MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
at last sasa unaongea vizuri, unadhani ukiongea hivi hata kama nimekasirika kiasi gani naweza kweli kunyoosha mkono wangu kukupiga, aaah, nitaishia tu kusema sweetie, angaliangalia vipi tutoke leo si unajua tangu enzi zile za bibi kigomaaaaaa, .............aaaah, bana na wewe hutaniwi? basi nisamehe switie, sometimes nakupendaga ila huwa hujui tu, mie hata unibebeshe migunia ya kuniangusha nitajitahidi japo nikurushie kabusu hata kamoja tu kabla sijaanguka................. aaah..............aaah................ kisha nakuvutia chumbani, tunasawazisha kiutu uzima, si unaona sasa? hakua cha hospitali wala machela!!!!
Hee! Na mimi nijibuje
..." sawa mpenzi lakini huwa unanikosea mume wangu, unapotembea na huyo wa nje najua hutumii kondomu kabisa. sawa nasubiri uniue kwa maradhi!!' nawe utanijibu
Hapana darling siwezikukuua nakupenda sana na huwa ninahakikisha kule navaa condom tena mbili kwa ajili ya kukulinda.....?????
Akili Kichwani mpenzi wangu hapa hapana loh!!