Msuli wa mbu
Senior Member
- May 4, 2021
- 146
- 485
Huwezi kum-train mtu uzalendo, hasa mtu mwenyewe awe mbongo...., Ni ngumu Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tunapenda starehe sana.Sisi ni watu ambao tunachukia tu kuona mtu kaendelea
Kwani dubai world ni training college au ni chuo ki kuu, kwanini tunapenda sana kuonewa huruma eti wa train hawana kazi za kufanya kuliko kuangaika na watu walio shindikana tuna vyuo vikuu vingapi hapa nchini?Huwezi kum-train mtu uzalendo, hasa mtu mwenyewe awe mbongo...., Ni ngumu Sana.
Umesema ukweli jambo muhimu ni kuboost local economy ili muzunguko uwe juu, biashara iwe rahisi kufanyika dollar ishuke pesa yetu ipande thamani, ila kuhusu government revenues tuachie wenye mamalaka waendeshe v8 zao wajenga majumba waende tuwa za nje nk.Kwa mfano hata Mwarabu akitupa mgao wetu wa Bandari hizo fedha zitakuwa zikipigwa juu kwa juu, na CAG atakuwa daima analalama tu kila siku, ndio maana mimi I don't care about mkataba ninachoangalia ni mizigo ikiwa mingi local economy itafaidika.
Hata fedha za Migodi zimejengewa Airport maporini wakati Uwanja wa Ndege wa Bukoba hata taa hauna, wanaenda kununua Madege makubwa huku wanajua kabisa kuwa soko la usafiri wa anga hatuliwezi ndege zinapaki wanaagiza zingine wanachojali ni upigaji..Umesema ukweli jambo muhimu ni kuboost local economy ila muzunguko iwe juu, ila government revenues tuwachie wenye mamalaka waendeshe v8 zao wajenga majumba nk.
Ikulu tulijenga wenyewe na inahadhi ya kiwango cha kupigiwa mfano mnaita kimataifa. Madini tumeshindwa kuwekeza, gas tumeshindwa, makaa ya mawe tumeshindwa hata bandari tumeshindwa kisa uvivu, mawazo mgando na roho ya kushindwa, wizi (umimi) na kutojitoa kwa ajili ya wengine.Barabara anapewa mkandarasi
Airport kujengwa anapewa mkandarasi
Bandari imejengwa na wakandarasi
Bunge limejengwa na wakandarasi
Sisi watanzania tumelewa na vyakupewa na kufanyiwa ifike muda tufanye kila kitu wenyewe.
Wabongo ukiwaachia kitengo wanawaza upigaji kupeana tenda na kuweka ndugu zao kitengo........ Acha ipite kama miaka 20 wabongo watakua na akili za kuwajibika,,, kuna kizazi cha wapigaji lazima kipite kwanzaWao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hiyo knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu?
Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao.
Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.
Raia wengi tu wangependa kuona kampuni binafsi zikiendesha sekta nyingi katika nchi, sio bandari tu bali hata TANESCO, treni, stendi za mabasi, masoko n.k kinachopigiwa kelele hasa ni terms za mikataba na hao wawekezaji na jinsi mchakato ya ubinafsishaji inavyopelekwa na kuacha maswali mengi zaidi yasiyojibiwa.Watanzania hawawezi endesha kitu
Angalia TTCL, TRC, ATCL, DAWASA
Kisha angalia
Azam, METL, Azania, GSM,
Huu ni usemi wa kipumbavu. Kwa nini unataja Watanzania badala ya genge lilillong'ang'ania kwa nguvu uongozi wa taifa hili kwa miaka nenda rudi? Genge ambalo limejimilikisha hatma ya nchi kwa mabavu kwa miaka nenda rudi.Watanzania hawawezi endesha kitu
Angalia TTCL, TRC, ATCL, DAWASA
Yaani Dpworld badala ya afanye biashara aje afanye trainings....
Alikwambia Nani wao Dp world ni training centre??
Mijitu mingi inayolalalma humu inafikiri hao Dp world ni kikundi cha waarabu wawili watatu...
Ukiwaambia mbona wanaendesha bandari USA Hadi China na ujerumani na UK...hawanga majibu
Hayo yote kuafaida mpaka ya pewe wawekazeji wa nje uzoefu wa hio biashara soon au later ATCL ndo shirika lingine litakalo kabidhiwa kwa wawekezaji, kwasbb halileti faida kwa taifa zaidi ya hasara kila mwaka .......Tanzania hatuna wizara ya economic strategic planning, ukijiuliza kwanini mwenda zake kwa kamwanga zaidi ya 2trion shilling kwenye shirika la ndege lisio leta faida kwa taifa. Hiyo pesa ingewekezwa kwenye agriculture schemes tungekua mbaliHata fedha za Migodi zimejengewa Airport maporini wakati Uwanja wa Ndege wa Bukoba hata taa hauna, wanaenda kununua Madege makubwa huku wanajua kabisa kuwa soko la usafiri wa anga hatuliwezi ndege zinapaki wanaagiza zingine wanachojali ni upigaji..
Tufikie wakati tukubali kuliwa ili tule, ila mkataba unaboa.
Sababu zake ni hizi kama ifuatavyo:Wao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hiyo knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu?
Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao.
Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.
Upigaji !Ndio imeshindikana Sasa kwani hiyo Bandari si imekuwa inasumbua sua kwa miaka zaidi 60 Sasa hakuna jipya?
Kwanza Kuna sekta gani ambayo Tanzania inafanya Kwa ufanisi? Kuanzia sekta za biashara Hadi Huduma za jamii ni hovyo tuu..
Kote huko Kuna Wataalamu waliobobea ila hulka na tabia za Watzn ndio shida tupu.
Tatizo letu sio kuwa watu hawakuwa trained kwa hizo kazi bali watu sio waadilifu tu !!Sababu zake ni hizi kama ifuatavyo:
MOSI: Ni kwa sababu kwa sasa tunapata takribani tuseme TRILLION X kutoka Bandani wakati wao wakija, tutaptya possibly zaidi ya mara kumi (10X) ya hizo huku na wao wakipata pia
PILI: Katika hali ya kawaida, Serikali huwa haifanyi biashara na hivyo haina SPECILALIZATION kwenye eneo fulani la biashara. Kwa hiyo chances ni kwamba DP WORLD wakitu-train na kutuacha tuendelee, pato letu bandanrini linaweza kupanda labda kutoka X na kufikia 5X na si 10X kama inavyokisiwa sasa
TATU: DP WORLD wao ni Kampuni ambayo IME-SPECIALIZE kwenye maswala haya ya Bandari katika ngazi ya KIMATAIFA. Watakapokuja kuwekeza na kupandisha pato letu bandarini hadi kufikia 10X, hapo hapo na wao pia watakuwa wanapata faida kwenye uwekezaji huo
Na kwa sababu wewe pia unajua kuchagua, nadhani unaweza kusema ni optioni ipi kati ya hizi tatu ambayo inaweza ikatufaa zaidi
- Kwa hiyo kwa kifupi, DP WORD wakiwekeza, sisi tutapata 10X badala ya X ya sasa, na wao pia watapata
- DP WORD wasipowekeza, tutaendelea kupata X kutoka bandarini
- Aidha DP WORD wakitufanyyia trainining tu bila wao kuwekeza, pato letu bandanrini linaweza kuwa tuseme 5X badala ya 10X