Imani Yetu Kuhusu Uwepo wa Mungu Inakiuka Uwezo Wetu wa Kufikiri Katika Kupatia!!!

Imani Yetu Kuhusu Uwepo wa Mungu Inakiuka Uwezo Wetu wa Kufikiri Katika Kupatia!!!

Kwanza habari za kujua mambo yote zimekujaje dogo?


Fuatilia post zako mbili za nyuma ndio utagundua kosa lako lipi,

Unaongea kitu dakika 2 mbele unasahau this is Amnesia

And one of the psychotic disoder


"WA IBADU RAHMAN LLADHIYINA YAMSHUUNA ALLAL ARDHWI HAUNAUW WAIDHAA KHATWABA HUMUL JAHILUUNA QALUU SALAMA" Alfurqan

"Na waja wema wa RAHMAN mwingi wa rehema ni wale wanaotembea kwa staha na wajinga wakiwasemeza hujibu salama"

SALAMA
 
Fuatilia post zako mbili za nyuma ndio utagundua kosa lako lipi,

Unaongea kitu dakika 2 mbele unasahau this is Amnesia

And one of the psychotic disoder


"WA IBADU RAHMAN LLADHIYINA YAMSHUUNA ALLAL ARDHWI HAUNAUW WAIDHAA KHATWABA HUMUL JAHILUUNA QALUU SALAMA" Alfurqan

"Na waja wema wa RAHMAN mwingi wa rehema ni wale wanaotembea kwa staha na wajinga wakiwasemeza hujibu salama"

SALAMA
Sawa Dogo kalale sasa.
 
Sawa Dogo kalale sasa.


"AUDHU BILLAH MINA SHAYTWANI RAJIIM"

Nimeanza kwa kumlaani shetan maana maneno yako yanaongozwa na shetan kwa sisi waungwana shetani ni adui yetu


"INNA SHAYTWANA LAKUM ADUWIN FATTAKHIDHU ADUWAN" Quran 35:6

"Hakika shetani ni adui kwenu basi mfanyeni kuwa adui"
 
ANGALIZO: Kama suala la Mungu ni suala lisilopaswa kuhojiwa, basi mada hii haikufai!!

Ukweli mchungu ni kwamba, dunia imejaza watu ambao uwezo wetu wa kufikiri upo below the average! Kutokana na ukweli huo, mara nyingi kama sio zote, upande wa wengi unakuwa ndio upande wa losers na wachache wanakuwa ndio wamepatia!!

Haijalishi ni wapi! Hata Marekani, majority ni wale walio below the average kwa kuzingatia viwango vya Marekani na kwahiyo wao ndio losers katika nyanja husika!

Ukienda Korea ya Kusini au popote pale, nako ni hivyo hivyo… watu wengi wanakuwa ndio below the average na kwa maana nyingine wanakuwa kwenye losing side na wachache ndio wanaokuwa wamepatia!

Dunia ina rundo la maskini (losers) ukilinganisha na matajiri (waliopatia)!

Rudi darasani wakati ulipokuwa mwanafunzi! Majority ni wale waliokuwa kwenye losing side! Kama ni average school, Div I & II ni chache (waliopatia) lakini itajaza losers wa Div IV! Hata hizo Div I, Div I kali (waliopatia) zitakuwa ni chache ukilinganisha na Div I za mafungu (losers among Div I's)!

Hata kwa best schools kama Mzumbe, Ilborou, Tabora Boys/Girls, Feza, Marian n.k; majority wanakuwa kwenye losing side kwa viwango vya shule hizo! Kama ni Form VI, Div I Point III & IV (waliopatia) utapata chache huku shule zikijaza Div I za kawaida (losers)!

Hata ukienda Harvard, MIT n.k; kote huko hali ndo hivyo hivyo!!! Dunia imeshuhudia akina Newton wachache zaidi (waliopatia) ukilinganisha na akina sie! Imeshuhudia greatest philosophers wachache zaidi ukilinganisha na average philosophers!

Hata ukija kwenye Sanaa, kati ya mamilioni ya wasanii duniani, ni wachache tu ndio walio kwenye winning side lakini majority ni losers!

Tumia mfano mwingine wowote kwenye njanja yoyote hata ile ya kipuuzi kabisa kisha tujuzane wapi majority wamekuwa kwenye wining side!!!

Kinyume chake, source mbalimbali zinaonesha Waislamu, Wakristo na Wayahudi wanatengeneza zaidi ya 57% ya watu wote duniani.

Wote hao wanaamini katika Mungu… Mungu Mmoja!!

Inawezekana takwimu hizo zisiwe sahihi lakini ukweli usio na shaka ni kwamba, nchi kama Tanzania, Waislamu na Wakristo ndio wanaounda idadi kubwa ya watu kuliko wasioamini katika Mungu! Je, ni kwamba hapa ndipo tumepatia by exceptionalism?

Nenda Kenya, Afrika Kusini, Marekani na nchi kadhaa za Ulaya, Mashariki ya Kati na Amerika; kote huko idadi kubwa maradufu ya population ni Wakristo na Waislamu wanaoamini katika Mungu!

NOW, ikiwa ushahidi usio shaka unaonesha kwamba upande wa wengi ndio losing side; vipi katika hili la Mungu?!

How come kwenye jambo complex kama hili majority wawe ndio waliopatia?!

