Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
msukuma wa MARA!...😀
Wasukuma siku hz wamestarabika! Huyo atakuwa MNYAKYUSA wa Kyela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msukuma wa MARA!...😀
hehehehe!
nafanya liheso homuboi!....btw,mabadiliko makubwa yanafanyika chawote!.....
mbavu zangu jamani!....😀😀😀😀kunyenyekea kwa mwanamke ni haki ya mwanaume ya kuzaliwa. haipaswi kuhojiwa na mamlaka yoyoyte.
halafu hizo nyau zako, nadhani hujakutana na wakurya orijino wewe...............! hawatishiwi nyau wale!!!!!!!
noted!.....😀😀Wasukuma siku hz wamestarabika! Huyo atakuwa MNYAKYUSA wa MARA/UKEREWE.
kunyenyekea kwa mwanamke ni haki ya mwanaume ya kuzaliwa. haipaswi kuhojiwa na mamlaka yoyoyte.
halafu hizo nyau zako, nadhani hujakutana na wakurya orijino wewe...............! hawatishiwi nyau wale!!!!!!!
I am so sick of this hadi hapa nilipokaa nasikia kichefuchefu.why are men so selfish? why, always, sisi hatupendi kufokewa, tunapenda kubembelezwa, kwani wanawake si watu wenye feelings? nao wanapenda kubembelezwa na kunyenyekewa the same. yani ufanye upuuzi halafu nikubembeleze kisa ndoa,si acha ikae? do you guys do the same? au nyie ni first class citizen na ladies ni second? Its high time men should change this mentality, you are dealing with human beings, with a heart of flesh. c'mon!Akili Kichwani;
Hapo kny blue......ubarikiwe, ni message nzuri sana kwa wanandoa wanaopenda ndoa zao zidumu......! Watu watakubishia hapa tu, bt that's is the fact, wanaume tuliowengi (including me), tunapenda mwanamke akufanyie hivyo! Hatupendi (tulio wengi) kufokewa na mke, tunataka kubembelezwa zaidi.......!
me!!! nimlilie??????naumwa,yani aniletee magonjwa,dharau,aibu,unyanyasaji zen nimlilie?you cnt be serious dude!!!!!!!!WE ARE YOUR MOTHERS,mnatakiwa mtuheshimu na kutupenda thas wat the baibo says!!!!!!!!shame on you few bull dogs men.
Quote:
mke ilikuwa zamani, siku hizi hakuna tofauti ya mke na demu, yote ,ademu tu, adabu kidogo sana!!
na sisi pia ni baba zenu na vidume wenu, mnapaswa kutupenda na kutulilia kama mnavyomlilia Mungu na ndivyo biblia inavyosema. yaani hata hamuoni aibu mwanamke na ngumi wapi na wapi, bebeni chuma basi mtengeneze misuli !!!!!!!!!,
mwanamke ana-command respect kwa feminine behaviour siyo kwa utyson ambao kimsingi hawezi kuumudu, hicho kichapo alichotoa broda kimepeleka salaam muafaka!!!!!!!!! safi naaaaa.
Dah nna wasiwasi na button za key board yako kama bado zipo salama!!I am so sick of this hadi hapa nilipokaa nasikia kichefuchefu.why are men so selfish? why, always, sisi hatupendi kufokewa, tunapenda kubembelezwa, kwani wanawake si watu wenye feelings? nao wanapenda kubembelezwa na kunyenyekewa the same. yani ufanye upuuzi halafu nikubembeleze kisa ndoa,si acha ikae? do you guys do the same? au nyie ni first class citizen na ladies ni second? Its high time men should change this mentality, you are dealing with human beings, with a heart of flesh. c'mon!
basi basi mama!I am so sick of this hadi hapa nilipokaa nasikia kichefuchefu.why are men so selfish? why, always, sisi hatupendi kufokewa, tunapenda kubembelezwa, kwani wanawake si watu wenye feelings? nao wanapenda kubembelezwa na kunyenyekewa the same. yani ufanye upuuzi halafu nikubembeleze kisa ndoa,si acha ikae? do you guys do the same? au nyie ni first class citizen na ladies ni second? Its high time men should change this mentality, you are dealing with human beings, with a heart of flesh. c'mon!
