Imani Yetu Kuhusu Uwepo wa Mungu Inakiuka Uwezo Wetu wa Kufikiri Katika Kupatia!!!

Imani Yetu Kuhusu Uwepo wa Mungu Inakiuka Uwezo Wetu wa Kufikiri Katika Kupatia!!!

chige

At the risk of sounding pompously self congratulating and uppity.

Kwa mtu aliyesoma statistics na kujua standard /bell curve/ normal distribution ataelewa umeandika nini hapo.

Na kwa nini napata tabu sana kuelezea Mungu hayupo, kwa sababu nabishana na majority iliyo chini ya bell curve.
 
ANGALIZO: Kama suala la Mungu ni suala lisilopaswa kuhojiwa, basi mada hii haikufai!!

Ukweli mchungu ni kwamba, dunia imejaza watu ambao uwezo wetu wa kufikiri upo below the average! Kutokana na ukweli huo, mara nyingi kama sio zote, upande wa wengi unakuwa ndio upande wa losers na wachache wanakuwa ndio wamepatia!!

Haijalishi ni wapi! Hata Marekani, majority ni wale walio below the average kwa kuzingatia viwango vya Marekani na kwahiyo wao ndio losers katika nyanja husika!

Ukienda Korea ya Kusini au popote pale, nako ni hivyo hivyo… watu wengi wanakuwa ndio below the average na kwa maana nyingine wanakuwa kwenye losing side na wachache ndio wanaokuwa wamepatia!

Dunia ina rundo la maskini (losers) ukilinganisha na matajiri (waliopatia)!

Rudi darasani wakati ulipokuwa mwanafunzi! Majority ni wale waliokuwa kwenye losing side! Kama ni average school, Div I & II ni chache (waliopatia) lakini itajaza losers wa Div IV! Hata hizo Div I, Div I kali (waliopatia) zitakuwa ni chache ukilinganisha na Div I za mafungu (losers among Div I's)!

Hata kwa best schools kama Mzumbe, Ilborou, Tabora Boys/Girls, Feza, Marian n.k; majority wanakuwa kwenye losing side kwa viwango vya shule hizo! Kama ni Form VI, Div I Point III & IV (waliopatia) utapata chache huku shule zikijaza Div I za kawaida (losers)!

Hata ukienda Harvard, MIT n.k; kote huko hali ndo hivyo hivyo!!! Dunia imeshuhudia akina Newton wachache zaidi (waliopatia) ukilinganisha na akina sie! Imeshuhudia greatest philosophers wachache zaidi ukilinganisha na average philosophers!

Hata ukija kwenye Sanaa, kati ya mamilioni ya wasanii duniani, ni wachache tu ndio walio kwenye winning side lakini majority ni losers!

Tumia mfano mwingine wowote kwenye njanja yoyote hata ile ya kipuuzi kabisa kisha tujuzane wapi majority wamekuwa kwenye wining side!!!

Kinyume chake, source mbalimbali zinaonesha Waislamu, Wakristo na Wayahudi wanatengeneza zaidi ya 57% ya watu wote duniani.

Wote hao wanaamini katika Mungu… Mungu Mmoja!!

Inawezekana takwimu hizo zisiwe sahihi lakini ukweli usio na shaka ni kwamba, nchi kama Tanzania, Waislamu na Wakristo ndio wanaounda idadi kubwa ya watu kuliko wasioamini katika Mungu! Je, ni kwamba hapa ndipo tumepatia by exceptionalism?

Nenda Kenya, Afrika Kusini, Marekani na nchi kadhaa za Ulaya, Mashariki ya Kati na Amerika; kote huko idadi kubwa maradufu ya population ni Wakristo na Waislamu wanaoamini katika Mungu!

NOW, ikiwa ushahidi usio shaka unaonesha kwamba upande wa wengi ndio losing side; vipi katika hili la Mungu?!

How come kwenye jambo complex kama hili majority wawe ndio waliopatia?!

Je, inawezekana sote sisi tumepotea kwa sababu inadhihirika wazi kwamba, a larger subset kwenye nyanja mbalimbali ndiyo inakuwa haijapatia?!

c.c Malcom Lumumba, zitto junior, Mkuu Palantir, nimeona wito wako kwenye mada ya Michael Jackson na Cloning... just bad week, but naja!
Ahsante sana. Karibu kwenye upagani.
 
Wawakilishi kwa maana ipi? Kwa sababu hata hao viongozi wa imani hawana cha ziada zaidi ya kuwa na elimu ambayo hata asiye kiongozi anayo elimu hiyo.

Ndiyo maana nikasema tatizo sio kuhoji bali hakuna huyo wa kujibu hizo hoja.
Mtu kama kaamka na kusema kaota kuhubiri hata ukimuuliza swali atakujibu kipuuzi!.. Lakini waliosomea Theology halafu ukamuuliza atakujibu kwa kuridhika kwako!.
Wa kuwahoji wapo, tatizo hujui kuwatafuta!.
 