Je, inawezekana sote sisi tumepotea kwa sababu inadhihirika wazi kwamba, a larger subset kwenye nyanja mbalimbali ndiyo inakuwa haijapatia?!

c.c Malcom Lumumba, zitto junior, Mkuu Palantir, nimeona wito wako kwenye mada ya Michael Jackson na Cloning... just bad week, but naja!

Tunapofanya reasoning huwa hatimaye tunakuja ku-draw conclusion kwa kutumia logic, maana yake katika hali ya kawaida binadamu muda wote huwa anatumia logical reasoning katika kila jambo maisha yake yote. Ndiyo maana ni rahisi kwa mtu mwenye akili timamu, kuweza kumgundua mtu mwingine ambaye hana akili timamu kwa sabau asiyekuwa na akili timamu hatumii logic muda wote, kiasi kwamba anweza akaona hata Lori la mizigo linakuja barabani, halafu yeye akaamua kukatiza barabara. Hata wewe hapo ulipo ikitokea kwa bahati mbaya ukafanya blunder, marafiki zako au office mates watakusuta na kukuambia maneno kama "unafanya kitu kama huna akili timamu". Ukikutana na maneno kama hayo ujue kuwa ulichofanya, logical reasoning haikutumika!

However, inapokuja issue ya Mungu, kunaibuka mambo mengi sana ambayo logical reasoning doesn't work any more. Inapofikia hatua hii hata Profesa anakuwa puzzled na ndiyo maana si kitu cha ajabu kumkuta ameenda kwa mganga wa kienyeji,ambaye possibly anaweza akawa hata hajui hata aeiou, wakati Profesa mwenyewe ana knowledge ya ajabu kichwani kwake. Ninachotaka kusema hapa ni kwamba Mungu asilimia kubwa sana ana operate katika ulimwengu wa roho ambao BOTH LOGICAL AND ILLOGICAL REASONING apply! Juzi nilitoa mfano humu humu kuwa kule Ukara Mwanza kuna jiwe ambalo hata ukileta grader haiwezi kulitikisa, lakini lina uwezo wa kucheza kwa kutikiswa na kidole kimoja baada ya kuwa limeambiwa maneno. Hapa unaweza kuona kuwa katika reasoning ya kawaida, it was logical kwamba jiwe lile licheze baada ya kuwa limesukumwa na nguvu kubwa kama ya grader, na ILLOGICAL kucheza baada ya kuwa limesukumwa kwa ncha ya kidole na kuwa limesikia maneno kutoka kwa mtu. Na tangu lini jiwe likasikia sauti?,...., completely illogical

The thing is, we actually lack the required standards that would lead us to the accommodation of proper knowledge of the presence of God. Watu wengi sana wanakuwa wana kitu sahihi kuhusu Mungu lakini hawana tools za kuweza kukitetea kitu hicho, kwa hiyo ikitokea akapewa hoja ambayo ni challenging kuhusu Mungu, anakata sentensi moja tu anasema Mungu hahojiwi. Hapana, Mungu anahojiwa isipokuwa hatuna proper knowledge inayoweza kutufanya tukasimama kutetea hoja zetu sahihi kuhusu Mungu.
Finally, in the spritual realm, both the logical and illogical work. Nadhani hoja yako nitakuwa nimeigusa kidogo
 
Tunapofanya reasoning huwa hatimaye tunakuja ku-draw conclusion kwa kutumia logic, maana yake katika hali ya kawaida binadamu muda wote huwa anatumia logical reasoning katika kila jambo maisha yake yote. Ndiyo maana ni rahisi kwa mtu mwenye akili timamu, kuweza kumgundua mtu mwingine ambaye hana akili timamu kwa sabau asiyekuwa na akili timamu hatumii logic muda wote, kiasi kwamba anweza akaona hata Lori la mizigo linakuja barabani, halafu yeye akaamua kukatiza barabara. Hata wewe hapo ulipo ikitokea kwa bahati mbaya ukafanya blunder, marafiki zako au office mates watakusuta na kukuambia maneno kama "unafanya kitu kama huna akili timamu". Ukikutana na maneno kama hayo ujue kuwa ulichofanya, logical reasoning haikutumika!

However, inapokuja issue ya Mungu, kunaibuka mambo mengi sana ambayo logical reasoning doesn't work any more. Inapofikia hatua hii hata Profesa anakuwa puzzled na ndiyo maana si kitu cha ajabu kumkuta ameenda kwa mganga wa kienyeji,ambaye possibly anaweza akawa hata hajui hata aeiou, wakati Profesa mwenyewe ana knowledge ya ajabu kichwani kwake. Ninachotaka kusema hapa ni kwamba Mungu asilimia kubwa sana ana operate katika ulimwengu wa roho ambao BOTH LOGICAL AND ILLOGICAL REASONING apply! Juzi nilitoa mfano humu humu kuwa kule Ukara Mwanza kuna jiwe ambalo hata ukileta grader haiwezi kulitikisa, lakini lina uwezo wa kucheza kwa kutikiswa na kidole kimoja baada ya kuwa limeambiwa maneno. Hapa unaweza kuona kuwa katika reasoning ya kawaida, it was logical kwamba jiwe lile licheze baada ya kuwa limesukumwa na nguvu kubwa kama ya grader, na ILLOGICAL kucheza baada ya kuwa limesukumwa kwa ncha ya kidole na kuwa limesikia maneno kutoka kwa mtu. Na tangu lini jiwe likasikia sauti?,...., completely illogical

