Imam aliyeishi Italy miaka 30 afukuzwa baada ya kuagiza waislamu waanze vita dhidi ya wasioamini katika uislamu

Imam aliyeishi Italy miaka 30 afukuzwa baada ya kuagiza waislamu waanze vita dhidi ya wasioamini katika uislamu

Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.

Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618

Huyo mzee ni msharii muonekano tu unaonyesha.
 

Attachments

  • images - 2024-10-25T062723.391.jpeg
    images - 2024-10-25T062723.391.jpeg
    60.1 KB · Views: 2
Wagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo

Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam

Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam

Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile

Hizo ni propaganda
Italy imeanzisha ukristo?? Kipindi gani hiko
 
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.

Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618

Huku ujerumani wanaotoka nchi za kiislamu wanareport Auslandbehorde(Uhamiaji) kila miezi mitatu kwa ajili ya security check. Kuna mbangladesh amebadili passport na kuhamia uraia wa india maana yeye ni muhindi raia wa bangladesh. Alichoka mambo ya kureport kila miezi mitatu.
 
Wangeng'oa na hiyo minywele kwanza ndo wamrudishe kwao
 
Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.

Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.


View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618

Alitakiwa anyongwe na maupuzi yake
 
Soma, tafakari, ndio upost. Huu

Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Weka ushahidi ya unachosema. Na ujue Pakistan ndiyo nchi inaongoza duniani kwa kuangalia ngono ya za mashoga duniani. Ni fursa kwake kwenda kuwakemea hao wapakistani wenzake ambao wanashinda mtandaoni kuangalia ushoga ili na wao wakafanyiane wao kwa wao
 
ukifatilia vizuri unagundua kumbe ugonjwa wa akili tuu...hakuna dini palee kw kobaz
 
Wagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo

Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam

Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam

Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile

Hizo ni propaganda
Nahii ndio maana halisi ya unafiq, kwaio boko haram wanaoteka wasichana nakuwasilimisha kwalazima wale niwapentekoste sio waislam eeeh
 
Nchi ya watu umeifadhiwa unaleta sharia za Jangwani kwenu...!
Haya Mamtu ni majinga kweli kweli kuanzia kubazi mpaka ndevu ni ufala tu.

Hivi mtu huwezi ishi bila dini? Napata picha dini ni biashara.
 
Wagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo

Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam

Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam

Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile

Hizo ni propaganda
Soma post # 22
👇 👇
Kweli eeh...!
 
Soma, tafakari, ndio upost. Huu

Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Msikilize huyu mama hapa chini ujue mashoga ni akina nani hasa.

Hapa Zanzibar tu kuna makadhi na maimamu wanaosalisha ibada misikitini wanamiliki wasenge manyumbani mwao bila aibu..
 
Back
Top Bottom