nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Sadaka ni ulinzi wa kirohoNimesikia kua ukiwa na biashara fulani ukatolea zaka mtaji wako na baada ya hapo ukawa mwaminifu kulipa fungu la kumi katika faida unazovuna.. hapa UTAKUA UMEMALIZA MZIZI WA FITINA WA CHUMA ULETE. hivi hii inabe applied kwa vipi wabobezi wa imani naomba ufafanuzi.
Kwa vip?jaribu uone. dawa ya moto ni maji dogo
Ufafanuzi pleaseYESU PEKEE
Duh aiseeNi vile unafikiri na kuamini
Ndo Maana watu husema Bakhiresa hutoa sana misaada.?Sadaka ni ulinzi wa kiroho
Sadaka ndiyo code ya mafaninikio na baraka kwenye kila aspect
Tusaidie ushuhuda tafadhaliIt true 100%
huu ulimwengu una watu makatili sana, they dont care about you even 1%
Siyo tu kwenye biashara hata kwa mfanyakazi, atoe 10% kwenye mshahara wake.
Sijui nitoe ushuhuda!
ItakuaNdo Maana watu husema Bakhiresa hutoa sana misaada.?
YESU ANATUFUNDISHA UPENDO NA KUSAIDIANA NA KUONEANA HURUMA SISI KWA SISIUfafanuzi please
Na sadaka si lazima uotoe kanisani, sadaka sio matangazo unapotoa toa kwa mungu... sadaka inayouma ndo hio ina maana kubwa sana kwa mungu๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผNdo Maana watu husema Bakhiresa hutoa sana misaada.?
Haiwezi kuwa hivi:Nimesikia kua ukiwa na biashara fulani ukatolea zaka mtaji wako na baada ya hapo ukawa mwaminifu kulipa fungu la kumi katika faida unazovuna.. hapa UTAKUA UMEMALIZA MZIZI WA FITINA WA CHUMA ULETE. hivi hii inabe applied kwa vipi wabobezi wa imani naomba ufafanuzi.
Peleka kanisaniYESU ANATUFUNDISHA UPENDO NA KUSAIDIANA NA KUONEANA HURUMA SISI KWA SISI
YANI FUNGU LA KUMI NIKAMPE NABII AU MTUME LABDA KAMA SINA AKILI
SI BORA NINUNUE SUKALI NIKAWAPE WAJANE NIZUNGUKE MTAANI
Outmatically anaetoa fungu la kumi anaIMANI dhabiti.. HILA mbaya huwa haiendi kwa mtu wa aina hiyo..Nimesikia kua ukiwa na biashara fulani ukatolea zaka mtaji wako na baada ya hapo ukawa mwaminifu kulipa fungu la kumi katika faida unazovuna.. hapa UTAKUA UMEMALIZA MZIZI WA FITINA WA CHUMA ULETE. hivi hii inabe applied kwa vipi wabobezi wa imani naomba ufafanuzi.
Kwamba no nguvu yeyote ya MUNGU inazuia unyama wa chuma ulete?Haiwezi kuwa hivi:
Anayetoa fungu la kumi anayo tabia ya kufanya mahesabu makali na kamilifu ya mapato, matumizi na faida yake ndiyo maana anatoa fungu la kumi kamilifu.
Hiyo inaweza kuwa ni moja ya sababu anayetoa kuwa vizuri kimahesabu kuliko hao wa bora liende. Manaake mara nyingi kile kinachoitwa ni chuma ulete huwa haswa ni matokeo ya kuibiwa au kutofanya hesabu vizuri.
How?Outmatically anaetoa fungu la kumi anaIMANI dhabiti.. HILA mbaya huwa haiendi kwa mtu wa aina hiyo..