Mwisho wa marumbano samia suluhu hasani hawezi kuwa magufuri, kiutendaji na hata kitabia japo wengi wanatamani awe kama magufuri hilo halitawezekana,
Atatekeleza miradi sawa, atatumbua majipu sawa, atafanya kila alicho fanya magu lakini hawezi kuwa kama magu.mkae mkijua hivyo.
Mwisho, musiba na makonda ambao mnajiita veronica na joyce mmepata ujumbe wa mzee wa msoga.
Sent from my Infinix X683 using
JamiiForums mobile app