Imeniuma sana

Imeniuma sana

at last sasa unaongea vizuri, unadhani ukiongea hivi hata kama nimekasirika kiasi gani naweza kweli kunyoosha mkono wangu kukupiga, aaah, nitaishia tu kusema sweetie, angaliangalia vipi tutoke leo si unajua tangu enzi zile za bibi kigomaaaaaa, .............aaaah, bana na wewe hutaniwi? basi nisamehe switie, sometimes nakupendaga ila huwa hujui tu, mie hata unibebeshe migunia ya kuniangusha nitajitahidi japo nikurushie kabusu hata kamoja tu kabla sijaanguka................. aaah..............aaah................ kisha nakuvutia chumbani, tunasawazisha kiutu uzima, si unaona sasa? hakua cha hospitali wala machela!!!!

Hee! Na mimi nijibuje
..." sawa mpenzi lakini huwa unanikosea mume wangu, unapotembea na huyo wa nje najua hutumii kondomu kabisa. sawa nasubiri uniue kwa maradhi!!' nawe utanijibu
Hapana darling siwezikukuua nakupenda sana na huwa ninahakikisha kule navaa condom tena mbili kwa ajili ya kukulinda.....?????

Akili Kichwani mpenzi wangu hapa hapana loh!!
 
Nilijua tu utasema Nyumba Niitu!

hahahahahaha!

Mama yangu ni Mtu wa Ilembula!
Unaweza ukuwa ankal!
hehehe!
mimi ni ankal DEFINETELY!......mhaji huko,ilembula,iyai,halali,kangaga,igwachanya nimefanya sana biashara zangu huko
 
Ila huyo naye kazidi, utamsevuje kimada Honey....? Sasa na huyo mkewe kwenye simu kamsevuje? KISIRANI au? 🙂
 
nakwambia leo kazi ipo mkuu,
kumbe beijing V/S bustani ya edeni ni vita kamili!!!!!!!!!!!!
uwe makini bwana mkubwa usiniharibie program yangu ya tar 13/02/2010.wa-beijing wengi ndio wachangiaji...!wanaume BLAH BLAH na UKANDAMIZAJI!lol

SHAME ON MEN
 
Ila huyo naye kazidi, utamsevuje kimada Honey....? Sasa na huyo mkewe kwenye simu kamsevuje? KISIRANI au? 🙂
Ah naona lunch tym inakua nzuri....dah nimecheka sana!!
 
ni frnd wangu wa kufa na kuzikana, ni yeye kila cku alikuwa ananicctiza kutoshika/jali cm ya mr akinisihi kama napenda nikae kwenye ndoa kwa amani nicjihucshe na mambo ya cm ya mr kama yeye anavyoiogopa cm ya mr wake, cjui juzi kitu kama kimemuingia wapo supermarket mr kasahau fone kwenye gari akasema ngoja niperuzi akakutana na msg ya kwanza kutoka kwa "my han' ndivyo ilivyoseviwa hivyo na msg ilkuwa inasema "my han naomba ukija upitie supermarket unichukulie vitu vya ndani vimeniishia".....mr karudi kwenye gari mke kamuuliza vizuri tu kuna mtu umem save my han, ni nani huyu mume wangu, mume hakujibu lolote kawasha gari mpaka home kufika kamkung'uta mke wake ipasavyo,, akawasha gari kaondoka bila maelezo yoyote na mpaka sasa hajulikani alipo, jana asubuhi frnd ndio ananical ananieleza yote haya, ana mimba ya miezi 4 akaniambia ameona kitu kama period hivi nikamwambia wahi hosp itakuwa ni mshtuko wa kipigo, namaliza kuongea nae housegal wake ananical ananimabia "dada" amezimia, kumbe alipigwa vibaya ameumia ndani kwa ndani sehemu za kichwa yupo KCMC amelazwa hajitambui na mimba imetoka, ndio nipo naelekea moshi kumuona.....hebu mniambei jamani tunakoelekea na hizi ndoa....nimebakia kulia tu nikiomba mungu nimkute salama....waume zutu hivi mnataka tuwafanyie lipi jema kwenu jamani, mliooa humu hebu niambieni kosa la huyu mdada kupata kipigo kikali hivi ni nini?

Pole sana Nyamayao na rafikiyo. Hii somo aliyokuwa anakupa kwa maneno amekufikishia kwa matendo kabisa. Unfortunately imekuwa kama kujaribu ukali wa sumu kwa kuionja. Ni hivi, unachokataza wenzio kama kina ubaya na wewe pia usikifanye.

