Imani potofu huchangia sana umaskini

Imani potofu huchangia sana umaskini

Kuna mtoto wa jirani mtaa wa pili kamezoea kila nikipita kakiniona lazima kanipungie,japo hajawai kuniona hanakwahana basi tu ivo kakiona gari kanaikimbilia na kuipungia. Sasa leo nimepita kwa mguu nilivokaona nikakaita, nikamuuliza jina na ufaham wa hapa na pale. Lkn kakaniomba ela kakadai kana njaa hawajala,mama yao kaenda kwenye kibaruani(ni mtoto km miaka minne ivi).
Basi nikamuita mkubwa wake ambae ana umri km miaka 8,9 ivi nikaenda nako dukani nikamuemelea mchele, sukari, mafuta, chumvi, na mahitaji muhimu ya kula. Nikampandisha kwenye boda ninaemfahamu na kunifahamu akampereka nyumbani.
Nashangaa boda huyo ananipigia simu eti kamkuta mamake mtoto karudi yuko nyumbani, amekataa kupokea huo mzigo eti siku izi watu wanachukua nyota za watu kupitia misaada izo, kanamwambia boda arudi navyo. Kwaio ananihisi huo msaada wangu una lengo lake.
Kwa mazingira ya hiyo familia na hivyo huyo mtoto alivyonambia ana njaa ndo ikanishawishi nimsaidie na ni kweli alionekana ana njaa,na niliplan kumfanyia mengine zaidi. Na si kwamba mamake hanifahamu...ananifahamu. Kwanini maskini ukimpa kitu cha bure anahisi ni mtego na ukimwambie akilipie anaona ni gharama au unataka umuibie!? Nimelishangaa sana hili.
Umefanya wema wameukataa. Huna kosa wala usijilaumu hastahili wema wako huyo mama.
 
Wakati huo huo utamkuta huyo maza kwenye foleni ya neti za mgao from American people.

Wabongo nuksi sana. 😎

Hauna baya mkuu. Live.

-Kaveli-
 
Umefanya jambo zuri Sana

Ila usipende Sana kuwasaidia masikini

Kwanini nasema hivi

Masikini ambaye unabidi umsaidie awe ni yule ambaye hawezi kutafuta riziki Mlemavu ,mgonjwa n.k

Maana hawa masikini wa akili wanatabia mbaya na wanaweza kukuua na kukupoteza na kukuletea kesi .


Kuna Dada nilimsaidia nikampa chakula na nikamnunulia kinywaji

Nilifanya hivi baada ya kumuona ananyonuesha so alikuwa hajala nikampa chakula na kinywaji

Ila nilipata taarifa zake baada ya kumsaidia zlikuwa negative


Wewe umefanya vizuri kujitoa kwa mtoto Ila mama mtoto amefirikia wewe mchawi , haufai n.k.

So kutoa ni jambo zuri Ila walenge wahitaji wa kweli nenda hata magerezani uwapelekee sabuni nenda vituo vya watoto yatima
 
Umefanya jambo zuri Sana

Ila usipende Sana kuwasaidia masikini

Kwanini nasema hivi

Masikini ambaye unabidi umsaidie awe ni yule ambaye kutafuta riziki Mlemavu ,mgonjwa n.k

Maana hawa masikini wa akili wanatabia mbaya na wanaweza kukuua na kukupoteza na kukuletea kesi .


Kuna Dada nilimsaidia nikampa chakula na nikamnunulia kinywaji

Nilifanya hivi baada ya kumuona ananyonuesha so alikuwa hajala nikampa chakula na kinywaji

Ila nilipata taarifa zake baada ya kumsaidia zlikuwa negative


Wewe umefanya vizuri kujitoa kwa mtoto Ila mama mtoto amefirikia wewe mchawi , haufai n.k.

So kutoa ni jambo zuri Ila walenge wahitaji wa kweli nenda hata magerezani uwapelekee sabuni nenda vituo vya watoto yatima
Ni kweli boss
 
Wakati huo huo utamkuta huyo maza kwenye foleni ya neti za mgao from American people.

Wabongo nuksi sana. 😎

Hauna baya mkuu. Live.

-Kaveli-
nimejifunza kitu lkn
 
Na bora ukose vyote

Ila uwe na good mindset


Bora ukawa hauna hela Ila usiwe na fixed mindset

Maana nimeona familia Fulani wanamwaga sukari kilo 50 shimoni kisa aliyewapa huo msaada wanahisi ni mtego

Ukiwa masikini wa akili you can't move anywhere
 
Back
Top Bottom