mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
madogo wana.nyonya k za dadapoa apo mdomo usiivishwe tu?Kama uli***mba Dada poa sina ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
madogo wana.nyonya k za dadapoa apo mdomo usiivishwe tu?Kama uli***mba Dada poa sina ushauri
Mkuu nimepima leo Sina nimeambiwa sema nimepima after 4 weeks so kipimo kipo accurateHapana sija u... zoom mkuu
Sasa si ukapime jamani, sisi tutajuaje? Kapime tu uwe na amaniImepita wiki 3 na mdomo mkavu na kidonda kidogo kwenye lip ya juu hakiumi ila Sina dalili zingine kama kuumwa kichwa au homa je na UKIMWI
View attachment 3181547
Sio vizuri ujue ndio jibu gani la kumpa mwenzakoUnao mkuu. Yenyewe kabisa
Ok, jambo la khery.....Mkuu nimepima leo Sina nimeambiwa sema nimepima after 4 weeks so kipimo kipo accurate
Alikwambia Ana ukimwi before ya sex au baada ya sexSawa kaka acha nikapime ila demu anasema anao
NdiyoImepita wiki 3 na mdomo mkavu na kidonda kidogo kwenye lip ya juu hakiumi ila Sina dalili zingine kama kuumwa kichwa au homa je na UKIMWI
View attachment 3181547
Pep ilikusaidia usipateHauna Ukimwi mm mwenzako nilishakula demu ana VVU kabisa lkn niliwahi kumeza PEp kwa uhakika zaidi
Si badaa ya wiki 4 kipimo kipo accurateOk, jambo la khery.....
Ndo jibu analotaka. We msome utagunduaSio vizuri ujue ndio jibu gani la kumpa mwenzako
Exactly 👊Si badaa ya wiki 4 kipimo kipo accurate
hongera mkuu, ila ulipaswa kurudi tena baada ya mwezi 1Wakuu nimepima leo nimeambiwa Sina vvu nimepima after 4 weeks so kipimo kipo accurate