JaahSijasoma comment yoyote humu
Jibu ni kwamba unamtaka wewe malaya mzee!
HahahUnazeeka vibaya
OkayIyo hali ni kawaida kwa wanaume tulio wengi lakini haina umuhimu wwt ila kama wanafanya mbele yko ndo shida tofauti na hapo take it easy
SawaBlaza ujue mda sio mrefu utamtafuna
Ndo maana ya kwa watuKuishi kwa watu kazi sana
Nao ni binadamu wakishiba miili nayo itatakaBek3 namlisha na kumvisha hanihusu kivipi! Akitiwa maradhi huko then aje kubeba wanangu ...hapana
Kaka asikuambie mtu, hio ni Hali ya wanaume woteSijui Mimi ndo nina shida au vipi!
Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!
Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!
Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!
Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!
Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!
Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!
Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?
OohKaka asikuambie mtu, hio ni Hali ya wanaume wote
Ooh nikajua ni mm tuKaka asikuambie mtu, hio ni Hali ya wanaume wote
Sijui Mimi ndo nina shida au vipi!
Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!
Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!
Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!
Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!
Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!
Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!
Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?
una wivu wa kimaskiniSijui Mimi ndo nina shida au vipi!
Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!
Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!
Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!
Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!
Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!
Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!
Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?