Imefika wakati serikali iangalie mishahara ya watumishi wa "Local government" maana hali zao za mishahara ni ngumu na mbovu sana

Nadhani Kila Taasisi ya Serikali imeundwa kwa taratibu zake na mishahara Yao.
Muhimu kupambania nafasi za hizo Taasisi zenye salary kubwa.
Badala kila mtu wa Halmashauri apambane kuhama, kwanini serikali isi "balance" mishahara yake?

#YNWA
 
Subir bajeti ya 2024/2025 hii hakuna kitu,mwakani tupia mara mia akuone
Kwa mishahara hii ya local government dah, sm kutaendelea kuwa na utendaji mbovu sanaaa.

#YNWA
 
Umenena vizuri. Alafu ndio wanalalamikiwa sana, tuna demand delivery kubwa sana kutoka kwao, lakini ni watu wanaodhulumiwa. OR-TAMISEMI ni majanga. Kuna kipindi walitaka kuboresha, nadhani siasa tu. Ikaishia hewani.
Mawaziri hutupiga sanaa mikwara ila huwa hawajali "Maslahi yetu"

#YNWA
 
Popote pale utakapo kuwa kwenye hii serikali usipokula rushwa na kuiba hutoboi.msiseme nimewafundisha ukishikwa shauri yako.
Kwa serikali hii ya CCM kula rushwa ni ""Lazima""

#YNWA
 
Mkuu unaongoza kwa kulalamikia kazi za halmashauri, tatizo Tamisemi ina watumishi wengi sana, wakilipa kila mmoja mamilioni, serikali itafilisika. Hao watumishi wa taasisi ni wachache, ndomaana ni rahisi kuwalipa pesa nyingi, na kupata kazi zao siyo rahisi, interview, GPA kubwa etc, hawazoi zoi watumishi wengi kama kumbikumbi, kama ilivyo ktk halmashauri.

Huko halmashauri ukipandishwa madaraja hata mawili tu, mshahara unakuwa mkubwa, ila ktk taasisi sina hakika kama wako spidi ktk kupandisha watu mishahara.
 
Naomba niulize kwan tgs d si ni moja kwa watumish wote? Na kinachoratibu ni utumish. Kwanin uwapige mawe wa serikal kuu kama wao wana hela sana. ? Wakat lawson sijui ndio hio hio.
 
Ndio mana nimeshangaa.kwa sabab kuna wat halmashaur wana magar makal hata wizara hagusi. Na kila siku vikao.weingine mcc sijui vikao gan.kamat za ujenz yan full full
 
Halafu Kazi ni kubwaa Sanaa,taasisi wanajipangia mishahara Huku wizara tofauti
Ujue hata malecturer salaries zinatofautiana
Hakuna USAWA kwenye hii nchi ila Halmashauri KUMEZIDI.

#YNWA
 
Naomba niulize kwan tgs d si ni moja kwa watumish wote? Na kinachoratibu ni utumish. Kwanin uwapige mawe wa serikal kuu kama wao wana hela sana. ? Wakat lawson sijui ndio hio hio.
Hapana.
Kila Taasisi ina mishahara yake.
Halmashauri ndio ina level za TGS D.

Mfano:-
Nilianza Kazi nashahara wa 745K Basic halmashauri, wakati huohuo niliajiriwa na jamaa angu. Jamaa angu alienda BRELA alikuwa analipa 1.6 Mil Basic
Huyu jamaa tulisoma wotee kuanzia primary, secondary tukaenda science, advance science, chuo kimoja na course moja, ila ajira zilikuja kututengenisha kimatabaka..!!

Ila wote ni
1. Watumishi wa serikali
2. Chini ya chama kimoja
3. Raisi mmoja
4. Mlipa mshahara ni mmoja

#YNWA
 

""..... interview, GPA kubwa etc.. ""

Labda huelewi ila Taasisi vilaza wapo kibao.
Nina GPA ya 3.9 nimeajiriwa Halmashauri, nilifanya interview na jamaa angu mwenye GPA ya 2.2 kaajiriwa Taasisi.

#YNWA
 
Ndio mana nimeshangaa.kwa sabab kuna wat halmashaur wana magar makal hata wizara hagusi. Na kila siku vikao.weingine mcc sijui vikao gan.kamat za ujenz yan full full
Watu wengi wanaotajirikia serikalini ni wezi au side hustle.
Mada yangu hailengi hizo factor.

Mada yangu inalenga financial equality and equity makazini.

Haya ya side hustle zinazokufanya umiliki "mali" Kali na za gharama "KILA MTU ANA AKILI ZAKE"

Tuzungumzie kile kipatikanacho cha haki makazini.

#YNWA
 
Naomba niulize kwan tgs d si ni moja kwa watumish wote? Na kinachoratibu ni utumish. Kwanin uwapige mawe wa serikal kuu kama wao wana hela sana. ? Wakat lawson sijui ndio hio hio.
TGS D ni moja. Ila mashirika hawalipani TGS
 
Sasa nduguyangu kwanini nawewe usingeapply Brela? Na unajua kabisa taasisi zina mishahara mikubwa halafu unaombaje Tamisemi?
 
""..... interview, GPA kubwa etc.. ""

Labda huelewi ila Taasisi vilaza wapo kibao.
Nina GPA ya 3.9 nimeajiriwa Halmashauri, nilifanya interview na jamaa angu mwenye GPA ya 2.2 kaajiriwa Taasisi.

#YNWA
Basi kama siyo kujuana, ulihujumiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…