Imekaaje hii. Najikuta nachukia tu kuona house girl anapoongea na mabwana zake kwenye simu

Imekaaje hii. Najikuta nachukia tu kuona house girl anapoongea na mabwana zake kwenye simu

Unateseka na huwaambii, huwa unaishia kufanya nini?

Wahakikishie tu utawapa wanachoki-pacha pachia hutojuta.
 
Sijui Mimi ndo nina shida au vipi!

Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!

Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!

Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!

Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!

Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!

Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!

Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?
Kaka asikuambie mtu, hio ni Hali ya wanaume wote
 
Mkuu trust me unasumbuliwa na wivu,Kuna kitu unaona hao mabwana wa shemeji na house girl wako wamafaidi,Kuna namna unatamani nafasi hiyo ingekuwa yako kisa tu Kuna vitu unawahudumia!!!

Ok fine tuchukulie huna wivu ,Ila sio vizuri kwa mtu aliyechini yako kufanya mawasiliano ambayo Ni ya kimapenzi ilihali bado mahusiano hayo sio rasmi!!!

Mwisho mwambie mkeo aongee na hao mabinti wasiwe wanafanya mawasiliano ya kimahaba mbele yako au mbele ya watu walowazidi umri,na sioni haja ya wewe kuwafukuza.

Kwangu Wakati na lala na mabinti nyumba moja ilikuwa Ni marufuku kuongea na simu muda wa usiku,na chart zake azifanye bila kuingilia Uhuru wangu Kama baba wa familia,
 
Sijui Mimi ndo nina shida au vipi!

Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!

Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!

Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!

Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!

Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!

Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!

Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?

Kama we mwanaume hizo ni dalili za mwanzo za kuwa shoga - wivu wa kike
 
Sijui Mimi ndo nina shida au vipi!

Mtoto wa watu (house girl) anahaki ya kuwasiliana na watu wake!

Lakini pale anapopigiwa simu na mabwana zake au kuchat na kitochi pachapacha mbele yangu huwa nachukia sana, huwa natamani nifurushe kabisa!

Siyo bek3 tu, hata wadogo zake na mke wangu wa kike (shemeji) wakipokea simu za wanaume wao mbele yangu huwa namaindi kinyama ila huwa siwambii!

Nalipa mshahara, nalisha vizuri, navisha kama watoto wangu!

Lakini ile pacha pacha ya zimu za wanaume nikisikia huwa natamani nimfukuze kabisa aondoke kwangu!

Huwa naona kama natunza mizigo ya watu!

Je hili la kuumizwa na simu za bek3 au shemeji ni Mimi tu na huko kwenu?
una wivu wa kimaskini

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Eti unalisha una valisha wanapendeza...
Kama unadhani hao ni ngombe ama mbuzi chinja(wale wewe).

Uko na wivu nakushauri achana nao mind your own things....

Tena wakitendwa uwashauri.
 
Back
Top Bottom