The thing is, we actually lack the required standards that would lead us to the accommodation of proper knowledge of the presence of God. Watu wengi sana wanakuwa wana kitu sahihi kuhusu Mungu lakini hawana tools za kuweza kukitetea kitu hicho, kwa hiyo ikitokea akapewa hoja ambayo ni challenging kuhusu Mungu, anakata sentensi moja tu anasema Mungu hahojiwi. Hapana, Mungu anahojiwa isipokuwa hatuna proper knowledge inayoweza kutufanya tukasimama kutetea hoja zetu sahihi kuhusu Mungu.
Finally, in the spritual realm, both the logical and illogical work. Nadhani hoja yako nitakuwa nimeigusa kidogo
Ukiwa fyatu kama akina sie unaweza kuhoji yale yanayosemwa ni matokeo ya Mungu! Na hata hao Waumini wanaosema suala la kuhoji, mnazungumzia "kumhoji" Mungu! Unamhoji Mungu kwa sababu tayari umeshaafiki uwepo wake na ndio maana unamhoji vinginevyo, usingemhoji!

Hoja yangu sio kumhoji Mungu bali kuhoji existence yake! Ni hii existence yake ndiyo imenifanya kuwa puzzled kwamba, how come jambo complex kama hili asilimia kubwa ya wanadamu wanasimama pamoja na kuafiki uwepo wake?!

Uzoefu unaonesha wengi huwa hawapatii... na ndio maana nikatoa mifano rahisi kabisa kuonesha ni namna gani kila palipo jambo basi wanaopatia ni wachache ukilinganisha na "losers!"
 
Uwepo wa Mungu uko pale pale, ila kuna nadharia ambazo zimesambazwa zinazofanya wengi wasijue uhalisia. Hivyo ni kweli kwamba majority ni wamepotoka kwa sababu mungu wanayemwamini sio huyo Mungu wa kweli.
Nini kinakufanya uamini Mungu unayemwamini wewe ndie Mungu wa kweli na yule anayeaminika na wengine awe Mungu wa makaratasi?!
 
Ukiwa fyatu kama akina sie unaweza kuhoji yale yanayosemwa ni matokeo ya Mungu! Na hata hao Waumini wanaosema suala la kuhoji, mnazungumzia "kumhoji" Mungu! Unamhoji Mungu kwa sababu tayari umeshaafiki uwepo wake na ndio maana unamhoji vinginevyo, usingemhoji!

Hoja yangu sio kumhoji Mungu bali kuhoji existence yake! Ni hii existence yake ndiyo imenifanya kuwa puzzled kwamba, how come jambo complex kama hili asilimia kubwa ya wanadamu wanasimama pamoja na kuafiki uwepo wake?!

Uzoefu unaonesha wengi huwa hawapatii... na ndio maana nikatoa mifano rahisi kabisa kuonesha ni namna gani kila palipo jambo basi wanaopatia ni wachache ukilinganisha na "losers!"

Kama nilikuewewa vizuri, ulisema hauna shaka na uwepo wa Mungu isipokuwa una shida na uwepo wa dini, niko sahihi?
 
Mimi ni mwanasayansi na mwanateknolojia hapo baadae.

Mada nyingine ni za kijinga kweli!
Ni huo Uanasayansi fake wako au huo Uanatelojia unaotarajia kuwa nao ndio uliokufundisha kuwa na lugha za hovyo?
Kwa hiyo kwa sababu mashoga na wasagaji ni wachache kuliko waliostraight inamaanisha wao wako sahihi????
Yaani ndo Mwanasayansi wewe?! Kwani kuna akili yoyote inayotumika katika kuamua kuwa shoga au msagaji?!
Mnahoji Mungu, kila saa Mungu, kila siku Mungu, kwani mnamdai mini Huyo Mungu?
Mada inahoji God's existence na kwahiyo huwezi kukidai kitu ambacho bado unahoji uwezekano wa uwepo wake! Yaani pamoja na kuwa Mwanasayansi bado unashindwa na simple logics kama hizi!!!
Kama uhai ni kitu rahisi hivyo mbona kwa maendeleo ya sayansi na technology tulonayo hatujaweza kuumba hata jani tu achilia mbali sisimizi?
Sasa hoja yako inahusiana vipi na mada yangu?! Naona kama bado upo kule kule kuhusu yale "yanayosababishwa na Mungu" wakati mada inahoji uwezekano wa uwepo wake!
Wewe kukosa uwezo wa kufikiri sawasawa usianze kumsingizia Mungu wala dini.
Mbona kwa maelezo yako hapo juu unaonekana mweupe sana!!!!
Hivi unamfahamu Sir Isaac Newton?
Simfahamu ila namsoma tu kama unavyomsoma wewe Mwanasayansi wetu!!!
Na unajua uwezo wake kiakili ulikuwaje?
Na unajua alikuwa anaamini mini kuhusu Mungu?
Na unajua kazi zake nyingi zilikuwa zinahusu nini?
Illogical questions!! Kwahiyo reference yako kuhusu uwepo wa Mungu ni Isaac Newton sio?! A truly a wanna be scientist!
Ngoja nikwambie kitu, hata kutokuamini Mungu inaweza kuwa dini pia.
Mr. Scientist, unaweza kunikumbusha ni sehemu ipo kwenye mada hii nimeongea masuala ya dini?!
Afrika kwa sehemu kubwa mpaka sasa watu hawaamini katika dini.
Mbona hueleweki?! How come unazungumzia hoja ya uwezekano wa imani ya kidini halafu hapo hapo tena unaunganishia hoja inayo-reject imani ya dini?
Angalia wasukuma wengi hawajui Kanisa wala Msikiti, haya uwezo wao kiakili ukoje?
What is wengi?! Mimi nimekupa percentage... how come mtu unayejigamba eti Mwanasayansi unaishia kusema "wengi!"?
Tuache upuuzi wa kumhoji Mungu tukijiona ndio tuna Miakili Mingiiiii kumbe ni majinga tu!
Hivi wewe ni Mwanasayansi au ni Mwana Sayansikimu?! Mbona unashindwa kuelewa mantiki ndogo kama hii?!

