Imeniuma sana

Imeniuma sana

Yeah hakutakiwa kuhoji kabisa.
Hakumwoa kwa sababu hakuwa na sifa za kuolewa, hujui wapo wakumega tu na wapo wa kuolewa ambao wanaweza kuvumilia maswaibu yote hata wanaume hivyo hivyo.


hapo ndipo ninapochokaga jamani......hivi wanaume wote ndio mnavyofikiri hivyo?..mie ctaki jamani hebu Yesu arudi tu.
 
unafikiri zamani, kuna demu fulani pale savei ni li-advocate lina kagari kazuri, tumejisevia weee, majuzi tu! miaka hihi hii hata ufisadi ulikuwa umeishazoeleka, majuzi tu hata bembea la jk lilikuwa limeishafungwa huko jamaika!!!!!!!!!!!
....😀😀
 
tunamuombea kwa kweli apone kabisa. Lesson 1. dont save your "hun" contact kwenye simu yako, lesson 2😀O NOT browser your spouse fone lesson 3:MAKE SURE if you suspect your hun is cheating confront him/her at the police station!!

MM.....! Good lessons kuavoid confrontations za aina hii iliyompata huyo dada!

On anothere hand, kwa uzoefu wangu, kuna kina mama wengu tu, ambao ni MABOXER wazuri sana mdomoni (hasa wakisalitiwa), na mara zote boxing ya aina hiyo huend up kwa wao kuumizwa vibaya na midume yao....well kuongea sana, inaweza kuwa njia murua kwa wao kundoa machungu waliokuwa nayo moyoni....bt unfortunately on the other side ya midume, huishia kuchochoe hasira na ugomvi mkubwa!

Na mimi napata hisia za Kwetu ni Kwetu, kwamba ugomvi huu haukuanzia tu kwa kumuuliza hun kny cm ni nani.....kuna zaidi ya hayo yalizungumzwa kati ya wawili hao.......! Babra hukuwepo hapo Supermarket, HG hakuwepo huko,wala kny gari.....so I believe kunasomething else kilizungumzwa! Kama sio, bac huyu jamaa ni mnyama wa hali ya juu....abnormal man!
 
hapo ndipo ninapochokaga jamani......hivi wanaume wote ndio mnavyofikiri hivyo?..mie ctaki jamani hebu Yesu arudi tu.

Hehehehe mama hii ni kawaida ila inategemea n'tu na n'tu kama mwanaume umemweka kiganjani kwenye kamati za ufundi anakuwa zezeta lasivyo mmmh
 
hapo ndipo ninapochokaga jamani......hivi wanaume wote ndio mnavyofikiri hivyo?..mie ctaki jamani hebu Yesu arudi tu.

mamii wanasemaga wakati wa mahusiano kuna vitu wanaume huwa wanatujaribugi-kukukosea makusudi then wanacheck reaction yako ukicharuka unawekwa kwenye kundi la not for marriage ila ukinyenyekea ndo anaoa maana anajua hutawezakumcharukia akifanya mambo yake ndoani. Phweeeh ningejua ningekuwa mcharuko tu, upole haulipi hata kidogo kwa hawa viumbe.

Ila kuna wengine wako so lovable jamani hadi unawaonea wivu wake zao
 
nashukuru sana ma bro... yaani kweli nimewaogopa sana, jana mr karudi job namuangalia kwa jicho pembe tu, hata yeye namuona wale wale tu, anyway ngoja nikauguze kama ulivyoniambia then nahc nitarudi normal nikimaliza kuuguza.

Sasa ukimuona mume wako kama wanaume wengine hiloni kosa. Maana utamtreat mumeo kama mkosaji au mkosaji mtarajiwa na hiyo ita athiri sana ndoa yako. Maisha ya mwenzio siyo yako kwa hiyo hatasiku moja usiishi na mentality kwamba kilicho mtokea mwenzangu basi yatanikuta na mimi. Wewe jenga tu uimara ya ndoa yako yasije yaka kukuta wewe.Muombe Mungu dada na ata kusaidia. But kusema ukweli I understand how you fell na huyo mume wa rafiki yako kachemsha. On behalf of all man who know they were born by a woman I say I'm sorry. I don't condone his actions one bit.
 
