Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
Nampenda yule dj wa Arusha alitafsiri season ya Merlin hatari kabisa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Back in dayz asee....lufufu kwa wazungu...Nigeria unakutana na Anko msafiri [emoji2][emoji2][emoji2]Enzi hizo ulikua ukisikia "Wapeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwa, mukandara rufufu videotek iliyopo katika jiji la daresalama inakuletea muvi ya Masokorindo (Deadly Prey)"
Kihindi pia alikuepo Turkey Aziz ni[emoji95][emoji95]Juma Khan au chikongwe. Huyu mwamba namkubali sana kwenye movie za kihindi. Tatizo YouTube hazipatikani kabisa [emoji848]
Sure
Picha likiwa kwenye root za mwanzo mwanzo, ololo yaye....Manzi anasema kuvunjwa ulolo ndio kitu anataka!
basi nabila shaka picha letu Nikatika roooooooot za maiiiiintrooooductiooooon katika holoo senema!
Kalinya mpaka leo nalitumia...kuna maneno mengi sana.Mjusi Konkobe 😀 😀 😀 😀Ila lufufu kwenye fani ni Kama Bob Marley na reggae jamaa kahasisi fani ya utafsiri movie.
Maneno Kama Kanyabazongo... Kaliiinya!..
Yule alikuwa ni Kaptein wa jeshi JWTZ,mstaafu,muvi za kivita alikuwa anazielewa vzr,na kizungu Ili ukitafsiri vizuri,usitafsiri neno kama neno moja kwa moja,utapoteza maana.Enzi hizo ulikua ukisikia "Wapeeeenzi watazamaji ndugu zangu wapendwa, mukandara rufufu videotek iliyopo katika jiji la daresalama inakuletea muvi ya Masokorindo (Deadly Prey)"
Kinachofuata hapo ni uongo uongo tu kwenda mbele halafu mwisho anamalizia "Imetafsiriwa na Rufufuuuuuuuuu Rokobhambabheja"😅😅
Jamaa alikua anatfsiri uongo sema anainogesha muvi hadi unaipenda. Kuna muvi moja jamaa alisema Get out Rufufu akasema "Nitakumaliza mara moja"😂
View attachment 1992356