Imeniuma sana

MAM'UUU ANGALILE UMWANAAA HUYOOOOOOOOOOOO...ing'waleeee zdsipala kumahame,...NIGE MUYAWE UANGALILE UMWANAA HUYOO ING'WALEEE DZSIPALA KUMAHAMEEE

ING'WALEEE DZSI PALA KUMAHAMEEE,ING'WALEE DZSIPALA KUMAHAMEEE
Geoff rudi Pugu road.
 
hujaambiwa ukae kimya, inaweza kusema kwa adabu na unyenyekevu, utasikika zaidi kuliko kumshika shati au kuchonga kama radio stereo


itapobidi niwe stereo nakuwa...huo unyenyekevu una kiac pia.
 
MAM'UUU ANGALILE UMWANAAA HUYOOOOOOOOOOOO...ing'waleeee zdsipala kumahame,...NIGE MUYAWE UANGALILE UMWANAA HUYOO ING'WALEEE DZSIPALA KUMAHAMEEE

ING'WALEEE DZSI PALA KUMAHAMEEE,ING'WALEE DZSIPALA KUMAHAMEEE

Ha!hahahaaaaaaa....hii kitu inatakiwa iwepo come 13/02.......! I love it mazee......!
 
Ha!hahahaaaaaaa....hii kitu inatakiwa iwepo come 13/02.......! I love it mazee......!
hehehehe!
nafanya liheso homuboi!....btw,mabadiliko makubwa yanafanyika chawote!.....
 
kujinyenyekeza na hata kama ametoka kunicheat, nooooo, watafuteni hao hao wanawake wa aina hiyo. nimlilie mwanaume, what foer? kwangu angepata vendetta la kufa mtu, ningemsubiria tu siku moja , walah hata kwa maji ya moto namchoma, na ukiweka na hasira ya kufiwa mwanangu tumboni sababu ya kimada wake ll! kweli inahitaji tu uwepo wa Mungu ndo ntatoa msamaha, lakini kwa moyo huu wa nyama wa kibinadamu sidhani.
 
......πŸ˜€πŸ˜€
tukiipweee tukipweeeeee tukipweeeeee eeeeh!
TUKIPWEEE MWALI VETUUU TUHELEEE NAVEEEEE

Geoff Mnaylu weye!

Hii imenikumbusha kulee Kihesa karibu na kwa semtema watu wanaposhuka pale Mlimani!
 
.....πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
lolz!balaa duniani
 
Geoff Mnaylu weye!

Hii imenikumbusha kulee Kihesa karibu na kwa semtema watu wanaposhuka pale Mlimani!
swadakta.............!

The Following User Says Thank You to Masikini_Jeuri For This Useful Post: Geoff (Today)
 
me!!! nimlilie??????naumwa,yani aniletee magonjwa,dharau,aibu,unyanyasaji zen nimlilie?you cnt be serious dude!!!!!!!!WE ARE YOUR MOTHERS,mnatakiwa mtuheshimu na kutupenda thas wat the baibo says!!!!!!!!shame on you few bull dogs men.
Quote:


unafikiri mwenzio hakufanya hivyo unavyosema? si ndio mnavyodanganyanaga kwenye kicheni pati? alikutana na mwanaume wa shoka ndio maana sasa yuko hospital na mwenzie anapata supu kwa small house.

sina ugomvi na wanawake lakini messege yangu ni kwa wanawake wanapaswa kuwa wanyenyekevu, huo usawa mnaotafuta hadi mnafokea waume zenu ndio unaowaponza na vipigo kama hivyo. jinyenyekeze na ikibidi lia, umlilie, ndio wanaume wanavyotaka, sio ufungulie kiredio chako mkulima umnanga mzee! shame on you women stereos
 
Ni PM twende sawa.....ha!ha!ha!aaa...very gud stuff!



Daaah mzee naona ma-G Klefu ya kiasili yanapanda kinoma.......!
sana tu home boi!....
VAAAKWINOMAAA AAIYEEE VAKWINOMAA HAIYEEEE!...
 
Huyo Friend wako Mungu atamponya na atatoka hospital salama, Ila akitoka Mshauri asirudi kwa huyo Mwanamme. Huyo ni mwanamme FAKE. Huwezi piga Mkeo, tena mjamzito kwa sababu ya HAWALA.. MPE POLE Mum!
 

Jamani mie leo kiti cha moto hakikaliki kabisa, nahisi kama presha inanishuka ati.

Umenikumbusha mwali wangu mmoja alikuwa analala na kisu chini ya mto- ilibidi mume mwenyewe akakiri tena kwa mchungaji ndo bibie akaitwa kwenda kuyasawazisha.
 
Hehehe zipo sana tena mno.... mm nataka nimfanyizie jamaa mmoja hivi ananiibia uswazi nataka nifunge safari kijijini nimpige bomu awe anajamba jamba ovyo ovyo akimkumbuka lazizi wangu wa uswazi.

Kijiji gani huko nasi tukajichukulie vidhibiti mwendo!πŸ˜€
 

kunyenyekea kwa mwanamke ni haki ya mwanaume ya kuzaliwa. haipaswi kuhojiwa na mamlaka yoyoyte.

halafu hizo nyau zako, nadhani hujakutana na wakurya orijino wewe...............! hawatishiwi nyau wale!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…