Narudia, ukitaka kuiweka mada hii kwenye lugha nyepesi ni kwamba inahoji God's existence! Kwahiyo hiyo hoja yako ya eti kumhoji Mungu ni completely irrelevant in this subject! Kwahiyo kama kumhoji Mungu ni upuuzi basi upuuzi huo unaufanya wewe na hao wenzako manake mada hii haimhoji Mungu bali inahoji uwepo wa Mungu!

Mtu anayehoji uwepo wa Mungu hawezi kumhoji Mungu kwa sababu, anayemuhoji Mungu ni yule ambae ameshajiridhisha uwepo wake!

I doubt kama unaweza kuelewa!!!
 
Kama nilikuewewa vizuri, ulisema hauna shaka na uwepo wa Mungu isipokuwa una shida na uwepo wa dini, niko sahihi?
Hapana... sijazungumzia kabisa suala la dini! Ukirejea post yako ya kwanza kwangu, umenielewa vizuri sana na umeeleza vizuri sana!!!

Hoja yangu ni kwamba, kila panapohitajika matumizi ya akili, basi kwenye any population, mara nyingi kama sio zote wachache wanakuwa ndo wapo kwenye right side! Kinyume chake, kwenye complex issue kama ya God's existence, over 55% percent of the world population believe in God's existence!

Now, ikiwa kwenye mambo mengi kama siyo yote yanayohitaji kutumia akili and/or reasoning, larger population inakuwa kwenye wrong side, should we consider it as exceptionalism kwamba though the largest world's population believe in God's existence but still hawa ndio wapo sahihi contrary to my belief kwamba wengi wanakuwa kwenye wrong side?!

Above is just a wise version of arguing "does it imply God doesn't exist" cuz' no one point in time the largest population ever been right against the few!!!
 
Labda michael esien
Ni ngumu kukubaliana kwa sababu hakuna ushahidi au uthibitisho convincing.Dhana unayoitumia wewe ni argument of first cause na design ambazo zote ni mfu.

Ukisema binadamu ni complex lazima awe na designer, then hata Mungu lazima naye atatakiwa awe na designer.

Je aliyemdesign Mungu ni nani?
 
Uko mjinga sana
HAKIKA.

MFANO;

Unapolala kila siku unaelewa ni kipi kinachokufanya ulale(catalyst)?

Unalalaga saa ngapi na ni kipi kinachokuamsha?

Ndoto unazootaga ni nani anazianzisha ukiwa usingizini kila siku?

Na kwanini huyo anayekuanzishia hizo ndoto zipo zitazotafsirika na zingine hazitatafsirika, je kwanini akupangie masharti kwa namna ya hizo ndoto zitakavyokujia?

So upeo wetu Binadamu ni 0% kwa aliyetupatia pumzi/uhai, sema tu sababu "kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani" ndiyomaana unakutana na mbegu zisizojielewa kama akina hawa waleta mada.

Maana tunajiuliza vitu ambavyo hata tukipewa miaka 1000 ya kuvifanyia utafiti, bado hatutaweza kuvipatia ufumbuzi, maana yeye aliyetuumba tayari alishatuwekea ukomo wa ufahamu wetu kwa vile ambavyo hatupaswi kuvifahamu.
 
Hakuna mwana technologia mjinga ivyo
Mimi ni mwanasayansi na mwanateknolojia hapo baadae.

Mada nyingine ni za kijinga kweli!

Kwa hiyo kwa sababu mashoga na wasagaji ni wachache kuliko waliostraight inamaanisha wao wako sahihi????

Mnahoji Mungu, kila saa Mungu, kila siku Mungu, kwani mnamdai mini Huyo Mungu?

Kama uhai ni kitu rahisi hivyo mbona kwa maendeleo ya sayansi na technology tulonayo hatujaweza kuumba hata jani tu achilia mbali sisimizi?

Wewe kukosa uwezo wa kufikiri sawasawa usianze kumsingizia Mungu wala dini.

Hivi unamfahamu Sir Isaac Newton?
Na unajua uwezo wake kiakili ulikuwaje?
Na unajua alikuwa anaamini mini kuhusu Mungu?
Na unajua kazi zake nyingi zilikuwa zinahusu nini?

Ngoja nikwambie kitu, hata kutokuamini Mungu inaweza kuwa dini pia.

Afrika kwa sehemu kubwa mpaka sasa watu hawaamini katika dini.

Angalia wasukuma wengi hawajui Kanisa wala Msikiti, haya uwezo wao kiakili ukoje?

