MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Mara nyingi CCM hutegemea pesa za uchaguzi Toka kwa matajiri Ambao huzawadiwa rasilimali zetu kiholela. Wakati huu imekua ni zamu ya DPW ndio maana inatetewa kwa nguvu zote.
Bibi tozo amehakikishiwa mpunga mrefu wa kampeni kwa chama chake ili waendelee kukaa madarakani na kuwalinda hawa wanyonyaji. Watanganyika tuwe macho. Narudia tena Watanganyika tuwe macho.
Bibi tozo amehakikishiwa mpunga mrefu wa kampeni kwa chama chake ili waendelee kukaa madarakani na kuwalinda hawa wanyonyaji. Watanganyika tuwe macho. Narudia tena Watanganyika tuwe macho.