Imam atolea maelezo jinsi inaruhusiwa kuteka na kuua watu kwenye uislamu

Imam atolea maelezo jinsi inaruhusiwa kuteka na kuua watu kwenye uislamu

“Jaribuni kuwa wasafi kila muwezavyo. Kwa hakika Allah swt ameweka misingi ya Islam juu ya usafi; hivyo kamwe mtu mchafu haingii peponi
Basi Mmeambiwa mfuate Shirki Ya Mtume na Allah.. Obey Allah and Obey Messenger

يَـٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ أَطِيعُوا۟ ٱللَّهَ وَأَطِيعُوا۟ ٱلرَّسُولَ وَأُو۟لِى ٱلْأَمْرِ مِنكُمْ ۖ فَإِن تَنَـٰزَعْتُمْ فِى شَىْءٍۢ فَرُدُّوهُ إِلَى ٱللَّهِ وَٱلرَّسُولِ إِن كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِٱللَّهِ وَٱلْيَوْمِ ٱلْـَٔاخِرِ ۚ ذَٰلِكَ خَيْرٌۭ وَأَحْسَنُ تَأْوِيلًا ٥٩

O believers! Obey Allah and obey the Messenger and those in authority among you. Should you disagree on anything, then refer it to Allah and His Messenger, if you ˹truly˺ believe in Allah and the Last Day. This is the best and fairest resolution.

Kwahiyo Messenger wenu kawafundisha mchambe kwa kutumia Jiwe mkishatoa haja kubwa, na Mkojo wa Punda muwe mnakunywa..

Kama Usafi Mtume wenu alitawadha na Maji machafu ya mtaro yenye mikojo na mbwa na damu za hedhi kisha akaenda kuswali
 
Alikuwepo kafiri mkubwa akiitwa Abujah..huyu alikua kafiri mkubwa kuliko kafiri wewe. Lkn kaucha uislam ukienea mpaka hivi sasa Marekani na Ulaya wanasilimu makundi kwa makundi
Hivi kati ya makundi yanayoingia kwenye ushoga na yanayoingia kwenye uislamu yapi ni makubwa?
 
Sasa mbona hao waarabu hawaachi kiwapiga matukio mkienda huko kwao japo nyie mnawaona ndugu zenu katika Imaan mzee nyengine

Andika kiswahili watu wafahamu au andika ya kiarabu lugha ya binaadam baada ya kufufuliwa
Naona wewe umelewa pombe ya kidini ambayo ni mbaya zaidi kushinda ile pombe haramu na hatari ya kienyeji inayoitwa kill me quickly au maziko saa nane.
 

Attachments

  • Screenshot_20240118-211433.jpg
    Screenshot_20240118-211433.jpg
    534.6 KB · Views: 2
Alikuwepo kafiri mkubwa akiitwa Abujah..huyu alikua kafiri mkubwa kuliko kafiri wewe. Lkn kaucha uislam ukienea mpaka hivi sasa Marekani na Ulaya wanasilimu makundi kwa makundi
Tuna Mungu tofauti, ila shetani wetu mmoja..!!
 
Hehehe Jamaa siku hizi kama umepagawa vile, hizi hadithi za waarabu zinakuchizisha...
Mungu wa Wayahudi anazo nguvu nyingi sana kuzidi wenu
Mkuu hawa watu ni wagonjwa akili inayosababishwa na utafutaji wa bikra

Ndio maana sasa hivi wanawahishwa kwa nguvu kwenda kupata hizo bikra
 
Mbona waoga 😅😅😅kule si mnaua yatatimia tu ,kisasi ni haki ya kila mtu lazima nanyi mpate kichapo.
 
Itolewe FATWA kuwa Waisilamu wasifuate aya na hadithi zenye kuamuru kuua Watu.

Au Dini ifanyiwe marekebisho ili iende na Modern times.
 
Kama dini ya kiisilamu isingekuwepo,dunia ingekuwa salama sana
Vita vya 1 na 11 walipigana wakiristo kwa wakiristo tena wakauana sana. Vita vya 111 vinaelekea vitakuwa baina ya waislam na mayahudi kwa kusaidiwa wakiristo tunaona mashariki ya kati, Nani mgomvi hapo?
 
Enyi watu! Kwa hakika tumekuumbeni (nyote) kwa (yule) mwanaume (mmoja, Adamu) na yule yule) mwanamke (mmoja Hawaa). Na tumekufanyeni mataifa na makabila (mbalimbali) ili mjuane (tu basi, siyo mkejeliane). Hakika aheshimiwaye sana miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule ambaye mcha Mungu zaidi katika nyinyi. Kwa yakini Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, Mwenye habari (za mambo yote)". (49:13).

Kumbe Mwenyezi Mungu baada ya kutuumba kutokana na nafsi moja, bado alitugawa katika mataifa na makabila tofauti tofauti, lakini si kwa lingine bali ili tuweze kujuana.

Hebu na turejee katika Hadithi ya Mtume (s.a.w.) iliyosimuliwa na Abi Nadhrah, kwamba alimsimulia mtu aliyesikia khutuba ya Mtume (s.a.w.) aliyoitoa katikati ya siku za Tashriq akisema:

"Sikilizeni, hakika Mola wenu ni mmoja na hakika baba yenu ni mmoja. Hakuna ubora kwa Mwarabu kwa asiyekuwa Mwarabu wala hakuna ubora wa mwekundu kwa mweusi wala mweusi ju ya mwekundu. Isipokuwa kwa kumcha Mwenyezi Mungu


UNAYO HOJA NYENGINE?
Mtu ana malaria 2 bado mnamsikiliza
 
Back
Top Bottom