Tuache upuuzi wa kumhoji Mungu tukijiona ndio tuna Miakili Mingiiiii kumbe ni majinga tu!
 
Hapana... sijazungumzia kabisa suala la dini! Ukirejea post yako ya kwanza kwangu, umenielewa vizuri sana na umeeleza vizuri sana!!!

Hoja yangu ni kwamba, kila panapohitajika matumizi ya akili, basi kwenye any population, mara nyingi kama sio zote wachache wanakuwa ndo wapo kwenye right side! Kinyume chake, kwenye complex issue kama ya God's existence, over 55% percent of the world population believe in God's existence!

Now, ikiwa kwenye mambo mengi kama siyo yote yanayohitaji kutumia akili and/or reasoning, larger population inakuwa kwenye wrong side, should we consider it as exceptionalism kwamba though the largest world's population believe in God's existence but still hawa ndio wapo sahihi contrary to my belief kwamba wengi wanakuwa kwenye wrong side?!

Above is just a wise version of arguing "does it imply God doesn't exist" cuz' no one point in time the largest population ever been right against the few!!!

Kwa hiyo argument yako ni kwamba kuna watu wachache wenye maisha mazuri na ambao hawaamini uwepo wa Mungu na pia kuna wengi wenye maisha mabaya na ambao wanaamini uwepo wa Mungu, siyo? Hapana sina uhakika na huu utafiti, siwezi kutoa comment juu ya hilo.

Hata hivyo, kama kweli kuna utafiti umeonyesha hivyo, basi yawezekana kabisa kuwa tatizo letu linaweza kuwa kwenye post niliyoiweka hapo chini. Naomba uisome post hiyo hapo chini. Wengi wetu huwa hatushiki kitu kimoja. Japo post hii inaongelea case ya Afrika, lakini watu wote huwa tuko hivyo, when it comes to religious beliefs, na si Afrika tu. Ukitaka ku-excel vizuri katika maisha, unatakiwa uchague kimoja tu na si vyote. Hao wachache unaowaona wana maisha mazuri, naamini ni wale walioshika kimoja tu na si vinginevyo, na ninaamini idadi kubwa ya hao ni wale wanaoamini uwepo wa Mungu.

Otherwise inabidi u-provide emperical data kunifanya niamini otherwise. Tudadavulie hapa JF tuone hizo data zako wewe umezipata kutoka wapi! By the way, wewe unaamini uwepo wa Mungu? Ni maskini? Na kama ni maskini, unadhani kuwa umaskini wako umetokana na kuamini kwako kwa uwepo wa Mungu?

SOMA HAPA CHINI🙁 Ni post imewekwa humu na Evarist Chahali iDec 3, 2018 la sikupenda kuweka link yake kwa sababu content na title havina uhusiano)

Kabla sijaingia kwa kina kwenye mada hii, naomba kutanabaisha background yangu kidogo. Nilipokuwa mwaka wa tatu UDSM nilibahatika kusoma kozi ya Sosholojia ya Dini (Sociology of Religion). Na kwa bahati zaidi, mwalimu wetu alikuwa Dkt Father Sivalon, Padre wa Kanisa Katoliki huyu, ambaye PhD Thesis yake ni rejeo muhimu kwenye stadi za mahusiano kati ya Dini na dola Tanzania (itafute ukipata wasaa).

Katika kozi hiyo pamoja na mambo mengine tulifundishwa kuhusu "imani" kuu tatu nchini Tanzania. Ya kwanza ni kiitwacho African Traditional Religions (ATRs), Uislamu na Ukristo. Both Uislam na Ukristo zinafahanika kama "dini za kimapokeo" yaani zilizokuja baada ATRs.

Ni hivi, kabla ya ujio wa dini hizo za kimapokeo, babu na bibi zetu walikuwa na imani kwenye mizimu. Na mizimu hiyo ilikuwa ya aina mbili, the living dead na the dead dead. The living dead ni mizimu ya watu waliokufa na kuzikwa kwa kuzingatia mila za jamii husika na inaendelea kuenziwa kwa vitu kama kuwapatia watoto wachanga majina ya babu zao waliofariki au matambiko.

The dead dead on the other hand ni mizimu iliyosahaulika. Na hadi leo hii, maeneo ambapo kunatokea vifo vinavyopelekea baadhi ya marehemu "kusahaulika" mfano Kitonga, Machinjioni (Dar), Wami, nk yamekuwa yakihusishwa na the dead dead kwa maana ya "hasira ya mizimu hiyo kutelekezwa."

Naomba kukumbusha kuwa somo hili lilikuwa linafundishwa na Padre. Na in some way lilikuwa lina conflict vs imani yake kama Mkatoliki. Lakini kama tujuavyo kwenye usomi, sentiments hazina fursa vs facts.

Kama ilivyo kwa Waislamu na Wakristo wanavyoamini katika Mungu, kwenye ATRs concept ya "mungu" ilikuwa ya kibinadamu zaidi, kwa sababu "miungu" were in fact watu waliowahi kuishi na jamii husika, wakaenziwa wakati wa vifo vyao, na baada ya vifo vyao.

Lakini pia kulikuwa na watu wenye majukumu mbalimbali katika jamii ikiwa ni pamoja na matabibu. Mind you hakukuwa na hospitali wakati huo. Hawa ni watu walioweza kuponya wagonjwa na kuzuwia majanga.

