Imefichukaaaaaaaa wivu wa mapenzi ndio sababu kubwa iliyomtoa Mavoko Wasafi

Imefichukaaaaaaaa wivu wa mapenzi ndio sababu kubwa iliyomtoa Mavoko Wasafi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kiukweli katika wanawake ambao Mavoko anawapenda sana basi Gigy Money anaongoza.

Lakini kwa mujibu wa Gigy Money anadai aliachana na Mavoko kwa sababu Mavoko anakibamia halafu ni goi goi kitandani yaani alikuwa hamsugui akaridhika.

Sasa kimbembe kikaja baada ya kuachana Mavoko alikuwa akisikia wivu sana jinsi Gigy Money alivyokuwa anajilengesha lengesha kwa Mondi na kumuahidi yupo tayari kumpa hata vya uvunguni ili mradi tu apate bahati ya kulala na Mondi.

Kauli hii ilikuwa ikimtesa sana Mavoko akaanza kumchukia sana Mondi na kuamua kujitenga tenga hovyo na Mondi na hata kucheka naye akawa anacheka naye tu hivyo hivyo ili mradi mwisho wa siku ndio kama hivyo ameamua na kuhama kabisa wasafi ili asizidi kuumia.
 
Kiukweli katika wanawake ambao Mavoko anawapenda sana basi Gigy Money anaongoza.

Lakini kwa mujibu wa Gigy Money anadai aliachana na Mavoko kwa sababu Mavoko anakibamia halafu ni goi goi kitandani yani alikuwa hamsugui akaridhika.

Sasa kimbembe kikaja baada ya kuachana Mavoko alikuwa akisikia wivu sana jinsi Gigy Money alivyokuwa anajilengesha lengesha kwa Mondi na kumuahidi yupo tayari kumpa hata vya uvunguni ili mradi tu apate bahati ya kulala na Mondi.

Kauli hii ilikuwa ikimtesa sana Mavoko akaanza kumchukia sana Mondi na kuamua kujitenga tenga hovyo na Mondi na hata kucheka naye akawa anacheka naye tu hivyo hivyo ili mradi mwisho wa siku ndio kama hivyo ameamua na kuhama kabisa wasafi ili asizidi kuumia.
Naweza kukubali kwani gigy alishawahitamka huko nyuma but all in all yajayo yanafurahisha
 
Kiukweli katika wanawake ambao Mavoko anawapenda sana basi Gigy Money anaongoza.

Lakini kwa mujibu wa Gigy Money anadai aliachana na Mavoko kwa sababu Mavoko anakibamia halafu ni goi goi kitandani yani alikuwa hamsugui akaridhika.

Sasa kimbembe kikaja baada ya kuachana Mavoko alikuwa akisikia wivu sana jinsi Gigy Money alivyokuwa anajilengesha lengesha kwa Mondi na kumuahidi yupo tayari kumpa hata vya uvunguni ili mradi tu apate bahati ya kulala na Mondi.

Kauli hii ilikuwa ikimtesa sana Mavoko akaanza kumchukia sana Mondi na kuamua kujitenga tenga hovyo na Mondi na hata kucheka naye akawa anacheka naye tu hivyo hivyo ili mradi mwisho wa siku ndio kama hivyo ameamua na kuhama kabisa wasafi ili asizidi kuumia.
PUMBA...
 
Mtazusha mengi ila mavoko keshajitoa wcb,mlizoea kufukuza kawawahi imewauma poleee
 
Back
Top Bottom