Imekaaje Watanzania wengi kuwasilisha kuuza figo zao Muhimbili kisa umaskini?

Imekaaje Watanzania wengi kuwasilisha kuuza figo zao Muhimbili kisa umaskini?

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Mbona kama jamii watu wamefika huku, nini kimefeli, kwa nchi yenye madini ya kumwaga, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri kote, vivutio bora Afrika vya kitalii na mazuri mengine mengi. Tatizo nini haswa?

 
Ni upendo tuu
JamiiForums549897185.jpg
 
Bei ya figo unaijua lakini? Yaani hakuna uwekezaji wowote ukilingisha na kilimo au madini.

Halafu inawezekana kila nchi Africa watu wameenda kuulizia bei kwenye hospital zao ila issue ni kuwa hospital zao zimekaa kimya au hatuna access na habari za nchi hizo
 
Bei ya figo unaijua lakini? Yaani hakuna uwekezaji wowote ukilingisha na kilimo au madini.

Halafu inawezekana kila nchi Africa watu wameenda kuulizia bei kwenye hospital zao ila issue ni kuwa hospital zao zimekaa kimya au hatuna access na habari za nchi hizo

Ha ha ha!! Ndio hapa nimeona kumbe kuna uzi ulikua umefunguliwa kuhusu hili, comments za Watanzania humo hadi basi, nimecheka sana, mumeshindkana yaani.
 
watu 36 kwenye milioni 60 plus ndo watu wengi 🤣🤣🤣🙌
 
maisha ni magum sana ndani ya Tanzania. heri wao wamejitokeza bila soni bila haya na kuweka mambo wazi.
wapo wengi wanaoteseka na wamekosa namna ya kujitokeza wanasubiria kufa tu.
katika hii dunia, kuna watu wanaoishi na pia vilevile kuna wasindikizaji
 
maisha ni magum sana ndani ya Tanzania. heri wao wamejitokeza bila soni bila haya na kuweka mambo wazi.
wapo wengi wanaoteseka na wamekosa namna ya kujitokeza wanasubiria kufa tu.
katika hii dunia, kuna watu wanaoishi na pia vilevile kuna wasindikizaji
Aheri hawa wanauza figo kuliko wanaume wa Kenya wanaokilimbilia kuolewa Ulaya na America.
 
Aheri hawa wanauza figo kuliko wanaume wa Kenya wanaokilimbilia kuolewa Ulaya na America.

Vita unayoitafuta hapa mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]
Subiri mtoa mada aje na hajawahi kukubali kushindwa
 
Mbona kama jamii watu wamefika huku, nini kimefeli, kwa nchi yenye madini ya kumwaga, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri kote, vivutio bora Afrika vya kitalii na mazuri mengine mengi... Tatizo nini haswa


Watanzania 36 ni asilimia ngapi ya idadi ya wananchi wote?
 
Mbona kama jamii watu wamefika huku, nini kimefeli, kwa nchi yenye madini ya kumwaga, ardhi kubwa yenye rotuba nzuri kote, vivutio bora Afrika vya kitalii na mazuri mengine mengi... Tatizo nini haswa

Umasikini Tanzania upo lakini sio wa kiwango cha Kenya mpaka watu wanakosa chakula.
 
Umasikini Tanzania upo lakini sio wa kiwango cha Kenya mpaka watu wanakosa chakula.

Hampaswi kuwa maskini pamoja na raslimali zote hizo, tatizo lenu uzembe uliosababishwa na ujamaa....
 
Back
Top Bottom