Imenisikitisha sana kwahiyo siku hiz mmehamia kwenye biskut? Aisee

Imenisikitisha sana kwahiyo siku hiz mmehamia kwenye biskut? Aisee

Wanaume wa dar wamekukosea nini shemeji yangu???
Na ulienda dar kufanya nini si ungebaki tuu Mwanza jamani [emoji6][emoji6] kakaako kakusoma kamind balaah, kasema ukija dar usifike tena nyumbani kwetu.
 
Wanaume wa dar wamekukosea nini shemeji yangu???
Na ulienda dar kufanya nini si ungebaki tuu Mwanza jamani [emoji6][emoji6] kakaako kakusoma kamind balaah, kasema ukija dar usifike tena nyumbani kwetu.
Hahahahaa shemu acha bas hii id yangu mpya haijui

Nilikuwa nimeagizwa na mshua shem wangu
 
Wapo watu wanashindia kahawa nini biskuti..... huwa nashangaa sana bola ufunge tu ijulikan jioni ufuturu
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Husika na kichwa cha habar hapo juu


Niko hapa dar nimeagizwa vitu kazaa na mshua mara yangu ya mwisho kufika hapa ilikuwa mwaka jana

Mwaka jana nilibaki hoi sana baada ya kufika na kuwaona wanaume waliovaa vinguo vya kubana mapaja kama zile wanazovaa dada zetu, sio hivyo tu nilikuwa nikiwaona wamejikusanya sehemu wanakula vitu vinavyoitwa chips nilishangaa sana kwakweli


Sasa leo ndo nimeshangaa zaid baada ya kuona siku hiz hawali tena chips wanashindia biskuti na azam cola, nimesikitika sana kwakweli aisee


Kwahiyo enyi wanaume wa dar mumetoka kwenye ulaji wa chips na mumehamia kwenye biskut

Ndo maana wanawake wa dar hawaish kulia lia kutolizishwa na wanaume wao

Mnashindia biskut aisee mumeniacha hoi sana


LONDON BABY
Kamuulize mshua aliyekuwezesha kuyaona haya Ana majibu zaidi
 
Wapo watu wanashindia kahawa nini biskuti..... huwa nashangaa sana bola ufunge tu ijulikan jioni ufuturu
Hahaaaa wanashangaza sana hawa watu mkuu afu ukiwambia wanatokwa povu baraa
 
Haya maneno yakiongelewa mkumbuke sio wote wako hivyo, kuna wengine sawa tunakula biskuti lakini hatujaribiwi, "asili haipotei"
 
Back
Top Bottom