Humu anakua mpole....[emoji1]Muiteni dada yenu (kindakindaki) aje ashuhudie..!
Nyuzi kama hizi faiza anakimbia....Muiteni dada yenu (kindakindaki) aje ashuhudie..!
Asiyekuelewa hapa atakuwa mfuasi wa huyo sheikhAaa wapi shekh aseme tu kwamba ni mfuasi wa kufyokoa kwenye "shimo la mbolea"
Kawaida ya ndoa za kiislam ukitaka kuoa lazima uwe na mshenga upeleke posa na wazazi wa ke lazima wamfahamu muoaji. Sasa kwa mazingira hayo inamaana wazazi wa shoga nao walibariki ndoa pia shekh aliyefungisha ndoa nae hakustuka kwamba wawili hao walikuwa madume??
Inamaana wakati wa kunjunjana shoga alikuwa anaficha wapi kende na mkuyenge wake??
Watu walishawahi kusema kuwa kuna mambo mengine hata Shetani naye huwa anasingiziwa!
Aaa wapi shekh aseme tu kwamba ni mfuasi wa kufyokoa kwenye "shimo la mbolea"
Kawaida ya ndoa za kiislam ukitaka kuoa lazima uwe na mshenga upeleke posa na wazazi wa ke lazima wamfahamu muoaji. Sasa kwa mazingira hayo inamaana wazazi wa shoga nao walibariki ndoa pia shekh aliyefungisha ndoa nae hakustuka kwamba wawili hao walikuwa madume??
Inamaana wakati wa kunjunjana shoga alikuwa anaficha wapi kende na mkuyenge wake??