Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Siwezi kukubali kwa sababu hakuna uthibitisho ambao ni convincing.Argument unayotumia ni argument ya first cause au design ambayo haina nguvu.Kwanza tukubaliane kuwa binaadamu ana fundi aliyemuunda,ama aliyeunda mazingira na sababu za kupatikana binaadamu,Kuhusu dizaina wa huyo alietudizaini sisi huo ni mjadala mwengine.
Ukisema binadamu mwili wake ni complex hivyo lazima awe na designer, then hata Mungu atahitaji awe na designer pia.
Je Mungu designer wake ni nani?