Imebidi niwashe hazard

msemakweli2

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
1,627
Reaction score
1,880
ni hivi wakati wife kasafiri kuna mtoto ni kawawa nampa lift for two weeks,sasa juzi wife amerud asubuhi tunaenda zetu job kufika ile mitaa ya yule mtoto ninaposimamaga kumpa lift kwa mbaali naona amesogea barabarani anasimamisha gari!loh imebidi nitumie akili ya kuzaliwa kwanza miguu yote nikaihamishia kwenye accelerator then nikawasha hazard nilimpita mkuku pale nadhani hakuamini kilichotokea!pambafu kabisa...................
 
aha hahahaha weekend ingekuwa ndefu dadeki .. tunavyojua kukumbuka na ya zamani leo lingeamshwa dude ha hahaha
tena wife kashangaa yule mtoto alivyojaa barabarani, nikajidai natukana "wasichana wa siku hizi washenzi kweli sijui ni hii mibange yao wanayovuta asubuhi asubuhi" akaitikia wife achana naye mshenzi huyu anataka akupe mikesi ya ajabu ajabu saizi mume wangu....me nikasonya kwa nguuuuvu nyambafuuuuuuu.......huku rohoni natabasabu
 
ha hahaha ha safi ila atashtuka j3 akiona anatokea tena ha ahahahaha
 
Ukiona hivyo ujue ushakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…