- Thread starter
- #81
Umepa
Umepata majibu ndugu yangu? Hujabadili msimamo?Wewe ndio dunya.
Hii ni awamu ya tano ila Rais wa sita. Rais Samia aligombea akiwa mgombea mwenza wa Magufuli. Sera na ahadi za Magufuri ndio sera na ahadi za Samia.
Kwa hii miaka minne anamalizia awamu ya tano ambayo tuliwachagua 2020.
Usisahau kuwa Samia aligombea 2020