Napata hisia kwamba ndoa ilikua ya kung'ang'aniza....so girls don force your ways into marriage....let the act be mutual.
Mungu anajua kashkash za aina hii zinawapataka wanyonge, yani wanawake wenye adabu zao za ukweli na beliefs in respet for husbands. Bado tu hajatafuta arrest warrant? angekuwa kafa ungeona jamaa anatafutwa sasa hivi lakini kwa kua kaponea puchu puchu jamaa yuko free anakula gutime kwa kimada wake.hiyo angekuwa imemkuta babra nakuhakikishia hayo unayosema ungekuwa sawa kabisa, kwa huyu nimjuavyo hanaga papara, kwa maelezo yake alivyoona hajibiwi akajua tu ndio mambo ni mseto tayari na akasema alikuwa hana nia ya kumuuliza/cctiza coz ameshajua kinachoendelea hata angetaka ajibiwe angepewa historia tu, na nimemuuliza housegal walivyofika home ilikuwaje? akaniambia dada aliingia tu ndani kama kawaida akawa anaangalia tv ndio kaka akaja na kuanza kumpiga vibao, vibao vikazaa ngumi na kuvua mkanda kumtandika nao....mie ningelala nae polic walaah..
Na kwa akili yako unafikiri ndo ulikuwa umetatua tatizo? Kutokukuuliza!
sasa watch out chief; Hapo umemfungulia mlango wife wako na siku moja tena siku si nyingi utamkuta Mume mwenzio hapo nyumbani! Mark my words!
Unajua usemi wa kiswahili usemao Mytenda hutendewa!
na ule wa Kiingerza wa What goes arround comes arround? (Cjui nimepatia na hii fom fwo yangu!)
Sasa ndugu nakuomba; Kaaa na my wife yako Muombe msamaha!
Wala usijitie ujanja ndugu yangu wewe jishushe toka huko ghorofani uliko jijazia misifa ya uanaume na muangukie mwenzi wako kwa kosa kubwa ulilomfanyia!
Hastahili hata kidogo kufanyiwa hivyo ikiwa kweli huyo ni mkeo!
Nitakuambia kitu kimoja ambacho cc wanaume kinatuponza!
We always think whe we "PLAY" with women we are the WINNERs and the masters of the GAME! For your information we are the biggest LOOSERS na women can drive us like anything by acting dumb like in this case! She is not as dumb as you think!
Take care!
Back to the topic
Huyo jamaa anastahili kuwa jela muda huu tunaongea na kama ingekuwa amri yangu afungwe maisha asikuta nae na viumbe wengine tena milele!
ni frnd wangu wa kufa na kuzikana, ni yeye kila cku alikuwa ananicctiza kutoshika/jali cm ya mr akinisihi kama napenda nikae kwenye ndoa kwa amani nicjihucshe na mambo ya cm ya mr kama yeye anavyoiogopa cm ya mr wake, cjui juzi kitu kama kimemuingia wapo supermarket mr kasahau fone kwenye gari akasema ngoja niperuzi akakutana na msg ya kwanza kutoka kwa "my han' ndivyo ilivyoseviwa hivyo na msg ilkuwa inasema "my han naomba ukija upitie supermarket unichukulie vitu vya ndani vimeniishia".....mr karudi kwenye gari mke kamuuliza vizuri tu kuna mtu umem save my han, ni nani huyu mume wangu, mume hakujibu lolote kawasha gari mpaka home kufika kamkung'uta mke wake ipasavyo,, akawasha gari kaondoka bila maelezo yoyote na mpaka sasa hajulikani alipo, jana asubuhi frnd ndio ananical ananieleza yote haya, ana mimba ya miezi 4 akaniambia ameona kitu kama period hivi nikamwambia wahi hosp itakuwa ni mshtuko wa kipigo, namaliza kuongea nae housegal wake ananical ananimabia "dada" amezimia, kumbe alipigwa vibaya ameumia ndani kwa ndani sehemu za kichwa yupo KCMC amelazwa hajitambui na mimba imetoka, ndio nipo naelekea moshi kumuona.....hebu mniambei jamani tunakoelekea na hizi ndoa....nimebakia kulia tu nikiomba mungu nimkute salama....waume zutu hivi mnataka tuwafanyie lipi jema kwenu jamani, mliooa humu hebu niambieni kosa la huyu mdada kupata kipigo kikali hivi ni nini?
