Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Je, mdau unadhani wako sahihi kuomba radhi kwa jambo la mteja?

The Cask Bar and Grill wameomba radhi baada ya kuona video ya wateja wao wakiwa wametumia banner ya the Cask kuweka ujumbe uliosomeka "Okoa Bandari"

The Cask wameomba radhi kwa tukio hilo na kusema kuwa banner yao hutumika na mteja yoyote anayenunua vinywaji vya bei ghali

Your browser is not able to display this video.
 
Hapa tutawalaumu bure lakini kiukweli ukiwa mfanya biashara ukatishiwa kidogo na unajua wanauwezo wa kukufanya chochote ili kuepuka athari ya umaskini utakubali makosa, sisi tutawatetea mitandaoni mwisho tutamwacha
 
Hatuendi tena kunywa hapo. Hela nilipe mimi afu wanipangie cha Kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…