Imebaki masaa machache sana wajisahaulishe kuwa twapaswa kuanza awamu ya sita na sio kuendeleza awamu ya tano

Sio kisheria ni lugha tu iliyozoeleka
 
Sio kweli kama ndio hivyo hii ingekuwa awamu ya 7
 
Hii ni awamu ya tano Rais wa sita. Awamu ya sita bado mpaka uchaguzi mkuu ujao. Awamu huingia madarakani kwa uchaguzi na endapo aliyepita atashinda basi ataendeleza awamu yake.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unataka kusema uchaguzi huu angepita LISSU ingekuwa awamu ya 5?
 
Good
 
Mwisho wa marumbano samia suluhu hasani hawezi kuwa magufuri, kiutendaji na hata kitabia japo wengi wanatamani awe kama magufuri hilo halitawezekana,

Atatekeleza miradi sawa, atatumbua majipu sawa, atafanya kila alicho fanya magu lakini hawezi kuwa kama magu.mkae mkijua hivyo.

Mwisho, musiba na makonda ambao mnajiita veronica na joyce mmepata ujumbe wa mzee wa msoga.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Muda ukifika ataivaa tu, kwani mdudu Bado yupo hasa ikulu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Wewe utakuwa ulikula ban ukafungua ID nyingine
Kweli kabisa - halafu nikaomba kusamehewa wakagoma! Basi tena nimeanza upya wakati nilishakuwa na posts Zaidi ya elfu 40.
 
Tehe tehe!
 
Kuna dereva mmoja wa bus la abiria alikuwa hapendi kuandamana na kondakta anaejua kuendesha kwa kuhofia kuwa anaweza kumfunika na pengine kumbishia kitu asichokubaliana nacho. Hivyo alipopewa nafasi na tajiri yake ili kutafuta kondakta wa kumsaidia kazi yeye alimtafuta mtu ambaye kwanza hakuwa na ujuzi wowote wa kuendesha gari na pia alihakikisha kwamba huyo kondakta muda wote yeye atakuwa mtu wa kuitikia kila atakalosema yeye. Siku moja wakiwa katikati ya safari dereva huyo aliugua tumbo la kuhara na hivyo akashindwa kuendesha gari. Abiria walibaki njia panda.
 
Stori za vijiweni hizi kuvuta siku iishe fasta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…