na sisi pia ni baba zenu na vidume wenu, mnapaswa kutupenda na kutulilia kama mnavyomlilia Mungu na ndivyo biblia inavyosema. yaani hata hamuoni aibu mwanamke na ngumi wapi na wapi, bebeni chuma basi mtengeneze misuli !!!!!!!!!,
mwanamke ana-command respect kwa feminine behaviour siyo kwa utyson ambao kimsingi hawezi kuumudu, hicho kichapo alichotoa broda kimepeleka salaam muafaka!!!!!!!!! safi naaaaa.
Wasukuma siku hz wamestarabika! Huyo atakuwa MNYAKYUSA wa Kyela.
Thats what am talking about! Lazima ukae tayari tayari wakati wote. Kama una mume anayeshiondwa kupigana na wanaume wenzie huko mitaani hata kama wakimtusi badakla yake anakuja kujipima nguvu kwa mkewe hakuna haja ya kuvumilia hadi utoke kilema au upoteze mtoto au ufe kabisa. ni kumpa naye unforgetable moja tu na then adabu itamjia, either mkubaliane muanze kuishi kwa kuheshimiana au mkoll it quit.Jamani mie leo kiti cha moto hakikaliki kabisa, nahisi kama presha inanishuka ati.
Umenikumbusha mwali wangu mmoja alikuwa analala na kisu chini ya mto- ilibidi mume mwenyewe akakiri tena kwa mchungaji ndo bibie akaitwa kwenda kuyasawazisha.
Mpendwa Akili Kichwani
wanawake wa aina hiyo unaowataka wewe wapo ila tu usiwatibue sie wote tu wanyenyekevu wazuri sana. Hata huyo aliyepigwa ni mnyenyekevu sana tu na ndo maana akaolewa yeye but huwa mnayotufanyia sometimes yanavuka mipaka tunajikuta tu tumechoka na kuyapandisha mashetani yetu ambayo tumekuwa tukiyasupress kwa muda mrefu tu. Na mpaka mwanamke akucharukie basi kuna mengi umemfanyia sasa anasema enough is enough!!
Jamani hebu treat us like queens so that we make you our kings if not princes bana!!
njoo pale mtwango tuingie NYUMBA NIITU!....
kama vile umenisoma G, am so angry na ukichangia nina vistress vya hapa na pale vya kuokosa beki tatu n so i have to come with my baby to wok, am so restlless in such a way am taking this personal. I think i need a break, may be some water will do.basi basi mama!
punguza mizuka usije ukapasua laptop ya watu hapo ofisini!
....😀😀
...😀😀Do u real no wat ur toking about?Seems ur a single parent tena ulilelewa na baba,SOMETIMES ITS BETA SAID WEN NOTHING IS SAID AT ALL.
I am so sick of this hadi hapa nilipokaa nasikia kichefuchefu.why are men so selfish? why, always, sisi hatupendi kufokewa, tunapenda kubembelezwa, kwani wanawake si watu wenye feelings? nao wanapenda kubembelezwa na kunyenyekewa the same. yani ufanye upuuzi halafu nikubembeleze kisa ndoa,si acha ikae? do you guys do the same? au nyie ni first class citizen na ladies ni second? Its high time men should change this mentality, you are dealing with human beings, with a heart of flesh. c'mon!
pumzika kidogo mama!...kama vile umenisoma G, am so angry na ukichangia nina vistress vya hapa na pale vya kuokosa beki tatu n so i have to come with my baby to wok, am so restlless in such a way am taking this personal. I think i need a break, may be some water will do.
But to be honest huyu akili kichwani na mtazamo wake, he puts me off! lert me take a break, naweza kupata pressure hapa hapa. sorry guys!