Fast forward miaka kadhaa baadaye, ukaja Uislamu na baadaye Ukristo. Na dini zote mbili zilifanya jitihada kubwa kukemea na kupambana na ATRs. Hata hivyo, zote hazikufanikiwa "kuua" ATRs na fast forward 2018, "dini" kubwa zaidi Tanzania ni ATRs, ikifuatiwa na Waislamu na nafasi ya tatu ni Wakristo.

Ni kwamba, baada ya Uislamu na Ukristo kushindwa kuangamiza ATRs, kilichofuata ni co-existence. Kwahiyo miongoni mwa Waislamu kuna "waumini" wa ATRs na hivyohivyo miongoni mwa Wakristo, na ndio maana ATRs ina "waumini" wengi zaidi kuliko dini hizo mbili za kimapokeo. Yaani wakati hakuna Mkristo ambaye pia ni Muislam, na hakuna Muislam ambaye pia ni Mkristo, ATRs zina Waislamu na Wakristo lukuki.

Asili ya ushirikina: kwa kifupi kabisa (maana ni mada ndefu hii) ushirikina ni corruption ya nguvu za asili ambazo awali zilitumika kama taaluma ya utabibu kwenye ATRs. Kwamba zama hizo, hawa watu wenye nguvu za kutibu walikuwa na jukumu moja tu la kutibu wenye matatizo ya kiafya.

However, muingiliano kati ya ATRs na dini za mapokeo uliopelekea nguvu hizo kuwa corrupted ambapo badala ya kutumika kwa nia njema tu (kama kutibu maradhi nk) zilitumika pia kudhuru watu. Kwa kifupi kabisa, hiyo ni asili ya ushirikina.

Fast forward to zama hizi tukizonazo: dini katika asili yake ni jitihada za mwanadamu kiimani kumudu mazingira yake. Dini ni imani. Na dini inahusu zaidi "mazingira" ie uhai, afya, kifo, mafanikio, nk.

Sasa pale dini za mapokeo zinapoonekana kushindwa "kutatua matatizo ya kimazingira" watu wanakimbilia kwenye ATRs. However, hakuna mtu anayekiri kuhusu hili japo ni ukweli usiofichika.

Kwa bahati mbaya au makusudi, ushirikina umekuwa sehemu muhimu katika medani za uongozi, tangu ngazi ya familia hadi kitaifa. Imani huko maofisini ni kwamba huwezi kuongoza kama "upo mweupe." Na kuna imani kuwa "kama hujakwangwa vya kutosha, wabaya wako watakukaanga."

Nirejee kwangu. Kwa bahati nzuri katika ukoo wangu kuna ndugu wawili ambao sio tu ni waganga bali pia ni waumini wa ATRs. Kama "mwana-Sosholojia ya Dini" hii imekuwa fursa muhimu kwangu kufanya "tafitu zisizo rasmi" kuhusu nafasi ya ushirikina katika nyanja mbalimbali za maisha ya Watanzania.

Hali sio nzuri. Ushirikina umevuka kiwango kiasi kwamba sio suala la aibu tena, bali ni sifa muhimu ya kufanywa uogopwe. Ukijua kuhusu "Vita vya kishirikina" zinazoendelea hata muda huu, unaweza kukata tamaa kukesha unapiga kelele kuhusu chama chako na/au viongozi wake.

A number of things. Moja, ajali nyingi zinazoendelea kutokea ni sehemu ya mahitaji ya kishirikina na viongozi mbalimbali. Bwana mmoja huko Singida anadaiwa "kuondoa" zaidi ya watu 100 kwa kusababisha ajali. Watu wa kitengo wanamjua.

To make matters even worse, kumejitokeza trend mpya ambapo u-Freemason umejipenyeza kwa njia mbili: kupitia ushirikina na kutokana na mahitaji ya watu wengi "maarufu" kuhitaji fedha za haraka, na nyingi, na protection." Uzuri wa Freemason ni kwamba mwanachama wao hahangaiki kutafuta waganga. Akiwa na shida, anawasilisha ombi kwa wahusika, nao kama timu moja, wanatafuta ufumbuzi. Sambamba na hilo ni kafara za damu, ambazo kwa namna flani nazo zinachangia wimbi la ajali Tanzania.

Kuna mengi yanaendelea ambayo moja kwa moja yanaathiri medani ya uongozi lakini kwa bahati mbaya HAYAZUNGUMZIKI. Na ukijaribu kuyazungumzia, si ajabu ukaonekana mwehu. Lakini suala hili ni kama janga la Ushoga. Watu wale wale wanaokemea ushoga hadharani ndio hao hao wanalofanya mashoga wawe na followers 100k plus kwenye social media. Kama tunauchukia ushoga that much, hao followers ni akina nani kama sio "wanafiki wanaokemea ushoga hadharani lakini ni waumini faraghani"?

Pengine ni wakati mwafaka wa kuanza conversations kuhusu suala hili ambalo japo tunakwepa kuliongea hadharani, lina impact kubwa katika medani ya uongozi na mustakabali wa Tanzania yetu.

I stand to be corrected.

