Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni swaumu sheikhNakazia!
Majority deceivedNapata kigagaziko. Kwa muktadha wa Sasa magu regime seems not be accepted by the majority, so does to say he is right!!
Hakubaliki na wengi wa wapi?! Ina maana huioni hii misukule tena iliyoenda shule ambayo kila siku inaimba "ubora" wa Magu?!Napata kigagaziko. Kwa muktadha wa Sasa magu regime seems not be accepted by the majority, so does to say he is right!!
Kwa uelewa wangu mkuu huku kusema kwamba masuala ya Mungu hayapaswi kuhojiwa,huja pale watu wanapotaka kuhoji vitu ambavyo hatuna elimu navyo. Kuna mambo ambayo hatuyajui kwa sababu hatuna elimu nayo,na ndiyo hapa nilipopakusudia mimi na ndiyo nikasema hakuna wa kuhojiwa hayo masuala.
Kwahiyo yale ambayo tuna elimu nayo wapo wa kwenda kuwauliza,ila zaidi ya hapo huko ndiyo nadhani penye makatazo.
Hawa wanauliza kuhusu huyo dizainaivi mnataka kuniambia kuwa mwili wa binaadamu na ubongo wake jinsi ulivyokuwa complex namna hii hauna dizaina? yani ilitokea tu kwa bahati mbaya?
Kwa mantiki hiyo tunategemea huyo designer atakuwa complex kuliko sisi alio tudizaini.Hivyo tutataka tujue je yeye alidizainiwa na nani? Na series itaendelea na kuendeleaivi mnataka kuniambia kuwa mwili wa binaadamu na ubongo wake jinsi ulivyokuwa complex namna hii hauna dizaina? yani ilitokea tu kwa bahati mbaya?
Kwanza tukubaliane kuwa binaadamu ana fundi aliyemuunda,ama aliyeunda mazingira na sababu za kupatikana binaadamu,Kuhusu dizaina wa huyo alietudizaini sisi huo ni mjadala mwengine.Kwa mantiki hiyo tunategemea huyo designer atakuwa complex kuliko sisi alio tudizaini.Hivyo tutataka tujue je yeye alidizainiwa na nani? Na series itaendelea na kuendelea
mkuu jibu langu la haraka haraka ni kuwa dizaina yupo na zaidi ya kudizaini na kutuunda sisi pia ndiye alieunda sayari hii ambayo kwa kiasi kikubwa iko suited kwa maisha ya binaadamu na viumbe,na ndie aliyeunda laws of nature na laws of the universe,na kwakuwa yeye ndie masta dizaina wa kila kitu hata reality yake yaweza kuwa tafauti na reality yetu hapa duniani,kama imewezekana black hole kuwa tafauti na solar system yetu,kuna uwezekano pia kuna reality,logic tafauti nyengine ya uumbaji na maisha.Hawa wanauliza kuhusu huyo dizaina
The greatest logic question! My name is...ivi mnataka kuniambia kuwa mwili wa binaadamu na ubongo wake jinsi ulivyokuwa complex namna hii hauna dizaina? yani ilitokea tu kwa bahati mbaya?
Jamii Forum ina vichwa vyenye upeo wa mbali sana katika ubora wa mawazo na majibu kama yako.Tatizo sio kuhoji ila ni nani wa kumhoji ambaye ndio mwenye kuweza kutoa majibu?
Wapi?Nakazia!
HAKIKA, my name is...wawakilishi wake mpaka atakapojitokeza yeye mwenyewe!/
Write your replays... Unadhani ni yupi sasa kama si yeye?Hatujakataa kuwa dizaina yupo ila mnapaswa kuthibitisha kuwa mnayemtaja ndo yeye haswa?
Uko sahihi kwa 100% Chifu.Katika hizo dini zote na madhehebu yote kuna madhehebu machache ndo yamepatia so issue ya kupatia wachache bado ipo