Imefichukaaaaaaaa wivu wa mapenzi ndio sababu kubwa iliyomtoa Mavoko Wasafi

Hivi kumbe nae giggy ni mwanamke wa haja anayesababisha mpaka mtu ahame label na kuwa solo artist?Mavoko ana familia kweli anawez chukua sababu nyepesi kwa mtu kama giggy?mhhhh
Hebu tupiamo kapicha kako tukulinganishe na gigy tuone nani mkali,usikute sura ka bi kidude ila unamponda gigy kuwa eti sio mwanamke
 
Wewe ni dada yake?
 
How old are you??
 
Joowzey huelewekagi wewe,ila jua tu mimi ni mwanamke zaidi ya giggy kwa muonekano wa nje, wa ndani na kikubwa zaidi kichwani hanikuti
Hebu tupiamo kapicha kako tukulinganishe na gigy tuone nani mkali,usikute sura ka bi kidude ila unamponda gigy kuwa eti sio mwanamke
 
Ninawasiwasi na malinda ya mtoa mada.
 
Hivi mbona nguvu kubwa inatumika kum discredit mavoko, kama alivyokua na haki ya kuingia WCB hana haki ya kutoka?
 
Tulia basi uwe unaandika nyuz zinazoeleweka hata watu siriaz wanawez Kukuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…