Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Umesahau wanaotuletea zawadi ya TENDE na Nyama za Ngamia.Hamna miujiza yeyote huko mkuu tuache ujinga wa kuamini watu wa nje. Omba Mungu tu atakusaidia si mpaka ufuate Wazungu ndipo Mungu atakusikia, tuache imani hii ya kijinga. Wazungu hawa hawa hawafanyi hivi huko kwao ila wakitaka hela za haraka haraka ndipo wanakuja hapa Afrika kudanganya wananchi na kuwachota akili. I promise you this, nenda hapo kaombe anything kwa Mungu uone kama atakupa....there's nothing therer zaidi ya kupoteza tu muda na kuchotwa akili. #WaafrikaTuamke
Tena wao ndiyo wasanii wakubwa, mtu anasali mara 5 kwa siku ndani ya nyumba anafuga majiniUmesahau wanaotuletea zawadi ya TENDE na Nyama za Ngamia.
Bila Ndevu Taliban wanakunyongaTena wao ndiyo wasanii wakubwa, mtu anasali mara 5 kwa siku ndani ya nyumba anafuga majini
Mkuu huo wali unapatikana wapi?wajinga ndiyo waliwao
Yaani wale jamaa wanataka mtu awe mchaafu, asioge, asinyoe, asivae chupi zaidi ya magunia yao, eti kuna watanzania wanaolilia kwenda kuishi huko kwenye amani.Bila Ndevu Taliban wanakunyonga