Imefika wakati watu tujikite kwenye biashara ya kununua HISA

Imefika wakati watu tujikite kwenye biashara ya kununua HISA

Tunaweza elewana Na hitaji la pesa kama weka liba. Au kama VP simba sport wanauza hisa muda so mrefu unaweza kununua moja laki 4
 
Tunaweza elewana Na hitaji la pesa kama weka liba. Au kama VP simba sport wanauza hisa muda so mrefu unaweza kununua moja laki 4
 
kuzika milioni kumi kusubiri gawio la laki tano baada ya miezi 12 kila la kheri mkuu
bora kuwekeza kwenye bond, share wanaweza wakaamua wasiwape gawio waka retain na company ikifa mamilioni yako ndio yamepotelea hewani.
 
ningependa kufahamu kuhusu ufanyaji na uendeshaji mkuu wa biashara ya kununua issa mimi ni mwanafuzni wa chuo mwaka wa kwanza na ningepependa kuanza kujihusisha na huu uwekezaji huu.
asante kwa ushirikoano wenu wakuu
 
Msaidieni link
Nampongeza utafika mbali mdgo wangu pambana mtaani hakuna ajira soma kwa bidiii na tafuta hela ukimaliza chuo wewe unaendeleza miradi yako wakati wenzio wanazurura na bahasha za khaki.
 
Habari wana jukwaa,

Hapa nahitaji ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu masuala ya hisa za kampuni. Mimi nipo katika mchakato wa kuanzisha startup - lakini nahitaji kupata ufahamu juu ya masuala kadhaa, ikiwemo hili la hisa. Kuna uzi huu niliuliza kuhusu mgawanyo wa hisa. Lakini sijapata mtu ambaye yupo deep ambae ameweza kujibu kwa uhakika. Sasa ninachohitaji kufahamu ni:
  • Kwa kuzingatia utofauti wa AUTHORIZED SHARES, ISSUED SHARES na OUTSTANDING SHARES; Kuna uhusiano gani kati ya ISSUED SHARES na MTAJI WA KAMPUNI. I mean kwa mfano; Issued shares tuseme ni 10,000 zenye value ya TZS 20,000 each, Je; ni lazima kwenye vitabu vya mahesabu vya kampuni ionekane hiyo TZS 200,000,000.00? Au unaweza ukawa na issued shares zenye thamani kubwa kwenye MEMART, wakati mtaji halisi ulionao ni aslimia 10 tu ya mtaji ulioonesha kwenye MEMART?

    In case swali lipo complicated; ngoja tujaribu hivi...

  • MEMART na TRA kuna mahali hivi vitu viwili vinakutana? Let's say ume-indicate kwenye MEMART kwamba una mtaji (Issued shares) wa TZS 1,000,000,000.00; Je, katika ukaguzi wa mahesabu hiyo itatazamwa pia?
Nikiamini nimeeleweka, naomba kuwasilisha.

#Virus
 
Habari wana jukwaa,

Hapa nahitaji ufafanuzi wa kitaalamu kuhusu masuala ya hisa za kampuni. Mimi nipo katika mchakato wa kuanzisha startup - lakini nahitaji kupata ufahamu juu ya masuala kadhaa, ikiwemo hili la hisa. Kuna uzi huu niliuliza kuhusu mgawanyo wa hisa. Lakini sijapata mtu ambaye yupo deep ambae ameweza kujibu kwa uhakika. Sasa ninachohitaji kufahamu ni:
  • Kwa kuzingatia utofauti wa AUTHORIZED SHARES, ISSUED SHARES na OUTSTANDING SHARES; Kuna uhusiano gani kati ya ISSUED SHARES na MTAJI WA KAMPUNI. I mean kwa mfano; Issued shares tuseme ni 10,000 zenye value ya TZS 20,000 each, Je; ni lazima kwenye vitabu vya mahesabu vya kampuni ionekane hiyo TZS 200,000,000.00? Au unaweza ukawa na issued shares zenye thamani kubwa kwenye MEMART, wakati mtaji halisi ulionao ni aslimia 10 tu ya mtaji ulioonesha kwenye MEMART?

    In case swali lipo complicated; ngoja tujaribu hivi...

  • MEMART na TRA kuna mahali hivi vitu viwili vinakutana? Let's say ume-indicate kwenye MEMART kwamba una mtaji (Issued shares) wa TZS 1,000,000,000.00; Je, katika ukaguzi wa mahesabu hiyo itatazamwa pia?
Nikiamini nimeeleweka, naomba kuwasilisha.

#Virus
Mimi pia nasubiri jibu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom