zitamchukua hyuyu Imam, kuna Yemen, Saudia, Somalia hizi zitampokea tu
 
Huo ni uonevu tu dhidi ya Uislam, kosa la Imam hapo ni lipi wakati Allah mwenyewe (عليه السلام) ndiye amesema Uislam ndiyo dini khakhi na ameagiza kwamba watu wote waufuate uislam.

سورة آل عمران (3:19):

("إن الدين عند الله الإسلام وما اختلف الذين أوتوا الكتاب إلا من بعد ما جاءهم العلم بغيا بينهم ومن يكفر بآيات الله فإنه )

So hao wataliano wamemuonea tu Sheikhe, wakati anafannya kazi ya Allah.

Lazima tuandamane kumuunga mkono Sheikhe na pia kupinga hatu dhidi yake.
Najua nchi zinazotunza ardhi takatifu za waislam zitamchukua hyuyu Imam, kuna Yemen, Saudia, Somalia hizi zitampokea tu
Mkaambiwa muwaue wote wasio waislam?
 
Huo ni uonevu tu dhidi ya Uislam, kosa la Imam hapo ni lipi wakati Allah mwenyewe (عليه السلام) ndiye amesema Uislam ndiyo dini khakhi na ameagiza kwamba watu wote waufuate uislam.

سورة آل عمران (3:19):

("إن الدين عند الله الإسلام وما اختلف الذين أوتوا الكتاب إلا من بعد ما جاءهم العلم بغيا بينهم ومن يكفر بآيات الله فإنه )

So hao wataliano wamemuonea tu Sheikhe, wakati anafannya kazi ya Allah.

Lazima tuandamane kumuunga mkono Sheikhe na pia kupinga hatu dhidi yake.
Najua nchi zinazotunza ardhi takatifu za waislam zitamchukua hyuyu Imam, kuna Yemen, Saudia, Somalia hizi zitampokea tu
Kabisa mkuu sasa huyo Imam ndio kashiba dini na uislam ndivyo unavyotaka misimamo kama hiyo na ukiona mtu anampinga huyo Imam basi haijui dini vyema ni uonevu wa wazi wazi kabisa.
 
Soma, tafakari, ndio upost. Huu

Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
mbona mashoga wengi wanapatikana maeneo yenye waislamu wengi??
 
Back
Top Bottom