Imeandikwa muishi nao kwa akili, akili ya kwanza hii hapa jinsi ya kuishi na wanawake

Imeandikwa muishi nao kwa akili, akili ya kwanza hii hapa jinsi ya kuishi na wanawake

Uongo wale wanao pata mademu wkt wakiwa na Mademu wengine!! mara nyingi huwa wananukia Mbususu!!.......ile ikinukia hata kma unauza Duka utapata wateja wengi!! wee nenda ivoivo usioge!! Ni dawa nzuri sana!! ila watu hawajui hii siri!
Kwahiyo ile dini inayofundisha kunawa janabi..kumbe imewaingiza chaka waumini wake.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari wakuu

Mwanamke kama namtongoza akiniuliza una mpenzi au mke ?? Nitamjibu kwa kujiamini kabisa ndio nina mke. Watu wengi wanadhani wakisema wanamke basi watakataliwa. Lakini majibu ni kinyume chake

Hebu tutumie mfano wa duka lenye wateja wengi na lisilo na wateja,
View attachment 2181428

Duka lenye wateja na lisilo na wateja je lipi lina mvuto kwa watu? Jibu ni duka lenye wateja ndio lenye mvuto kwa watu lina thamani ndio maana watu wengi huenda hapo kupata huduma.

Na sisi wanaume ni sawa na DUKA, mwanaume mwenye mwanamke mmoja au zaidi ana mvuto kwa wanawake wengine (duka lenye wateja), ndio maana ni rahisi kulala na mwanamke mwingine ambaye anajua wazi kabisa kuwa una mke lakini ikawa vigumu kulala au kumpata mwanamke huyo endapo ungekuwa huna mke yaani upo single (duka lisilo na wateja)

Mwanaume ambaye hana mwanamke hana mvuto kwa wanawake wengine, wao huamini hana thamani ndio maana wenzake wamemkataa. Ukitaka kuamini angalia watu wanaooa wake wawili tena wote wanajuana na kila mwanamke anapigania kummiliki mme peke yake hapo means mwanaume ana thamani.

Mwanamke akiniuliza una mke hua najibu ndio, akiuliza why namtaka wakati nna mke huwa najibu kwa kujiamini nataka uwe mke mdogo. Wala huwa hawachomoi.

Kwa wale ambao hampendi kuwa na wanawake wengi jitahidini hata kwa ku fake kuwa mnawanawake wengine kwa wapenzi au wake zenu. Hii inaongeza upendo na thamani ya mwanaume.

Karibuni kwa maoni zaidi, nyongeza au kukosoa hii nadharia yangu

Nawasilisha.
Mkuu huu ni ukweli mtupu. Mwanamke anavutiwa zaidi hasa na mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja.

Kwa ufupi ukiwa na mke ni rahisi kuwapata wanawake maana huamini una uwezo wa kumudu majukumu na sio muoga wa maisha.

Pia wanaamini una upeo mkubwa wa kifikra ndo maana utakuta mwanaume ana mke lakini akitongoza mwingine anakubaliwa kuwa mke wa pili.
 
Hujawahi kujiuliza kwanini ni rahisi kupata demu ukiwa na demu mwingine lakini ni vigumu sana kupata demu ukiwa single?
Majibu yote ya wanaopingana na wewe yapo hapa.

Ukiwa na demu ukitaka demu mwingine ni rahisi kumpata ila ukiwa single utasota hatari.
 
Habari wakuu

Mwanamke kama namtongoza akiniuliza una mpenzi au mke ?? Nitamjibu kwa kujiamini kabisa ndio nina mke. Watu wengi wanadhani wakisema wanamke basi watakataliwa. Lakini majibu ni kinyume chake

Hebu tutumie mfano wa duka lenye wateja wengi na lisilo na wateja,
View attachment 2181428

Duka lenye wateja na lisilo na wateja je lipi lina mvuto kwa watu? Jibu ni duka lenye wateja ndio lenye mvuto kwa watu lina thamani ndio maana watu wengi huenda hapo kupata huduma.

Na sisi wanaume ni sawa na DUKA, mwanaume mwenye mwanamke mmoja au zaidi ana mvuto kwa wanawake wengine (duka lenye wateja), ndio maana ni rahisi kulala na mwanamke mwingine ambaye anajua wazi kabisa kuwa una mke lakini ikawa vigumu kulala au kumpata mwanamke huyo endapo ungekuwa huna mke yaani upo single (duka lisilo na wateja)

Mwanaume ambaye hana mwanamke hana mvuto kwa wanawake wengine, wao huamini hana thamani ndio maana wenzake wamemkataa. Ukitaka kuamini angalia watu wanaooa wake wawili tena wote wanajuana na kila mwanamke anapigania kummiliki mme peke yake hapo means mwanaume ana thamani.

Mwanamke akiniuliza una mke hua najibu ndio, akiuliza why namtaka wakati nna mke huwa najibu kwa kujiamini nataka uwe mke mdogo. Wala huwa hawachomoi.

Kwa wale ambao hampendi kuwa na wanawake wengi jitahidini hata kwa ku fake kuwa mnawanawake wengine kwa wapenzi au wake zenu. Hii inaongeza upendo na thamani ya mwanaume.

Karibuni kwa maoni zaidi, nyongeza au kukosoa hii nadharia yangu

Nawasilisha.
Kwamba baa yenye mafuriko ya walevi inavutia zaidi walevi😊
 
Uongo wale wanao pata mademu wkt wakiwa na Mademu wengine!! mara nyingi huwa wananukia Mbususu!!.......ile ikinukia hata kma unauza Duka utapata wateja wengi!! wee nenda ivoivo usioge!! Ni dawa nzuri sana!! ila watu hawajui hii siri!
kuna jamaa kitaa walikuwa wansema ananuka K mwamba hakuna demu anapindua kwake
 
Hali iwe hivyo hivyo na kwa mkeo wala usiwe mbogo ukiskia kuna kibopa anakula mkeo kwasababu nasisi tutakukumbusha mfano wako wa Duka
lol [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inaweza kuwa kweli kwa asilimia 70. Kwa sisi tulio oa tunajua hili, opportunities tunazozipata sasa hivi hatukuwahi kuzipata tulivyokua single. Nilishakua na kamchepuko changu sikuwahi kumwambia nina mke sasa kuna siku tumekaa close nikawa namtumia msg wife akaniuliza kama nimeoa nikaganda kama sekunde 3 nikifikiria uongo wa kumpa cha ajabu akaniambia "we sema ukweli tu mimi sikuachi".

NB: Kuchepuka dhambi ndugu zangu touoe zaidi ya moja kama tutaweza kuwahudumia
 
Back
Top Bottom