Imeisha hiyo: Samia ndo Rais 2025-2030. Nguvu zote zielekezwe kwenye Katiba Mpya iliyo bora

Imeisha hiyo: Samia ndo Rais 2025-2030. Nguvu zote zielekezwe kwenye Katiba Mpya iliyo bora

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Ndugu zangu sukuma gang poleni sana. Najua mmeumia sana. Ila huo ndo mchezo wa siasa ulivyo.

Watu wali mu underestimate sana Samia kuhusu uwezo wake wa kufanya siasa. Sasa mmejionea kwa chenga ya mwili aliyowapiga kule Dodoma wote mliokuwa mnapanga kumuangusha kupitia mchakato wa ndani ya chama.


Vyovyote vile, lililotokea limetokea, na sioni shida yeyote kwa kuwa Samia hajajichagua, amechagulia na azimio la mkutano halali kabisa wa chama. Hivyo imeisha hiyo.

Tukirudi kwenye jambo la msingi, nchi hii tatizo sio Samia, tatizo sio CCM. Tatizo ni Katiba yetu ambayo inatengeneza mtu ambaye ni mungu mdogo.

Yote yanayotokea alafu watu mnaishia kuumia tu bila kufanya chochote shida kuu ni Katiba tuliyonayo iliyotengeneza mungu mdogo mwenye nguvu sana ambaye mifumo haiwezi kumwambia wala kumfanya chochote.

The best way foward kuanzia sasa ni Upinzani kupata mtu makini ambaye atasimamia ipasavyo harakati za kupata Katiba Mpya iliyo bora inayojenga mifumo imara na kuweka nidhamu kwa wanasiasa kuiheshimu.

Mtu pekee kwa sasa ninayemuona ana akili na upeo mkubwa kuongoza mapambano ya kupata Katiba Mpya iliyo bora ni Tundu Antipass Lissu.

Tuwaombee sana CHADEMA wasirubunike kumpa uenyekiti Mbowe kwa sababu Mbowe akiwa mwenyekiti wa Chadema, it's obvious hata Katiba atakayotuletea Samia itakuwa ya hovyo sana.

Tuiombee sana CHADEMA watuletee TUNDU ANTIPASS LISSU aongoze haya mapambano ya kupata Katiba iliyo bora ili nchi yetu iweze kuondokana na siasa uchwara.

Lord denning
Pataya, Thailand
 
Ndugu zangu sukuma gang poleni sana. Najua mmeumia sana. Ila huo ndo mchezo wa siasa ulivyo.

Watu wali mu underestimate sana Samia kuhusu uwezo wake wa kufanya siasa. Sasa mmejionea kwa chenga ya mwili aliyowapiga kule Dodoma wote mliokuwa mnapanga kumuangusha kupitia mchakato wa ndani ya chama.


Vyovyote vile, lililotokea limetokea, na sioni shida yeyote kwa kuwa Samia hajajichagua, amechagulia na azimio la mkutano halali kabisa wa chama. Hivyo imeisha hiyo.

Tukirudi kwenye jambo la msingi, nchi hii tatizo sio Samia, tatizo sio CCM. Tatizo ni Katiba yetu ambayo inatengeneza mtu ambaye ni mungu mdogo.

Yote yanayotokea alafu watu mnaishia kuumia tu bila kufanya chochote shida kuu ni Katiba tuliyonayo iliyotengeneza mungu mdogo mwenye nguvu sana ambaye mifumo haiwezi kumwambia wala kumfanya chochote.

The best way foward kuanzia sasa ni Upinzani kupata mtu makini ambaye atasimamia ipasavyo harakati za kupata Katiba Mpya iliyo bora inayojenga mifumo imara na kuweka nidhamu kwa wanasiasa kuiheshimu.

Mtu pekee kwa sasa ninayemuona ana akili na upeo mkubwa kuongoza mapambano ya kupata Katiba Mpya iliyo bora ni Tundu Antipass Lissu.

Tuwaombee sana CHADEMA wasirubunike kumpa uenyekiti Mbowe kwa sababu Mbowe akiwa mwenyekiti wa Chadema, it's obvious hata Katiba atakayotuletea Samia itakuwa ya hovyo sana.

Tuiombee sana CHADEMA watuletee TUNDU ANTIPASS LISSU aongoze haya mapambano ya kupata Katiba iliyo bora ili nchi yetu iweze kuondokana na siasa uchwara.

Lord denning
Pataya, Thailand
Mkuu tatizo siyo Katiba! Tatizo ni nchi kuongozwa kijeshi.
Swala la kila Chama kuwa na utaratibu wake kumchagua au kumsimamisha mgombea halihusiani na Katiba ya Nchi.
Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni sehemu ya Chama tawala! Ndivyo vinavyomsimika Rais!
Sasa kama vyombo ni sehemu ya Chama vitamchagua Rais nje ya Chama dola?
 
Mkuu tatizo siyo Katiba! Tatizo ni nchi kuongozwa kijeshi.
Swala la kila Chama kuwa na utaratibu wake kumchagua au kumsimamisha mgombea halihusiani na Katiba ya Nchi.
Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni sehemu ya Chama tawala! Ndivyo vinavyomsimika Rais!
Sasa kama vyombo ni sehemu ya Chama vitamchagua Rais nje ya Chama dola?
Focus ya Katiba Mpya sio kwa ajili ya masuala ya CCM. Hitaji la Katiba Mpya ni kwa ajili ya kuijengea nchi yetu mifumo imara itakayotuahikishia maisha mazuri na maendeleo ya uhakika kwa wananchi.
 
mlishaambiwa katiba ni kijitabu tu, hamuelewi au?
Aliyesema anajua impact iliyopo endapo kutakuwepo na Katiba yenye nguvu inayoweka ulazima kwa wanasiasa kuiheshimu.

Sasa msikilizeni muendelee kuumia
 
Ndugu zangu sukuma gang poleni sana. Najua mmeumia sana. Ila huo ndo mchezo wa siasa ulivyo.

Watu wali mu underestimate sana Samia kuhusu uwezo wake wa kufanya siasa. Sasa mmejionea kwa chenga ya mwili aliyowapiga kule Dodoma wote mliokuwa mnapanga kumuangusha kupitia mchakato wa ndani ya chama.

Mtangulizi wake aliona Samia Suluhu Hassan anamfaa kuwa makamu wake mara mbili basi kama kuna wanaomu understamate watakua na shida zao binafsi

Na hao hawana madhara yoyote kwake wala kwabCCM ila watadhurika wao🤫

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
 
Back
Top Bottom