Huyo mzee ni msharii muonekano tu unaonyesha.Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.
View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618
Kweli eeh...!Tunawasaidie ili wajiunge na dini ya haki, hatuwaui
Soma, tafakari, ndio upost. Huu
Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Italy imeanzisha ukristo?? Kipindi gani hikoWagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo
Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam
Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam
Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile
Hizo ni propaganda
Hivi ndo vitu mnavofundishana madrassa?Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo
Kwa hiyo ni kusema hizi ndiyo amri zao kumi?naona waliongeza zikawa 12 ili isionekane wameiga mahali au kwa wenzaoKweli eeh...!
Huku ujerumani wanaotoka nchi za kiislamu wanareport Auslandbehorde(Uhamiaji) kila miezi mitatu kwa ajili ya security check. Kuna mbangladesh amebadili passport na kuhamia uraia wa india maana yeye ni muhindi raia wa bangladesh. Alichoka mambo ya kureport kila miezi mitatu.Alipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.
View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618
Kwa hiyo ni kusema hizi ndiyo amri zao kumi?naona waliongeza zikawa 12 ili isionekane wameiga mahali au kwa wenzao View attachment 3144286
Alitakiwa anyongwe na maupuzi yakeAlipewa hifadhi miaka 30 Italy uzunguni, ghafla kaingiwa na ile mizuka yao na kuanza kuhubiri ugaidi wa kiislamu kwamba waislamu wote waanze vita dhidi ya wasiaomini kwenye hiyo dini.
Swali la kujiuliza, hii dini imebuniwa juzi tu, miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, waumini wake wanajiaminisha vipi kwamba wana uwezo wa kuua kila asiye wa hiyo dini, maana huu ugaidi tunaushuhudia leo na choko choko zote hizi zinafanywa na waislamu, it's fact.
View: https://x.com/realMaalouf/status/1850249916842389618
Weka ushahidi ya unachosema. Na ujue Pakistan ndiyo nchi inaongoza duniani kwa kuangalia ngono ya za mashoga duniani. Ni fursa kwake kwenda kuwakemea hao wapakistani wenzake ambao wanashinda mtandaoni kuangalia ushoga ili na wao wakafanyiane wao kwa waoSoma, tafakari, ndio upost. Huu
Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Nahii ndio maana halisi ya unafiq, kwaio boko haram wanaoteka wasichana nakuwasilimisha kwalazima wale niwapentekoste sio waislam eeehWagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo
Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam
Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam
Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile
Hizo ni propaganda
Weka chanzo cha taarifa yako.Soma, tafakari, ndio upost. Huu
Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.
Soma post # 22Wagalatia Kwa propaganda wapo vizuri Muislam gani katika Dunia hii atakayetaka Italy iwe nchi ya kiislam? Wakati hiyo ndio nchi iliyoanzisha dini ya ukristo
Hata wapagani wapo wengi kuliko waislam
Lakini Quran inasema hakuna kulazimishana katika dini hivyo sidhani kama Kuna Muislam atapingana na hili andiko na kuanza kuwalazimisha watu wawe waislam
Lakini pia uislam unakaza kuuwa mtu bila ya uatia awe dini yoyote Ile
Hizo ni propaganda
Kweli eeh...!
Hivi nyie Uislamu mnauchukuliaje?Weka chanzo cha taarifa yako.
Na kuna huyu maamuma mwingine alishambulia watu huko Uingereza kisa wamekula mdudu (a.k.a kiti-moto)..
View: https://x.com/realMaalouf/status/1853524113664401631?t=ZSqvKyK_rxJYjl0UFPH5FA&s=19
Msikilize huyu mama hapa chini ujue mashoga ni akina nani hasa.Soma, tafakari, ndio upost. Huu
Huyo imamu kapinga ushoga ndio sababu na humu mashoga wameisha shupaa. Ushoga upingwe tu hata kama Vatican inasapoti au kukaa kimya.