Huyo mume natumaini yuko rumande.
 
Hee! Na mimi nijibuje
..." sawa mpenzi lakini huwa unanikosea mume wangu, unapotembea na huyo wa nje najua hutumii kondomu kabisa. sawa nasubiri uniue kwa maradhi!!' nawe utanijibu
Hapana darling siwezikukuua nakupenda sana na huwa ninahakikisha kule navaa condom tena mbili kwa ajili ya kukulinda.....?????

Akili Kichwani mpenzi wangu hapa hapana loh!!

dah, mambo yanaanza kunoga mpenzi..............

hapo mwishoni mie sitasema "...navaa condom mbili...." hapana nitaapa kuwa kuanzia leo yule nyani bizaini sitaki hata kuiona sura yake, ukitaka mpenzi tupange nikuonyeshe umfunze adabu aache kupenda vya wenzie. hatujui yule tumetoka mbali mi na wewe, lakini dia na wewe punguza wivu, yaani ulinitizama jicho hilo mpaka nikaogopa! utadhani uliataka kunimeza!....... ndio maana nakupenda, ngawala ya maisha yangu, hata mawimbi yvume makubwa kiasi gani, sisi tunapeta tu baharini, mwe.... i alwayz thank God for you dia
 
uwe makini bwana mkubwa usiniharibie program yangu ya tar 13/02/2010.wa-beijing wengi ndio wachangiaji...!wanaume BLAH BLAH na UKANDAMIZAJI!lol

SHAME ON MEN

mkuu, i wish u all da best kwenye hiyo program.......usigope rasharasha mkuu, masika yako ndani ya ndoa!!!!!!!!
 
dah, mambo yanaanza kunoga mpenzi..............

hapo mwishoni mie sitasema "...navaa condom mbili...." hapana nitaapa kuwa kuanzia leo yule nyani bizaini sitaki hata kuiona sura yake, ukitaka mpenzi tupange nikuonyeshe umfunze adabu aache kupenda vya wenzie. hatujui yule tumetoka mbali mi na wewe, lakini dia na wewe punguza wivu, yaani ulinitizama jicho hilo mpaka nikaogopa! utadhani uliataka kunimeza!....... ndio maana nakupenda, ngawala ya maisha yangu, hata mawimbi yvume makubwa kiasi gani, sisi tunapeta tu baharini, mwe.... i alwayz thank God for you dia

Halafu ukitoka kwangu wenda kwa huyo wa huko na kumwambia ' ah nishayamaliza hana ubavu yule wa kunizuia mie kuwa na wewe- hana say yoyote juu yangu tuendeleze mapenzi yetu kwanza nimemwambia nataka nimpe talaka, kikanililia pale nikakionea huruma but nimekiambia kikirudia tena tu ni talaka kwa kwenda mbele atupe nafasi nijilie maisha na mrembo weye' kesho na keshokutwa yule kimada hachelei kujitapa kwanza mumeo kasema huna lolote na umembembeleza asikuache kwa kuwa utaumbuka mjini hapa.

Yaani sijui ni movie stars nyie???
 
Ila huyo naye kazidi, utamsevuje kimada Honey....? Sasa na huyo mkewe kwenye simu kamsevuje? KISIRANI au? 🙂

Hahahahaaa itakuwa kama ila ya jamaa ndoa ilivunjika baada ya mkewe kukuta kaseviwa GUANTANAMO
 
my GOD! kumbe ni kweli wanaume tunatofautiana na wengine ni kama wanyama unaweza kupiga mtu uliye-share naye bed/love mpaka mkapata kiumbe kitarajiwa then unapiga kama mwizi? huyu ni mwanaume au shetani?anahitaji maombi ya nguvu lazima pepo amempitia ndiyo maana hata kazini hayupo hata kama ni kunogewa na penzi la huyo shangingi si alikuwa anachapa na kurudi siku zote hizo? Kimsingi Babra First lady na wengine wote ni sahihi kuwa na uhuru ktk privacy ya mobile phones,lakini siyo strictly forbiden kwa couples kuangalia phone ya spouce wake ni ruksa kabisa labda zile za kazi nyeti kama usalama nk.Iwapo una mabomu ktk cmu yako uliza wataalamu wakuambie jinsi ya kusevu hayo majina,kila vilivyo kama ni mwaume wa kweli uliyepita jandoni na kufundwa ;honey anakuwa mmoja tu wengine wanapaswa kupewa majina mengine siyo honey,wife,sweetie hayo ni ya nyumbani,wengine waitwe kimeo,kama Joyce mserve Juma nk.pole sana Babra mpe pole huyo mdada nimeumia sana
 
