Tena kama ulikuwepo ndanii ya akili yangu dear, akizubaa anabandikiwa tuu. Atakapokuja kundua am already too far. Am cheating i cannot do that...i am a human being too, nanisingependa more problems. Ntazaa tuu na Mr. wangu na tutabanana hapa hapa naye. Pengine awalete hao wanawake ndani...hapo tena sina budi nikusepa tuu.Penzi la kweli adimu dunia ya leo, ila inabidi uwe makini usije ukapata mimba ya bf halafu ukampachikia mumeo.
Penzi la kweli adimu dunia ya leo, ila inabidi uwe makini usije ukapata mimba ya bf halafu ukampachikia mumeo.
Tena kwa your information ndo zinazopeleka ndoa mbele kwa karne ya sasa. Sema wanawake wenzangu wanaji act kama vile hawafanyi. Hiyo ndio drama sasa ndugu yangu. Unafiki unafiki unafiki tuu ndo uliowatawala. Mbona ufuska umetawala sana kwenye masaloon sasa...ask yourself that question.
...hii ngoja nim printie mamsapu wangu, kila akitaka kwenda saloon namtolea hii... 😀
Angalia usije ukawa unamuamsha aliye lala! sijaandika hapa iwe kama reference. Fatilia na upate information full, yawezekana naye anajiuliza niwapi anaweza kumegwa bila ya ww kujua akawa hajui...so utakuwa umempa akili mwanangu mwenyewe. Tuliza ball, mambo ya jamvini uayaache humu humu. Hizo ni kama formula ya kupigia mahesabu yako. lol!...hii ngoja nim printie mamsapu wangu, kila akitaka kwenda saloon namtolea hii... 😀
Usijali baba, ndo continuation yake. lol.Natufuta ile thread uliyoanzisha....kuomba ushauri wa kumegwa nje....huko Scandnavia.....nione tuliconclude vipi.......!
Natufuta ile thread uliyoanzisha....kuomba ushauri wa kumegwa nje....huko Scandnavia.....nione tuliconclude vipi.......!
yawezekana naye anajiuliza niwapi anaweza kumegwa bila ya ww kujua
Good idea,
Mkuu mbu ulipata salamu zangu lakini?
Yes we can. To my side nadhani ni Mpango wa Mungu kukupa mtoto au sio.Mrs Mtaba,
Can we discuss the situation of not having a baibe in u r marriage?
The risk of HIV infection is exponentially proportional to the number of partners involved in this chain.
Natufuta ile thread uliyoanzisha....kuomba ushauri wa kumegwa nje....huko Scandnavia.....nione tuliconclude vipi.......!
Imekaaje hii!
Mrs Mtaba14th April 2009, 08:51 PM
Za leo wana jf, jamani leo nilikuwa nagombana na Mr. kuhusu swala fulani hivi la mimi kwa kuwa sijawa na kazi bado kutokana na kwamba ni lazima nijue hii lugha ya wa denish ndipo nipate kazi nzuri...kwa kweli maisha yetu yamekuwa ya misukosuko sana kwa kuwa kipato nikidogo kumpelekea mpaka kushindwa kulipa bills zingine...hata hela yamatumizi yangu hushindwa kunipa. Sasa nilikutana na buzi moja la kiarabu halina mke wala nini...limenipenda sana na linataka mahusiano nami...nikamwambia mimi nimke wa mtu...akasema poa tuu, akanipa mbinu kuwa tufanye kama naenda kumfundisha kimombo then tuendelee na mambo yetu...Nimemdokezea Mr. hili kawa mkali kweli...ila sasa cha ajabu mr. akaniambia eti aje nimfundishe hapa home...sasa nauliza hivi je nimefanya kosa kusema hivi, na je ningesemaje.
Angalia usije ukawa unamuamsha aliye lala! sijaandika hapa iwe kama reference. Fatilia na upate information full, yawezekana naye anajiuliza niwapi anaweza kumegwa bila ya ww kujua akawa hajui...so utakuwa umempa akili mwanangu mwenyewe. Tuliza ball, mambo ya jamvini uayaache humu humu. Hizo ni kama formula ya kupigia mahesabu yako. lol!
I'm back...angalia hii hapo chini......! .....Bibie wewe ulishadhamiria na ulikuwa unamegwa toka long time na hilo buzi....hapa watafuta justification tu.......Lol!