Mtu kama kaamka na kusema kaota kuhubiri hata ukimuuliza swali atakujibu kipuuzi!.. Lakini waliosomea Theology halafu ukamuuliza atakujibu kwa kuridhika kwako!.
Wa kuwahoji wapo, tatizo hujui kuwatafuta!.
Kwa uelewa wangu mkuu huku kusema kwamba masuala ya Mungu hayapaswi kuhojiwa,huja pale watu wanapotaka kuhoji vitu ambavyo hatuna elimu navyo. Kuna mambo ambayo hatuyajui kwa sababu hatuna elimu nayo,na ndiyo hapa nilipopakusudia mimi na ndiyo nikasema hakuna wa kuhojiwa hayo masuala.

Kwahiyo yale ambayo tuna elimu nayo wapo wa kwenda kuwauliza,ila zaidi ya hapo huko ndiyo nadhani penye makatazo.
 
Kwa uelewa wangu mkuu huku kusema kwamba masuala ya Mungu hayapaswi kuhojiwa,huja pale watu wanapotaka kuhoji vitu ambavyo hatuna elimu navyo. Kuna mambo ambayo hatuyajui kwa sababu hatuna elimu nayo,na ndiyo hapa nilipopakusudia mimi na ndiyo nikasema hakuna wa kuhojiwa hayo masuala.

Kwahiyo yale ambayo tuna elimu nayo wapo wa kwenda kuwauliza,ila zaidi ya hapo huko ndiyo nadhani penye makatazo.
Kwa imani yangu ya kikatoliki swali lolote naweza mhoji padre/paroko na akalijibu nisichoruhusiwa ni kukashfu tu!.
 
Ahsante sana. Karibu kwenye upagani.
Kwangu kuhoji uhalali wa imani hakuna uhusiano wowote na upagani!! Najua kwenye hizi dini zetu tunaambiwa tusihoji lakini siamini, kama kweli Mungu yupo, basi alitaka aaminiwe na misukule!!!

Haya ya eti kuhoji ni kufuru mbele za Mwenyezi Mungu ni janja janja tu ya wanadamu waliofahamu in advance kwamba watashindwa kujibu baadhi ya hoja za waumini na hivyo kuhatarisha maslahi yao ya kuhudumu kama kiongozi wa dini!!!
 
chige

At the risk of sounding pompously self congratulating and uppity.

Kwa mtu aliyesoma statistics na kujua standard /bell curve/ normal distribution ataelewa umeandika nini hapo.

Na kwa nini napata tabu sana kuelezea Mungu hayupo, kwa sababu nabishana na majority iliyo chini ya bell curve.
Tumetishwa, tukatishika kwamba, ukihoji ni kukufuru na adhabu ya kufuru ni kubwa... JAHANAMU!!
 
Mimi nasoma biblia lakini sijaona Mungu kakataza kumhoji, Isaya 43:26 unikumbushe na tuhojiane, eleza mambo yako upate kupewa haki yako.

Mungu katoa ruksa kumhoji kwa lengo la kufaham ili tusiwe na mashaka mioyoni, shida tunayowauliza hao viongozi was dini wao pia hawayajui hapo lazima wakusukumie issue ya kukufuru.
Kwa kifupi hatujui mengi hata Yesu alilisema hilo "bado nikali ninayo mengi ya kuwambia lakini nikiwambia sasa mtaburst vichwa(mtakua machizi). Ndo maana kuna level za kujifunza level one, level two till advanced one, hivyo kaa mbele za Mungu anza kuuliza na kuhoji yeye anajua namna atakavyokuletea majibu ya matamanio ya moyo wako.
 
Mimi nasoma biblia lakini sijaona Mungu kakataza kumhoji, Isaya 43:26 unikumbushe na tuhojiane, eleza mambo yako upate kupewa haki yako.

Mungu katoa ruksa kumhoji kwa lengo la kufaham ili tusiwe na mashaka mioyoni, shida tunayowauliza hao viongozi was dini wao pia hawayajui hapo lazima wakusukumie issue ya kukufuru.
Kwa kifupi hatujui mengi hata Yesu alilisema hilo "bado nikali ninayo mengi ya kuwambia lakini nikiwambia sasa mtaburst vichwa(mtakua machizi). Ndo maana kuna level za kujifunza level one, level two till advanced one, hivyo kaa mbele za Mungu anza kuuliza na kuhoji yeye anajua namna atakavyokuletea majibu ya matamanio ya moyo wako.
Unaona sasa... "Mungu ametoa ruksa ya kumhoji kwa lengo la kumfahamu..."

Ukiangalia hiyo sentensi ni kwamba, mosi unatakiwa kuamini kwanza uwepo wake na ndipo uhoji hili na lile ili upate kumfahamu vizuri! Na hata ukienda kwenye Imani 12 za Kikristo, ya kwanza kabisa ni kuamini uwepo wa Mwenyezi Mungu.... na ndivyo ilivyo kwa Waislamu na Wayahudi.

Kwa maana nyingine, as long as wewe ni Mkristo, tayari unakuwa umeshaamini uwepo wa Mwenyezi Mungu! Na kama umeshaamini, huwezi tena kuhoji uwepo wake!
 
Napata kigagaziko. Kwa muktadha wa Sasa magu regime seems not be accepted by the majority, so does to say he is right!!
 
Back
Top Bottom