Yeah hakutakiwa kuhoji kabisa.
Hakumwoa kwa sababu hakuwa na sifa za kuolewa, hujui wapo wakumega tu na wapo wa kuolewa ambao wanaweza kuvumilia maswaibu yote hata wanaume hivyo hivyo.

swadaktaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa............

safi sana mkuu, big up
 
Kwa mwanaume mkorofi hii ndo dawa (kama zipo kweli)

Hehehe zipo sana tena mno.... mm nataka nimfanyizie jamaa mmoja hivi ananiibia uswazi nataka nifunge safari kijijini nimpige bomu awe anajamba jamba ovyo ovyo akimkumbuka lazizi wangu wa uswazi.
 
Aksante Geoff ila kusema ukweli am not the good one, nitampotosha.


MJ1 bwana...mana utampa ungangari wote wa kupambana humo ndani, nilivyokuwa mwanza nilienda kwenye kitchen party na sis wa huyu frnd wangu, wamama wanamwambia mdada"mvumilie mumeo, yaani mpaka kufikia kukuoa wewe ujue wewe ni wa muhimu sana kwake, kazunguka kakuona wewe, akija saa 6 ucku mpashie chakula mlishe, akirudi asubuhi mpige busu mcndikize bathroom...huyu sis wetu nae kabakiwaga na akili za kuvukia barabara alivyoambiwa atoe na yeye maoni yake, akamwambia mdada' mdogo wangu mumeo akirudi ucku muhoji tena muhoji vizuri tu mpaka kieleweke, uckae ukaletewa maradhi ya wazi wazi ndani kisa unaabudu ndoa, hoji mpaka kileleweke na akupe kinagaubaga....nadhani wewe ndio type hiyo....lol
 
swadaktaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa............

safi sana mkuu, big up

Unajua kuna wanawake wa kuolewa au kuoa na kuna wanawake hawafai hata kidogo kuolewa hawa ndo wa kumegwa tu ukijitumbikiza ukamwoa utakuja juta matatizo ndani ya hausi hayaishi. Mara hili mara lile yaani tabu tupo.
 
LOVE, LOVE so nice tell me why you hurt so bad!! kwa kweli ndoa sasa hivi ni uwanja wa fujo, mwanamke anapigwa kwa upande wa khanga ati!na si mijiguvu namna hiyoo, kuna jirani yangu ameoa ana mtoto mmoja wa kike, kama mwaka sasa jamaa anaondoka asubuhi nyumbani anarudi saa saba ya usiku daily yaani, keshatengeneza nyumba ndogo na ina mtoto km wa miezi minne sasa, jamaa akirudi usiku wife wake akimuulizia unatoka wapi jamaa si kutembeza kichapo huko, mikelele usiku mzima, anasema yeye ni muislam, so anagawa taraka kwa mke ambaye alimsilimisha na hamtaki tena, TUNAENDA WAPI JAMANI? tamaa za miili yetu zitatufikisha wapi kama si umauti tu? huyo BAZAZI aliyemtwanga mke wake akashtakiwe kabisa hana ruhusa ya kumpiga mwenzi wake namna hiyo tena mpaka kumsababishia miscariage! Kile Kiapo cha siku ile ya NDOA kipo wapi? yale mabusu motomoto ya siku za uchumba mmeyatupa wapi? kweli hizi simu zinaleta mambo.
 
Ki vip hapo bibie? maana mi kwenye post zako unato ushauri mzuri tu iweje umpotoshe?

Kimey mylove leo nimeamka na kukutana na hii habari nimejikuta tu hivyo yaani hivyo- sijui labda nikitulia nitagain my senses but leo hapana!.
 
unafikiri zamani, kuna demu fulani pale savei ni li-advocate lina kagari kazuri, tumejisevia weee, majuzi tu! miaka hihi hii hata ufisadi ulikuwa umeishazoeleka, majuzi tu hata bembea la jk lilikuwa limeishafungwa huko jamaika!!!!!!!!!!!
hey, mkuu!!,
I GUESS I KNOW HUYO DEMU, KAGARI KAKE RANGI GANI???
 
