Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tutayaombea yapoteeHii nchi ya ajabu Sana ,baada ya hayo matukio sjui ya kongamano , hyo pollution ya makaratasi ya matangazo Nani ataitoa na kuyabandua , ??
nimekuona mkuu ulikuwa unatoa ushuhuda wa kupata mume!Nakuja kutoa ushuhuda wangu huko
Ndio mpango mzima; unatoka kutoa sadaka unapitia kuchanjwa, unatoka kuokoka unapitia kuchanjwa, ukidondoka mapepo tunakuombea tunakuchanja..Uta sikia serikari ina peleka chanjo karbu na uo mkusanyiko
😅😅😅😅nimekuona mkuu ulikuwa unatoa ushuhuda wa kupata mume!
Ulipendeza.
Mvua itanyesha yote yatabanduka,usijitie mawazoni bureHii nchi ya ajabu Sana ,baada ya hayo matukio sjui ya kongamano , hyo pollution ya makaratasi ya matangazo Nani ataitoa na kuyabandua , ??
Kila la heriLeo ndio Ile siku ya kutawanya Imani, Upendo na Miujiza jijini Dar. Karibuni Sana Kawe, Mbagala, Gongo la Mboto na Kimara. Hatumwi mtoto dukani leo.
Hamna miujiza yeyote huko mkuu tuache ujinga wa kuamini watu wa nje. Omba Mungu tu atakusaidia si mpaka ufuate Wazungu ndipo Mungu atakusikia, tuache imani hii ya kijinga. Wazungu hawa hawa hawafanyi hivi huko kwao ila wakitaka hela za haraka haraka ndipo wanakuja hapa Afrika kudanganya wananchi na kuwachota akili. I promise you this, nenda hapo kaombe anything kwa Mungu uone kama atakupa....there's nothing therer zaidi ya kupoteza tu muda na kuchotwa akili. #WaafrikaTuamkeLeo ndio Ile siku ya kutawanya Imani, Upendo na Miujiza jijini Dar. Karibuni Sana Kawe, Mbagala, Gongo la Mboto na Kimara. Hatumwi mtoto dukani leo.