Halafu ukitoka kwangu wenda kwa huyo wa huko na kumwambia ' ah nishayamaliza hana ubavu yule wa kunizuia mie kuwa na wewe- hana say yoyote juu yangu tuendeleze mapenzi yetu kwanza nimemwambia nataka nimpe talaka, kikanililia pale nikakionea huruma but nimekiambia kikirudia tena tu ni talaka kwa kwenda mbele atupe nafasi nijilie maisha na mrembo weye' kesho na keshokutwa yule kimada hachelei kujitapa kwanza mumeo kasema huna lolote na umembembeleza asikuache kwa kuwa utaumbuka mjini hapa.

Yaani sijui ni movie stars nyie???

mpenzi hapa tulipofika sasa tuko pamoja. muafaka ukifikiwa kwa njia hii halafu tena mwenzio akugeuke akakukandie kwa hawara, aaa hata mie hapo nasema mwanaume atakuwa kamkejeli si tu mkewe, bali Mwenyezi Mungu pia.

as a preventive measure, wanawake acheni kabisa ujeuri, msibishane na mwanume, tumieni vipawa vyenu mlivyojaaliwa na Mungu, macho mazuri yanayolegea, sauti nyororo isiyo na mikwaruzo, sura nzuri inayohitaji tabasamu kila wakati nk. mwanume akiona changez tu, kama hamna visa vingine, atakuulizatu una nini leo, mbona hauko katika mood. sasa mnapoanza u-tyson ndio na wanume wanafanya u-evander kama si u-jcina kabisa.

tuko pamoja mpenzi, tupendane kihalisi, tuonyeshane mapenzi ya kweli, tubembelezane. naua wanaume tumeumbwa na hulka ka ubabe kidogo na tuaogopa sana kuonekana kuwa mwanamke katushinda, ni ile hofu ndiyo inayoweza hata kupelekea kuua. hata kubaka, wanaume wengi sana wamebaka kwa sababu eti alina angemuacha hivihivi demu angemdharau. ni maumbile tu wapendwa hatuwapuuzi wala kuwachukia wnawake, tunawapenda sana, msitutibue, hsira zetu zote ni za kimaumbile tu.

tuombe Mungu mpendwa tutafika tu
 
Hahahahah! Hiyo kali! Kweli huyo jamaa alikuwa kamchoka mkewe!
We acha tuu inawezekana jamaa anapata mateso makali kutoka kwa Mkewe mpaka kamua kumuita Guantannamo!! si unajua Materarist wanavyotesaka kule guantannamo? dah si mchezo!!
 
Ila huyo naye kazidi, utamsevuje kimada Honey....? Sasa na huyo mkewe kwenye simu kamsevuje? KISIRANI au? 🙂


my han...can u imagine laaziz, mama babra amenical ananiambia amezinduka lakini bado ana wenge wenge....natamani nipae nifike haraka..
 
Pole sana Nyamayao na rafikiyo. Hii somo aliyokuwa anakupa kwa maneno amekufikishia kwa matendo kabisa. Unfortunately imekuwa kama kujaribu ukali wa sumu kwa kuionja. Ni hivi, unachokataza wenzio kama kina ubaya na wewe pia usikifanye.

Huyo mume natumaini yuko rumande.

thnx bro, c bora angejulikana alipo bac.
 
Hahahahaaa itakuwa kama ila ya jamaa ndoa ilivunjika baada ya mkewe kukuta kaseviwa GUANTANAMO


Jeni unajua me ctaki kucheka, nina majonzi! hilo balaa kweli kweli.
 
my han...can u imagine laaziz, mama babra amenical ananiambia amezinduka lakini bado ana wenge wenge....natamani nipae nifike haraka..

Pole mpenzi yaani natamani ningesomea uandishi wa habari yaani hii movie ningeifuatilia hadi mwisho!! jamaa ndo kaua kiumbe chake!! Naikumbuka ile thread ya Geoff kama sikosei ile ya heshima kwa wanawake!
 
Back
Top Bottom