PLAN B VERYFIED
Senior Member
- Aug 10, 2023
- 169
- 589
Kwenye msiba alikuwa anacheka tuKuondokewa na rafiki wa karibu sio mchezo.Ukimuona mtu anaongea kwenye msiba wa rafiki wa karibu,ujuwe ana moyo mgumu na amejikaza sana.
Hakuna kumwacha mpaka aingie kaburini, yeye alihakikisha EL hatoboi hadi kaburini kwa nini hakumwacha Hadi kaingia kaburini?Duh
Mwacheni mzee JK bhana!
Kwamba anafurahi akimkata mamvi.Kwenye msiba alikuwa anacheka tu
Teh teh hiyo sijui mkuu ila nilimwangalia katika safu ya wageni alikuwa yupo Normal na anaongea na kuchekaKwamba anafurahi akimkata mamvi.
Watanzania gani unatesemea, kama Jk alisababisha ENL asiwe raisi basi kwahilo Moja alitutendea wema watanzania. Maana kama alimkata Fisadi mwenzie asiwe raisi basi nijambo jema nalakupongezwa.Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
Mbona umetaharuki sana na kufoka kwa maandishi?Be easy!Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?
Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?
Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.
Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;
Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?
Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.
Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?
Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.
Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?
The story is myth , it never happened but it happens always !
JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !
Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .
JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?
Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .
JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu
Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Haya yooote yanayosemwa juu ya Kikwete na Lowassa yasingesemwa iwapo Kikwete angetuongoza kupata katiba mpya yenye kuwapa wananchi uhuru wa kuchagua viongozi wake pasi na kutegemea nguvu ya dola ambayo inamilikiwa na rais. Hata Lowassa mwenyewe, pengine angepigania tuwe na katiba nzuri, asingekosa urais 2015. Tumepata fundisho gani? Hizi ni lawama za kujitakia, wacha watu wamkaange!
Kariri kariri mwana Tanzania, kariri kariri kama kasuku kwani siyo kosa lako, ni kosa la mfumo uliopitia kusoma.Katiba mpya ni MCHAKATO
Me sijali nan kawa nan ila my concern ni hapo uliposema kwenye reputation, Yan ukiongelea reputation kuharibika ccm haiogopi hicho labda kama kuna sababu zingine, kama ingekuwa inaogopa kuharibu reputation yake leo hii paulo angekuwa gerezani au angekuwa hayupo kwenye inner circle ya raisi wa nchi hii, nachoweza kusema ni kwamba mtu yeyote ataeweza kuwa na maslai mapana ya mtu aliepo madarakani au aliekuwepo madarakan ana uwezekano mkubwa wa kuwa kiongozi nchii hii and the loop is infinity, na hapa ndio upuuz wa vyama vya siasa kwenye hii nchi…Na hii yote ni sababu ya katiba mbovu , kwa katiba hii iliopo, hii nchi itaongozwa na ukoo wa kina kikwete na rafiki zake wa karibu au nasema uongo mzee, ?
Nakawaambiwa waandamane hawakuandamana enzi za UKUTA.Kama watanzania mliamua mbona hakuwa Rais sasa? Si aligombea kupitia CDM?