MM.....! Good lessons kuavoid confrontations za aina hii iliyompata huyo dada!

On anothere hand, kwa uzoefu wangu, kuna kina mama wengu tu, ambao ni MABOXER wazuri sana mdomoni (hasa wakisalitiwa), na mara zote boxing ya aina hiyo huend up kwa wao kuumizwa vibaya na midume yao....well kuongea sana, inaweza kuwa njia murua kwa wao kundoa machungu waliokuwa nayo moyoni....bt unfortunately on the other side ya midume, huishia kuchochoe hasira na ugomvi mkubwa!

Na mimi napata hisia za Kwetu ni Kwetu, kwamba ugomvi huu haukuanzia tu kwa kumuuliza hun kny cm ni nani.....kuna zaidi ya hayo yalizungumzwa kati ya wawili hao.......! Babra hukuwepo hapo Supermarket, HG hakuwepo huko,wala kny gari.....so I believe kunasomething else kilizungumzwa! Kama sio, bac huyu jamaa ni mnyama wa hali ya juu....abnormal man!


ndio muhucka apate nafuu atuelezee ya ziada, lakini hata kama kamuumiza c angetakiwa akae hapo kumuhudumia? ictoshe frnd wangu hana wazazi, ni yeye na sis wake tu na sis ndio hivyo mpaka atoke mwanza...hivi kweli huyu atasema ana upendo na mkewe?
 
MJ1 bwana...mana utampa ungangari wote wa kupambana humo ndani, nilivyokuwa mwanza nilienda kwenye kitchen party na sis wa huyu frnd wangu, wamama wanamwambia mdada"mvumilie mumeo, yaani mpaka kufikia kukuoa wewe ujue wewe ni wa muhimu sana kwake, kazunguka kakuona wewe, akija saa 6 ucku mpashie chakula mlishe, akirudi asubuhi mpige busu mcndikize bathroom...huyu sis wetu nae kabakiwaga na akili za kuvukia barabara alivyoambiwa atoe na yeye maoni yake, akamwambia mdada' mdogo wangu mumeo akirudi ucku muhoji tena muhoji vizuri tu mpaka kieleweke, uckae ukaletewa maradhi ya wazi wazi ndani kisa unaabudu ndoa, hoji mpaka kileleweke na akupe kinagaubaga....nadhani wewe ndio type hiyo....lol

Babra unanijua vema nilivyokuwaga mpole, mnyenyekeevu hayo ya kurudi usiku wa manane na kumpikia ugali nimefanya saaana mpaka nilipoona hailipi. Unakumbuka nilipokuwa nakuja nalia lia hapa unatamani kunitandika na fimbo.

Sometimes wao wenyewe wanatufunza ujeuri ati!
 
Unajua kuna wanawake wa kuolewa au kuoa na kuna wanawake hawafai hata kidogo kuolewa hawa ndo wa kumegwa tu ukijitumbikiza ukamwoa utakuja juta matatizo ndani ya hausi hayaishi. Mara hili mara lile yaani tabu tupo.

yaani nimekukubali ile mbaya, analysisi zimetulia.

kuna wanawake hawajui kuwa haki zilizomo kwenye ndoa ni za kuzaliwa na si za beijing! kila kitu wanataka ubeijing, vdomodomo, wakishikishwa adabu, wanaungana kulia,

wantaka kuanzisha viti maalum ndani ya ndoa!!!!!! wataishia kumegwa na kuachwa!!!!!!
 
Babra unanijua vema nilivyokuwaga mpole, mnyenyekeevu hayo ya kurudi usiku wa manane na kumpikia ugali nimefanya saaana mpaka nilipoona hailipi. Unakumbuka nilipokuwa nakuja nalia lia hapa unatamani kunitandika na fimbo.

Sometimes wao wenyewe wanatufunza ujeuri ati!

Hivi umesha livua Pendo? au mbado unasubili Mkuyati?
 
Back
Top Bottom