Imebidi niwashe hazard

Imebidi niwashe hazard

Wanaume akili zenu mnazijua wenyewe
yeye nilishamwambia mimi ni baba wa familia kwanini akipewa lift anakaia matako mawili badala ya kuegesha tako moja tu alafu lingine liwe juu juu!
 
ni hivi wakati wife kasafiri kuna mtoto ni kawawa nampa lift for two weeks,sasa juzi wife amerud asubuhi tunaenda zetu job kufika ile mitaa ya yule mtoto ninaposimamaga kumpa lift kwa mbaali naona amesogea barabarani anasimamisha gari!loh imebidi nitumie akili ya kuzaliwa kwanza miguu yote nikaihamishia kwenye accelerator then nikawasha hazard nilimpita mkuku pale nadhani hakuamini kilichotokea!pambafu kabisa...................
Umefanya makosa makubwa sana ....kwa nini hukupita njia nyingine....lakini pia ulitakiwa kumueleza in advance kwamba ...una mke siku akirudi hutombeba tena....that is called a gentlemen's gesture ....ulichofanya ni ukatili unless ulikuwa na evil mind dhidi yake
 
Umefanya makosa makubwa sana ....kwa nini hukupita njia nyingine....lakini pia ulitakiwa kumueleza in advance kwamba ...una mke siku akirudi hutombeba tena....that is called a gentlemen's gesture ....ulichofanya ni ukatili
sijui shetani gani alinisahaulisha mkuu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulitumia akili sana,masuala ya kumuudhi wife kisa mchepuko hata mimi nayapinga kwa nguvu zote.
Mke atabaki kua mke
Mchepuko nae atabaki kua chepuko
 
Nimemuonea huruma sana, nadhani siku hiyo alichelewa na fito alichezea pia..... Hebu nielekeze wapi hapo mkuu, nianze kupita mie na scuta yangu...
 
Back
Top Bottom