Imeshindikana kabisa kwa bisahara za kwenye mitandao (e-commerce) kule Tanzania. Jumia, Tala, Brigter Monday wote walifungasha

Data fake

Katika nchi ambazo hazitoagi Data au statistics ukiachana na North Korea, ni Tanzania

Data au statistics yeyote mitandaon n swala la kufikirika

Hapo Kenya MNA wasanii wangapi wenye followers zaid ya 5mil Instagram ??( hii inakupa picha kamili ya soko la nyumbani

Achana na hawa 1 to 5mil, Tanzania hawahesab, wengi mno
 
Kwenye swala la E commerce Tanzania mko bado sana.I was surprised the other day ..ati you can't receive payment via PayPal in Tanzania.
Whereas in Kenya PayPal have patnership with various local banks and Mpesa.
Infact Kenyans are moving to Bitcoin Bado mko kwa barter trade😂😂
 
to me brighter monday sijawahi kuona maana yake....i can not name a single soul with a usefull experience with them....useless
 
hilo sio swala la watz kama watz,ni swala la serikali na mambo yake ya kiusalama.
kila hatua lazima ijiridhishe ndipo ivuke kuifuata,hatukimbilii mahali popote.
 
Not only PayPal.. Njia nyingi tu za malipo Tanzania haziruhusiwi, ni maswala ya kisera , chache tu zinaruhusiwa

Walioko kwenye mamlaka hawajaona umuhimu huo
 
Citibank survey released in December 2017 ranked Kenya among countries with the largest bitcoin holdings worth $1.63 billion, approximately 2.3 per cent of the GDP, behind Nigeria at four per cent of GDP.
Infact kenya launched it's first Bitcoin Atm in 2018
 
Umeongea point kubwa sana.
 
Kwa hivyo soko lenu ni la umbea, hivyo muwekezaji akifungua biashara inayohusu umbea atatusua Tanzania, kweli akili zenu mnazijua wenyewe, huwa mumekwama sana....
Ficha upumbavu wako, huo ulikuwa ni uthibitisho wa Tz internet penetration ni kubwa zaidi ya Kenya, Tz watu wanafanya SANA e-commerce, hasa hasa IG, na kampuni yoyote itakayokuja ovyo ovyo Tz bila kufanya utafiti wa nini tunataka zitafeli kama hizo na yale ma supermarket yenu.
 

Kwamba umbea ndio kiashiria cha mumetuzidi penetration, halafu bado watu wanashangaa kwanini tunawazidi kiuchumi karibia mara mbili, tatizo lenu mdebwedo na majungu, tafiti zote zinaonyesha mnaongoza sana kwenye majungu.
 
😂😂😂😂😂 Ongea mpaka uwehuke lakini hamtokaa mfike Tanzania kwenye matumizi ya internet hata muungane na SA,

Kwa hiyo kisa mnaangalia content za nje ndio domestic views zinapungua? Hivi unajisikiliza wakati unaongea? 🚮🚮🚮🚮
 
Nchi ngapi afrika zianuelewa na lugha ya kiswahili, na hyo 1bln views kaipata kw mda gani nyie kweli hamjui ku reason..

Watu hko hamna content za maana zingine za kuangalia basi ndio mumekomalia kw ayo tv
Yeye ndio binadamu wa kwanza Africa nzima aliopo kwenye sector ya media kupata 1 billion views, ninyi na media zenu za chang'aa hampo hata top million
 
Wapuuzi hao, wao ni wazee wa kukomalia kitu kimoja..we jiulize tz zaidi ya ayo tv kuna kitu gani kingine cha maana cha kuangalia km sio umbea..
Maneno ya mkosaji 😅😅😅
Hizo za udaku zinapokea dollars adsense za wazungu na home commercials, ninyi mna kipi cha kupata kutoka kwenye internet? Kuingia pornhub?
 
Sema tukupe machimbo yenye contents tofauti nyingi, kisa wewe unazijua hizo unazozijua haimaanishi zipo hizo tu.
 
Yaani idadi tu ya watanzania wanaofatilia soccer la nyumbani online ni mara 10 ya idadi yote ya wakenya wenye online devices
 
Ona ulivyo kilaza, YouTube kuna adsense watanzania wanavuna dollars, kuna domestic commercials zinalipiwa kama kwenye TV

Eti wakenya ndio wa kuwafundisha watanzania mambo ya online business, hivi kuna hata mkenya anaejua Forex? Ukitoa SA na Nigeria, Tanzania ndio kinara wa Forex Sub Africa

Yaani ninyi mpo nyuma sana kuongea na watanzania kwenye hizi issue
 
Sema tukupe machimbo yenye contents tofauti nyingi, kisa wewe unazijua hizo unazozijua haimaanishi zipo hizo tu.
Wabongo wana content gani wao niw atu wakusubiria kufanyike kitu ndio watu wapate kitu cha kuongelea..

I think hata wakati wa zari kutua hko basi kila media ni yeye tu[emoji23][emoji23]

Nyie mna nn bana wazee wa kufuata mkumbo km nyumbu tu, bora kufanyike kitu basi hamfikiri zaidi ya kukomalia hapo hapo tu
 


Apart from celebrities na content creators, watanzania wangapi wakawaida ndo wenye YouTube channels ambazo zina subscribers more than 1000?......compare that number to Kenyans doing freelance work online.?.......hapo kwa forex trading ata usiguse...ati second after south Africa...hahaa.
There is a reason why global brands like MasterCard,Visa ,PayPal etc have a huge presence in Kenya .
 
Bwahaha!!wakenya hatukomai na kitu kimoja jomba, kila mahali tupo..

Nyie komaeni na jf tu[emoji23][emoji23]
 
Yeye ndio binadamu wa kwanza Africa nzima aliopo kwenye sector ya media kupata 1 billion views, ninyi na media zenu za chang'aa hampo hata top million
Inamaana hata south afrika pia mumewashinda kw internet penetration[emoji23][emoji23]
Wazee wa kukomalia kitu kimoja km nyumbu, kwn bongo zaidi ya ayo tv kuna kipi cha maana kw mfano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…