Pre GE2025 Imefika Mahali kama Taifa tunakuwa hivi? Yaani Mbowe mmoja akikohoa Nchi inatetemeka?

Pre GE2025 Imefika Mahali kama Taifa tunakuwa hivi? Yaani Mbowe mmoja akikohoa Nchi inatetemeka?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata Mbowe akiondoka hakuna kipya ambacho CHADEMA watafanya kikubaliwe na CCM na serikali yake!
Very True matakwa ya chadema ni consistent kutafuta Suluhu ya Kuinua Taifa.

Itaendelea kuungwa mkono na Wananchi daima na daima.
 
Hivi Mbowe atastaafu lini uenyekiti?
Fikra zake zimefika mwisho,
Chadema hivi ilivyo ni kwa sababu mwenye kiti uwezo wake wa kufikiri umefika mwisho

Tunataka mwenyekiti mpya
Mwenye mawazo mapya
Ccm wanamtaka?
 
Kwa leo nilikuwa bize na kazi za kujenga Taifa na kumsaidia Mh Rais Dr Samia kukuza Uchumi wa Nchi kwa kuzalisha kwa level ya mtu mmoja mmoja. Nami kama mwananchi na raia mwema nikaona baada ya Kusherehekea Mapinduzi Matukufu basi nijielekeze kwenye uzalishaji.

Kwa kusema hivyo sikuwa na taarifa nyingi za mitandaoni kwa siku ya leo.

Jambo nililosikia ni kuwa Mh Mbowe Kiongozi na Mwenyekiti wa Chama kikuu cha Upinzani amekohoa leo.

Cha Ajabu ni kuwa ni kama vile IDF wameingia Nchini.

Yaani Kukohoa kwake Nchi nzima imetetemeka.

Je kama taifa tumefika hatua hii?

Hii over reaction na disregulated response inatokana na nini hasa?

Je Mh Mbowe anatisha kiasi hicho?
Watawala walete katiba tu vinginevyo tutaandika katiba kutokea MOI
 
Ni muda wahafidhina ndani ya chama Cha mboga mboga na kwenye vyombo vya dola,watambue zama zimebadilika hivyo Kuna muda lazima ukubali mabadiliko katika jamii.Huwezi kung'ang'ani mfumo fulani kila uchwao kisa wewe ni mnufaika tujifunze kwa Libya nk
 
Back
Top Bottom