NB: Jedwali pichani ni hali ilivyokuwa mwaka 2010. Waweza kusoma zaidi hapa 93% believe in #Witchcraft in #Tanzania




screenshot_20181203-115051_chrome-20beta-jpeg.954428
 
Kwa hiyo argument yako ni kwamba kuna watu wachache wenye maisha mazuri na ambao hawaamini uwepo wa Mungu na pia kuna wengi wenye maisha mabaya na ambao wanaamini uwepo wa Mungu, siyo? Hapana sina uhakika na huu utafiti, siwezi kutoa comment juu ya hilo.
Sina shaka juu ya uelewa wako lakini shaka yangu ni ikiwa umenisoma! Na kama umenisoma labda umesoma comments na sio thread yenyewe! Na kama umesoma thread yenyewe, basi shaka yangu ni kwamba uliisoma kwa haraka haraka!

Vuta pumzi na nisome kwa vituo!

Hakuna niliposema wachache wenye maisha mazuri ndio wasioamini Mungu na wengi wenye maisha mabaya ndio wanaoamini Mungu!!! Nitathubutu vipi kusema hayo wakati kuna mamilioni ya watu wenye maisha mazuri na bado wanaamini Mungu!! Nitapata wapi ujasiri wa kusema hayo wakati wapo hata mabilionea wakubwa wanaoamini Mungu!!

Nilichosema ni kwamba, uzoefu unaonesha kwenye every single population, the largest subset inakuwa kwenye losing side na smallest subset inakuwa kwenye winning side!!

Kwamba, hata katika uwezo wetu wa kufikiri na kuchambua mambo, majority of the world population (larger subset) wapo below the average compared na walio above the average(small subset)!!

Kisha nikaamua kutoa mifano ya kawaida kabisa ambayo wala aihitaji the requested empirical data to prove. Nikasema, hata mnapokuwa darasani, wakali wa darasa ni wachache zaidi ukilinganisha na akina sie!

Nikasema, hata ukienda kwenye special schools ambako tunatarajia wote ni wakali, bado miongoni mwao ni wachache zaidi wanaokuwa extra-ordinary ukilinganisha na wakali wa kawaida! Na kwamba, for instance hata ukiona matokeo ya Form VI ya Mzumbe au Feza Boys tunaoamini ni wakali, ni wachache tu miongoni mwao ndio watapata Div I, Pt III au hata Pt IV kulinganisha na wale watakaopata I za kawaida!

Hata ukienda Harvard na MIT, hali ndiyo hiyo hiyo!

Na hapo ndipo nikaleta hoja ya maskini na matajiri! Kwamba, hata duniani, asilimia kubwa ya watu duniani ni maskini ukilinganisha na matajiri! Katika hili hakuna nilipolihusisha na suala la imani kwa Mungu!

Na hapo ndipo nikaita hii small subset in every population ndio inaonekana kuwa imepatia kwa jambo husika huku larger subset mara zote ikionekana kuwa in a losing side!!

Baada ya introduction hiyo, ndipo nikaja suala la kuamini uwepo wa Mungu!!! Ukiangalia official statistics, larger subset of the world population wanaamini katika uwepo Mungu na just small subset haiamini katika uwepo wa Mungu!!

Ndipo nikahoji... ikiwa mifano mingi inaonesha a larger subset inakuwa kwenye losing side, je larger subset hii inayoamini katika uwepo Mungu inaendelea kuthibitisha lile lile kwamba nao ni kwenye losing side au, ingawaje suala la Mungu ni very complex lakini bado wale wale wenye historia ya kuwa kwenye losing side kwenye hili wao wanakuwa ndio wamepatia?!
 
Sina shaka juu ya uelewa wako lakini shaka yangu ni ikiwa umenisoma! Na kama umenisoma labda umesoma comments na sio thread yenyewe! Na kama umesoma thread yenyewe, basi shaka yangu ni kwamba uliisoma kwa haraka haraka!

Vuta pumzi na nisome kwa vituo!

Hakuna niliposema wachache wenye maisha mazuri ndio wasioamini Mungu na wengi wenye maisha mabaya ndio wanaoamini Mungu!!! Nitathubutu vipi kusema hayo wakati kuna mamilioni ya watu wenye maisha mazuri na bado wanaamini Mungu!! Nitapata wapi ujasiri wa kusema hayo wakati wapo hata mabilionea wakubwa wanaoamini Mungu!!

Nilichosema ni kwamba, uzoefu unaonesha kwenye every single population, the largest subset inakuwa kwenye losing side na smallest subset inakuwa kwenye winning side!!

Kwamba, hata katika uwezo wetu wa kufikiri na kuchambua mambo, majority of the world population (larger subset) wapo below the average compared na walio above the average(small subset)!!

Kisha nikaamua kutoa mifano ya kawaida kabisa ambayo wala aihitaji the requested empirical data to prove. Nikasema, hata mnapokuwa darasani, wakali wa darasa ni wachache zaidi ukilinganisha na akina sie!

Nikasema, hata ukienda kwenye special schools ambako tunatarajia wote ni wakali, bado miongoni mwao ni wachache zaidi wanaokuwa extra-ordinary ukilinganisha na wakali wa kawaida! Na kwamba, for instance hata ukiona matokeo ya Form VI ya Mzumbe au Feza Boys tunaoamini ni wakali, ni wachache tu miongoni mwao ndio watapata Div I, Pt III au hata Pt IV kulinganisha na wale watakaopata I za kawaida!

Hata ukienda Harvard na MIT, hali ndiyo hiyo hiyo!

Na hapo ndipo nikaleta hoja ya maskini na matajiri! Kwamba, hata duniani, asilimia kubwa ya watu duniani ni maskini ukilinganisha na matajiri! Katika hili hakuna nilipolihusisha na suala la imani kwa Mungu!

