Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Hii ni Tabia chafu sanna ya kufumua barabara kisha inaachwa zaidi ya miezi sita huku ikiathiri maisha ya watu kwa maradhi ya macho mafua vifua vumbi kali sanna magari kuharibuka kwa mashimo tumerudi miaka nyuma huko.
Kwanini kama budget hazijatengwa barabara zifumuliwe?
Naendelea kusema Serikali ya mama ina tatizo la kimfumo mambo hufanyika hovyo hovyo.
Na cha kushangaza kelele za machawa ni nyingi mno Bimkubwa yameshinda mwambieni akae pembeni
Kwanini kama budget hazijatengwa barabara zifumuliwe?
Naendelea kusema Serikali ya mama ina tatizo la kimfumo mambo hufanyika hovyo hovyo.
Na cha kushangaza kelele za machawa ni nyingi mno Bimkubwa yameshinda mwambieni akae pembeni