Imeandikwa muishi nao kwa akili, akili ya kwanza hii hapa jinsi ya kuishi na wanawake

Imeandikwa muishi nao kwa akili, akili ya kwanza hii hapa jinsi ya kuishi na wanawake

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Habari wakuu

Mwanamke kama namtongoza akiniuliza una mpenzi au mke ?? Nitamjibu kwa kujiamini kabisa ndio nina mke. Watu wengi wanadhani wakisema wanamke basi watakataliwa. Lakini majibu ni kinyume chake

Hebu tutumie mfano wa duka lenye wateja wengi na lisilo na wateja,
ann7.jpg


Duka lenye wateja na lisilo na wateja je lipi lina mvuto kwa watu? Jibu ni duka lenye wateja ndio lenye mvuto kwa watu lina thamani ndio maana watu wengi huenda hapo kupata huduma.

Na sisi wanaume ni sawa na DUKA, mwanaume mwenye mwanamke mmoja au zaidi ana mvuto kwa wanawake wengine (duka lenye wateja), ndio maana ni rahisi kulala na mwanamke mwingine ambaye anajua wazi kabisa kuwa una mke lakini ikawa vigumu kulala au kumpata mwanamke huyo endapo ungekuwa huna mke yaani upo single (duka lisilo na wateja)

Mwanaume ambaye hana mwanamke hana mvuto kwa wanawake wengine, wao huamini hana thamani ndio maana wenzake wamemkataa. Ukitaka kuamini angalia watu wanaooa wake wawili tena wote wanajuana na kila mwanamke anapigania kummiliki mme peke yake hapo means mwanaume ana thamani.

Mwanamke akiniuliza una mke hua najibu ndio, akiuliza why namtaka wakati nna mke huwa najibu kwa kujiamini nataka uwe mke mdogo. Wala huwa hawachomoi.

Kwa wale ambao hampendi kuwa na wanawake wengi jitahidini hata kwa ku fake kuwa mnawanawake wengine kwa wapenzi au wake zenu. Hii inaongeza upendo na thamani ya mwanaume.

Karibuni kwa maoni zaidi, nyongeza au kukosoa hii nadharia yangu

Nawasilisha.
 
Hali iwe hivyo hivyo na kwa mkeo wala usiwe mbogo ukiskia kuna kibopa anakula mkeo kwasababu nasisi tutakukumbusha mfano wako wa Duka
Mkuu mbona una hasira
 
Ngoja niweke kambi nipate mbinu mpya..mana nimemis mbususu mpya...kula mbususu moja mwaka mzima yataka moyo sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Uongo wale wanao pata mademu wkt wakiwa na Mademu wengine!! mara nyingi huwa wananukia Mbususu!!.......ile ikinukia hata kma unauza Duka utapata wateja wengi!! wee nenda ivoivo usioge!! Ni dawa nzuri sana!! ila watu hawajui hii siri!
 
Back
Top Bottom