Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuangalia inawezeka nisiwe nao labda wasi wasi auPunguza wasiwasi, nenda kapime.
Well nilienda kwa show nikitumia Kinga sema baada ya show niliifuta mikono na towel nikaona sijaridhika nikapiga punyeto sijui labda apo kutokunawa umenipa vvu au stress ndo zinafanya niwe iviDuuhh nini kimetokea wiki tatu nyuma, hata Kukufanya Leo useme hivo
Mwamposa ana tibaKimbia kwa mwamposa haraka sana
So unaweza ikawa sio aidsJitahidi uwe una paka mafuta kwenye lipu
Au ni homa
Fika kwa daktari kwa uchunguzi zaidi.
Good luck 👍
Ila naona Hadi tongue imekuwa white ata sielewiJitahidi uwe una paka mafuta kwenye lipu
Au ni homa
Fika kwa daktari kwa uchunguzi zaidi.
Good luck 👍
WtF,unaweweseka kiasi hiki huku condom ulivaa je ungekuwa umeiloweka mbichi si ungeshajinyonga saa hizi?Well nilienda kwa show nikitumia Kinga sema baada ya show niliifuta mikono na towel nikaona sijaridhika nikapiga punyeto sijui labda apo kutokunawa umenipa vvu au stress ndo zinafanya niwe ivi
So ninao au Sina kwa kuangalia izo picsWtF
Yaani wewe dogo una wenge moja kali sana nakushauri achana na ngono kabisa au rudi kijijini kwenu beba mke urudi nae,ukiona unashindwa geukia hata kuwa mtawa ujue moja.
Au ni stress tuSo ninao au Sina kwa kuangalia izo pics
So kwa akili zako unadhani ukimwi mtu anapimwa kwa kuangalia lips au ulimi?So ninao au Sina kwa kuangalia izo pics
So kwa akili zako unadhani ukimwi mtu anapimwa kwa kuangalia lips au ulimi?
Kujua exactly kama unao au huna ni kupitia vipimo hospital siyo kupitia picha nenda kapime ila wewe acha ngono huiwezi. Bei za vipimo pharmacy shingapi ss
Bei za vipimo pharmacy shingapiMajibu ya ukimwi unayapata angazg/hospital sio JF.
Sema kwa akili hizo sidhani hata kama kirusi cha ukimwi kinaweza ku survive kwenye mwili wako