Na hapo ndipo nikaita hii small subset in every population ndio inaonekana kuwa imepatia kwa jambo husika huku larger subset mara zote ikionekana kuwa in a losing side!!

Baada ya introduction hiyo, ndipo nikaja suala la kuamini uwepo wa Mungu!!! Ukiangalia official statistics, larger subset of the world population wanaamini katika uwepo Mungu na just small subset haiamini katika uwepo wa Mungu!!

Ndipo nikahoji... ikiwa mifano mingi inaonesha a larger subset inakuwa kwenye losing side, je larger subset hii inayoamini katika uwepo Mungu inaendelea kuthibitisha lile lile kwamba nao ni kwenye losing side au, ingawaje suala la Mungu ni very complex lakini bado wale wale wenye historia ya kuwa kwenye losing side kwenye hili wao wanakuwa ndio wamepatia?!

Unajua wewe huwa una tendency ya kuwatega watu maswali ili waonekane wamejichafua wenyewe wakati uliyewachafua ni wewe, just in case ingetokea wakachafuka! You think some people are not as smart as you are!

Kuhusu argument yako hapo, naomba urudi tu sasa kwenye simple principle ya uchumi kwamba resources ziko scarce. So with scarce resources, what do you expect? The chances are kunaweza kukawa na entire population somewhere ambayo watu wake wote ni maskini. Hiyo sasa ni uchumi, perhaps coupled with your argument, lakini sina hakika! However, kuna issue pia ya survival of the fittest, stugle for existence. Kuna mambo mengi nadhani
 
Sina shaka juu ya uelewa wako lakini shaka yangu ni ikiwa umenisoma! Na kama umenisoma labda umesoma comments na sio thread yenyewe! Na kama umesoma thread yenyewe, basi shaka yangu ni kwamba uliisoma kwa haraka haraka!

Vuta pumzi na nisome kwa vituo!

Hakuna niliposema wachache wenye maisha mazuri ndio wasioamini Mungu na wengi wenye maisha mabaya ndio wanaoamini Mungu!!! Nitathubutu vipi kusema hayo wakati kuna mamilioni ya watu wenye maisha mazuri na bado wanaamini Mungu!! Nitapata wapi ujasiri wa kusema hayo wakati wapo hata mabilionea wakubwa wanaoamini Mungu!!

Nilichosema ni kwamba, uzoefu unaonesha kwenye every single population, the largest subset inakuwa kwenye losing side na smallest subset inakuwa kwenye winning side!!

Kwamba, hata katika uwezo wetu wa kufikiri na kuchambua mambo, majority of the world population (larger subset) wapo below the average compared na walio above the average(small subset)!!

Kisha nikaamua kutoa mifano ya kawaida kabisa ambayo wala aihitaji the requested empirical data to prove. Nikasema, hata mnapokuwa darasani, wakali wa darasa ni wachache zaidi ukilinganisha na akina sie!

Nikasema, hata ukienda kwenye special schools ambako tunatarajia wote ni wakali, bado miongoni mwao ni wachache zaidi wanaokuwa extra-ordinary ukilinganisha na wakali wa kawaida! Na kwamba, for instance hata ukiona matokeo ya Form VI ya Mzumbe au Feza Boys tunaoamini ni wakali, ni wachache tu miongoni mwao ndio watapata Div I, Pt III au hata Pt IV kulinganisha na wale watakaopata I za kawaida!

Hata ukienda Harvard na MIT, hali ndiyo hiyo hiyo!

Na hapo ndipo nikaleta hoja ya maskini na matajiri! Kwamba, hata duniani, asilimia kubwa ya watu duniani ni maskini ukilinganisha na matajiri! Katika hili hakuna nilipolihusisha na suala la imani kwa Mungu!

Na hapo ndipo nikaita hii small subset in every population ndio inaonekana kuwa imepatia kwa jambo husika huku larger subset mara zote ikionekana kuwa in a losing side!!

Baada ya introduction hiyo, ndipo nikaja suala la kuamini uwepo wa Mungu!!! Ukiangalia official statistics, larger subset of the world population wanaamini katika uwepo Mungu na just small subset haiamini katika uwepo wa Mungu!!

Ndipo nikahoji... ikiwa mifano mingi inaonesha a larger subset inakuwa kwenye losing side, je larger subset hii inayoamini katika uwepo Mungu inaendelea kuthibitisha lile lile kwamba nao ni kwenye losing side au, ingawaje suala la Mungu ni very complex lakini bado wale wale wenye historia ya kuwa kwenye losing side kwenye hili wao wanakuwa ndio wamepatia?!

Unajua wewe huwa una tendency ya kuwatega watu maswali ili waonekane wamejichafua wenyewe wakati uliyewachafua ni wewe, just in case ingetokea wakachafuka! You think some people are not as smart as you are!

Kuhusu argument yako hapo, naomba urudi tu sasa tu kwenye simple principle ya uchumi kwamba resources ziko scarce. So with scarce resources, what do you expect? The chances are kunaweza kukawa na entire population somewhere ambayo watu wake wote ni maskini. Hiyo sasa ni uchumi, perhaps coupled with your argument, lakini sina hakika! However, kuna issue pia ya survival of the fittest, stugle for existence pia. Kuna mambo mengi nadhani
 
Back
Top Bottom