Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uzi humu jamaa analalamika hajapata gawio la faida kuanzia 2012.Mbona UTT,wao wanasema muwekezaji hatoathirika na kufilisika kwa kampuni!maana wao ndio wanakuwa kama dhamana,kwa kumnunulia mwachama wake hisa!kwa kampuni wanazoona zina faida nzuri.
Most especially after what I heard that Vodacom Tanzania will be listed in the DSE.inabidi huu Uzi niuzungukie Mara kwa Mara ...... Hapa lazima ntapata kitu
Hisa nzuri kwa makampuni yenye faida kama ya simuUchumi wa hii nchi sasa hivi hautabiriki tena ni bora mtu usiingie chaka kununua hisa utalia
Airtel inatangaza Kufisilika ..nchi nyingo za africa .Hisa nzuri kwa makampuni yenye faida kama ya simu
UTT ni mfuko wa pamoja wa uwekezaji. Katika hali ya kawaida ni vigumu kwa mtu mmoja mmoja kuwa na uwezo wa kununua hisa za kutosha kwenye kampuni zitakazomwezesha kupata faida ya kutosha kutokana na kupata gawio. Wanachokifanya UTT ni kukusanya hela hizi kidogo kidogo kutoka kwa watu wengi na kutengeneza mfuko mmoja mkubwa ambao utakuwa na uwezo wa kuwekeza kwenye makampuni tofauti tofauti. Hawa wawekezaji wadogo wadogo wengi ndo watakaokuwa wanagawiwa faida itakayokuwa inapatikana kutokana na uwekezaji huo wa UTT.Kuna kitu.kinaitwa UTT ...nahitaji kikifahamu
Ivi eeee.....Most especially after what I heard that Vodacom Tanzania will be listed in the DSE.
Yeah Mkuu.Ivi eeee.....
Ndio mkuu. Kuondoka ama kutokuwepo kwa wakurugenzi haifanyi kampuni ishindwe kuoparate.Mfano ulioutolea ni Wakurugenzi kushikiliwa ndani. Katika Makampuni kuna kitu kinaitwa "Business Continuity"
Hamna kampuni ambayo muwekezaji anaweza athirika kwa kufilisika kwa kampuni.Mbona UTT,wao wanasema muwekezaji hatoathirika na kufilisika kwa kampuni!maana wao ndio wanakuwa kama dhamana,kwa kumnunulia mwachama wake hisa!kwa kampuni wanazoona zina faida nzuri.
UTT ni rahisi kujitoa ukihitaji.pesa zako ndani ya siku 7 lakini hisa lazima upate mnunuzi wa hisa zako. Mfuko wa UTT unanunua vipande vyako ukitaka kujitoa muda wowote kulingana na bei ya kununulia.UTT ni mfuko wa uwekezaji wa pamoja unaoendeshwa kwa kukusanya rasilimali (fedha) kutoka kwa wawekezaji na kuwekeza fedha hizo kwa mujibu wa malengo ya mfuko husika ili kupata faida. Umiliki wa uwekezaji wa mwekezaji unajulikana kama kipande au vipande. Kipande ni sehemu aliyonayo mwekezaji katika mfuko wa pamoja. Mfuko unapoongezeka thamani ndivyo vipande vinavyoongezeka thamani.
Sijaona tofauti iliyopo kati ya Hisa tulizozea na hii ya UTT.
UTT ni rahisi kujitoa ukihitaji.pesa zako ndani ya siku 7 lakini hisa lazima upate mnunuzi wa hisa zako. Mfuko wa UTT unanunua vipande vyako ukitaka kujitoa muda wowote kulingana na bei ya kununulia.