DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kwa Chalamila Kwenye Wanajeshi 5000 na Polisi 3000 kufanya usafi 😅😅Sijasikia akitetemesha, tetemeko limetokea wapi nchini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Chalamila Kwenye Wanajeshi 5000 na Polisi 3000 kufanya usafi 😅😅Sijasikia akitetemesha, tetemeko limetokea wapi nchini?
Very True matakwa ya chadema ni consistent kutafuta Suluhu ya Kuinua Taifa.Hata Mbowe akiondoka hakuna kipya ambacho CHADEMA watafanya kikubaliwe na CCM na serikali yake!
Kwanza hiyo idadi ataitoa wapi? Anajua idadi halisi ya Wanajeshi?Kwa Chalamila Kwenye Wanajeshi 5000 na Polisi 3000 kufanya usafi 😅😅
HahahaaMsimamo wangu ni Mbowe ajiuzulu. Hana jipya yule mjinga.
Ccm wanamtaka?Hivi Mbowe atastaafu lini uenyekiti?
Fikra zake zimefika mwisho,
Chadema hivi ilivyo ni kwa sababu mwenye kiti uwezo wake wa kufikiri umefika mwisho
Tunataka mwenyekiti mpya
Mwenye mawazo mapya
We ni Tajiri? HongeraUnatetemeka wewe na upumbavu wako ,mbowe amekuwa ndio mungu wako ndio maana mnakuwa maskini
Yule muacheni tu kuna kitu kwake hakija kaa sawa..😅😅Kwanza hiyo idadi ataitoa wapi? Anajua idadi halisi ya Wanajeshi?
Nimeshangaa sana......Hamasi wameitanaMbowe ni habari ingine mkuu,ulikuwa hujui😃
Disregulatd response to Mbowe's vowsYule muacheni tu kuna kitu kwake hakija kaa sawa..😅😅
Yaani 5 brigedi ije ifanye usafi tu ...
Sasa hiyo ni vita au usafi
I can see!Disregulatd response to Mbowe's vows
Watawala walete katiba tu vinginevyo tutaandika katiba kutokea MOIKwa leo nilikuwa bize na kazi za kujenga Taifa na kumsaidia Mh Rais Dr Samia kukuza Uchumi wa Nchi kwa kuzalisha kwa level ya mtu mmoja mmoja. Nami kama mwananchi na raia mwema nikaona baada ya Kusherehekea Mapinduzi Matukufu basi nijielekeze kwenye uzalishaji.
Kwa kusema hivyo sikuwa na taarifa nyingi za mitandaoni kwa siku ya leo.
Jambo nililosikia ni kuwa Mh Mbowe Kiongozi na Mwenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani amekohoa leo.
Cha Ajabu ni kuwa ni kama vile IDF wameingia Nchini.
Yaani Kukohoa kwake Nchi nzima imetetemeka.
Je kama taifa tumefika hatua hii?
Hii over reaction na disregulated response inatokana na nini hasa?
Je Mh Mbowe anatisha kiasi hicho?
Lakini maskini wengi ni wanaccm au??Unatetemeka wewe na upumbavu wako ,mbowe amekuwa ndio mungu wako ndio maana mnakuwa maskini
HahaaWatawala walete katiba tu vinginevyo tutaandika katiba kutokea MOI
Makonda lazima inya yake imetemekaSijasikia akitetemesha, tetemeko limetokea wapi nchini?
Makonda lazima inya yake imetemeka