Imetafsiriwa na Derrick Gasper Mkandara Rufufuuuuuu

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Enzi hizo ulikua ukisikia "Wapeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwa, mukandara rufufu videotek iliyopo katika jiji la daresalama inakuletea muvi ya Masokorindo (Deadly Prey)"

Kinachofuata hapo ni uongo uongo tu kwenda mbele halafu mwisho anamalizia "Imetafsiriwa na Rufufuuuuuuuuu Rokobhambabheja"πŸ˜…πŸ˜…

Jamaa alikua anatfsiri uongo sema anainogesha muvi hadi unaipenda. Kuna muvi moja jamaa alisema Get out Rufufu akasema "Nitakumaliza mara moja"πŸ˜‚

 
Enzi hizo ulikua ukisikia "Wapeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwa, mukandara rufufu videotek iliyopo katika jiji la daresalama inakuletea muvi ya Masokorindo (Deadly Prey)"
Enzi izo kina Dj Murphy hatuwajui
 
Nilipomjua Dj mack nilipenda utafsiri wake nikaachana na rufufu. Hao madj wa arusha hata siwaelewagi.
Naitwa DJ mark kuku ngwendo wa zabanga aka jogoo
Napatikana Mtoni mtongani karibu na bank ya BOA

Leo nakuletea muvi inaitwa zombiz town,Hatari wanaumeeeeeee!!! Wanakuuuuujaaaa!!

Jamaa ana sauti nzuri ya kutafsiri

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Nilipomjua Dj mack nilipenda utafsiri wake nikaachana na rufufu. Hao madj wa arusha hata siwaelewagi.
Kwanza nimecheka namna ulivyo wasilisha uzi wako (masokorindo) kiukweli Lufufu alifungua njia ya ridhiki kwa vijana kuhusu hii sanaa. Huyo Dj Mack pia muongo sana ukimfuatilia kuna jamaa anaitwa Babuu Dj huyu anapita kwa kile kinacho onyeshwa. Mwisho wa yote acha waendelee kutoa burudani.
 

...ni kwa mara nyingine tena dj mack aka kidume nawaletea dubawana hili hapa linaitwa Van Helsing
Wanakuuuuuuuja anaume
Namkubali sana mwamba, muvi ya Kwanza kuiona ametafsiri yeye inaitwa Bear. Nilipenda utafsiri wake rufufu simpendi sababu alikua anakelele halafu anatfsiri matukio sio maneo. Nilipokuja kumuonadj mack nikaww disappointed kweli muonekano na sauti tofauti kabisa. Inaonyesha jamaa ni mgida keivant mzuri sana

Bila dj mack inawezekana tusngezijua muvi za mazombi + Mavampaya
 
Naam kupitia yeye watu wamejiajiri wengi sana. Shida rufufu alikua anatafsiri muvi za kichina na kivita tu tena zile za zamani kabisa. Unaweka li VHS lako hapo linakoroma balaa kwaliti mbaya
 
Ukute picha ni la kivita kama Missing in action ya Chuck Norris, hapo ndio imetafsiriwa na Lufufu, balaa lake sio la nchi hiiπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Ukute picha ni la kivita kama Missing in action ya Chuck Norris, hapo ndio imetafsiriwa na Lufufu, balaa lake sio la nchi hiiπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Akamuingiza kwenye "akanyampasira" unanipeleka wapi nakupeleka kwenye kisima cha ma...... mbaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… yaani hapo hadi watu ukumbini tunaitikia kisima cha ma-mba.
No retreat No surrender 2 hiyo
 
DJ mark bonge Fulani hivi ..nafanana sn na Mzee yusuph

Nilikuona kwenye interview Fulani na Wasafi TV anasema enzi anatafsiri kabla ya madj wengi kuvamia fani alipiga sn hela za wahindi,sasa ana bajaj kibao na nyumba kadhaa alizopata kutokana na kutafsiri.Jamaa kapicha pesa sn za wadosi kariakoo kuliko hata huyo kanumba wa bongo muvi..wabongo walimkubali sn zile enzi
 
Nimesahau hilo jina la Kapten bwana, muongo sana huyu jamaa. Kwenye Deadly Prey alituaminisha yule lieutenant anaitwa Masokorindo (mavi ya kuku) πŸ˜…
Jamaa fiksi sana yule,alitudanganya ile movie ya commando ya Anord Shwazneger yule jamaa black alikua hacheki anaitwa Massawe kumbe jamaa anaitwa Bill Duke.
 
Nilipomjua Dj mack nilipenda utafsiri wake nikaachana na rufufu. Hao madj wa arusha hata siwaelewagi.
Wa Arusha namuelewa ni Dj Ommy. Nisiemuelewa kabisa ni Baba Mirinda, jamaa kapooza yule, fani kama hizi inatakiwa uchangamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…