Imani, Upendo, Miujiza: Kutawala Dar leo

Imani, Upendo, Miujiza: Kutawala Dar leo

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Leo ndio Ile siku ya kutawanya Imani, Upendo na Miujiza jijini Dar. Karibuni Sana Kawe, Mbagala, Gongo la Mboto na Kimara. Hatumwi mtoto dukani leo.

images (57).jpeg

 
Hii nchi ya ajabu Sana ,baada ya hayo matukio sjui ya kongamano , hyo pollution ya makaratasi ya matangazo Nani ataitoa na kuyabandua , ??
 
Muwaite na watu wa chanjo mpate chanjo ni bure.
 
Uta sikia serikari ina peleka chanjo karbu na uo mkusanyiko
 
Uta sikia serikari ina peleka chanjo karbu na uo mkusanyiko
Ndio mpango mzima; unatoka kutoa sadaka unapitia kuchanjwa, unatoka kuokoka unapitia kuchanjwa, ukidondoka mapepo tunakuombea tunakuchanja..
 
Hii nchi ya ajabu Sana ,baada ya hayo matukio sjui ya kongamano , hyo pollution ya makaratasi ya matangazo Nani ataitoa na kuyabandua , ??
Mvua itanyesha yote yatabanduka,usijitie mawazoni bure
 
Leo ndio Ile siku ya kutawanya Imani, Upendo na Miujiza jijini Dar. Karibuni Sana Kawe, Mbagala, Gongo la Mboto na Kimara. Hatumwi mtoto dukani leo.

Hamna miujiza yeyote huko mkuu tuache ujinga wa kuamini watu wa nje. Omba Mungu tu atakusaidia si mpaka ufuate Wazungu ndipo Mungu atakusikia, tuache imani hii ya kijinga. Wazungu hawa hawa hawafanyi hivi huko kwao ila wakitaka hela za haraka haraka ndipo wanakuja hapa Afrika kudanganya wananchi na kuwachota akili. I promise you this, nenda hapo kaombe anything kwa Mungu uone kama atakupa....there's nothing therer zaidi ya kupoteza tu muda na kuchotwa akili. #WaafrikaTuamke
 
Back
Top Bottom