Haaa haaaaaaaa. Men, men, men! you will never cease to amaze me.Mkuu naona umekwenda mbali kupita maelezo.....silence means a lot! Mtu wako akishaona umekuwa silent kwenye issue ya msingi anajua umekosa na anatambua umejutia kosa lako......wala haihitaji kuanza kupigizana makelele. Mwisho wa makelele ni vurugu kama hii iliyotokea.
Life katika nyumba sio mashindano......dereva mzuri ni yule anayekwepa ajali....sio kwa vile mwenzio anamakosa basi usababishe ajali (yaani aone kwa vile jamaa kamega basi na mimi nimegwe)...it doesn't make sense
Mungu anajua kashkash za aina hii zinawapataka wanyonge, yani wanawake wenye adabu zao za ukweli na beliefs in respet for husbands. Bado tu hajatafuta arrest warrant? angekuwa kafa ungeona jamaa anatafutwa sasa hivi lakini kwa kua kaponea puchu puchu jamaa yuko free anakula gutime kwa kimada wake.
mkuu katoa onyo la nguu! na akome akomae kugusa vya mume akidhani vyake.
kosa lake ni kugusa simu ya mzee bila ruhusa. kwa kweli hata miye demu likirogwa likagusa simu yangu, naua mtu!!!!!!!
unajua wanawake wakiona wameolewa wanajisikiaaaaaaa, sasa tuombe Mungu atoke hospitali salama na atakuwa ameshka adabu ya mbwa mwizi
kweli yani!.....ah ah ah ww!!!!!!
kweli yani!.....
niko siriaaz at
Kazi kwelikweli......ila kwa wewe ni "Demu" kwa mwenzako alikua ni Mume!!mkuu katoa onyo la nguu! na akome akomae kugusa vya mume akidhani vyake.
kosa lake ni kugusa simu ya mzee bila ruhusa. kwa kweli hata miye demu likirogwa likagusa simu yangu, naua mtu!!!!!!!
unajua wanawake wakiona wameolewa wanajisikiaaaaaaa, sasa tuombe Mungu atoke hospitali salama na atakuwa ameshka adabu ya mbwa mwizi
mkuu katoa onyo la nguu! na akome akomae kugusa vya mume akidhani vyake.
kosa lake ni kugusa simu ya mzee bila ruhusa. kwa kweli hata miye demu likirogwa likagusa simu yangu, naua mtu!!!!!!!
unajua wanawake wakiona wameolewa wanajisikiaaaaaaa, sasa tuombe Mungu atoke hospitali salama na atakuwa ameshka adabu ya mbwa mwizi
yaani cjui ni nini juzi hiyo kimemuingia frnd wangu, sasa na huyu mume kama anajiamini kweli kwanini hajulikani alipo, sio job/home wala fone haipatikani, c aje bac a face tatizo?
kwa huyu nimjuavyo hanaga papara, kwa maelezo yake alivyoona hajibiwi akajua tu ndio mambo ni mseto tayari na akasema alikuwa hana nia ya kumuuliza/cctiza coz ameshajua kinachoendelea hata angetaka ajibiwe angepewa historia tu, na nimemuuliza housegal walivyofika home ilikuwaje? akaniambia dada aliingia tu ndani kama kawaida akawa anaangalia tv ndio kaka akaja na kuanza kumpiga vibao, vibao vikazaa ngumi na kuvua mkanda kumtandika nao....mie ningelala nae polic walaah..
hehehe!
hauamini?
halafu taratibu na hiyo migunoπ
Mkuu naona umekwenda mbali kupita maelezo.....silence means a lot! Mtu wako akishaona umekuwa silent kwenye issue ya msingi anajua umekosa na anatambua umejutia kosa lako......wala haihitaji kuanza kupigizana makelele. Mwisho wa makelele ni vurugu kama hii iliyotokea.
Life katika nyumba sio mashindano......dereva mzuri ni yule anayekwepa ajali....sio kwa vile mwenzio anamakosa basi usababishe ajali (yaani aone kwa vile jamaa kamega basi na mimi nimegwe)...it doesn't make sense
sasa bath nini?...jaman G basiiiiiiiiiiii
sasa bath nini?...
Yes au no...!(just curious:d)