Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
JK alisemwa kwenye msiba wa Magufuli na Sasa wa Lowassa ajitafakali
 
Memorization has hindered you to achieve a deep understanding and critical thinking skills of what you have learned in school. As such you always focuse on repetition rather than comprehension. Sioni ajabu ukisema ni mchakato kwa sababu unarudia tu ulichosikia. Kwa taarifa yako hata kula ni mchakato...

Noted
 
JK alijua hakika kuwa EL akiwa rais, bas kipindi cha miaka 10 cha uongozi wa EL kungefanyika makubwa sana ambayo yeye hata kama angekaa miaka 30 asingeweza kuyafanya.

JK alimjua EL kuwa ni mtu asiyeendekeza ufanyaji kazi kwa mazoea na ushikaji wa kizembe kama wake.
EL alikuwa ni mtu anayejali zaidi "weredi" kuliko ushikaji kama huyo mswahili.
Elimu.
Elimu.
Elimu.

JK hakuwa tayari azidiwe umaarufu (kama rais mstaafu) na EL akiwa rais mstaafu.
JK aliamini kabisa kuwa EL akiwa rais basi angefanya makubwa kiasi kwamba yeye angeonekana ni rais wa hovyo kupata kutokea Tanzania.

Street words
 
JK kosa lake ni moja tuu
Kukata jina la Lowasa basi
Hakuwa na sababu za msingi za kumkata Lowasa wala Lowasa hakuitaji favour ku campaign urais wake ndio mana alishinda hata alipokuwa chadema lakini wakapindua matokeo

Ndio maana JPM alimuheshimu sana Lowasa sababu alijua kuwa Lowasa alishinda uchaguzi

Hawezi

It was team work .
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Kuna mtu anamlaumu Kikwete kwa kumkata Lowasa kwenye uraisi mkuu? Hoja inayojengwa ni Kikwete kuwa mnyima wa fadhila alizopata kwa Lowasa hata kufikia kuwa raisi. Alikuwa na nafasi ya kuendelea kutunza urafiki wao bila kuhusisha na nafasi za uongozi wa nchi. Hili la kuongoza nchi sio jambo la kirafiki, ni jambo la mtu mmoja mmoja. Kuna taarifa kwamba baada ya mwenzake kukiuzulu katika skendo ambayo ilisukwa vizuri ikasukika, JK aliamua kuwa adui wa kudumu wa Lowasa na kupambana naye hata nje ya mfumo. Jamaa hata wakati ndugu yake na rafiki yake huyu akipitia magumu hakuwahi angalau kwenda kumpa pole ya afya. Hii roho ngumu na mbaya ndicho wanachohoji watu na Wala sio mambo ya uraisi.
 
So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .

Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?

Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine
Kanuni ya mahusiamo ya kijamii inakataa maandishi yako haya. Pole sana Jk. Yaani mtu unayekiri alikuja nyumbani kukushawishi ugombee uraisi anaumwa alafu usio haja ya kwenda kumpa pole kweli?
 
Hayo ni maneno ya siasa

Hakuna ushikaji wowote kati ya Edo na JK

NDIO nakupa siri

Rafiki wa kweli ule wa kiushikaji kabisa wa long time wa JK ni Ditopile tu

Huyo ndio rafiki wa kweli waJK
Mkuu mbona unakana kauli zako mwenyewe. Ziko clips kibao Kikwete akikiri kwa kinywa chake kwamba lowasa likuwa zaidi ya ndugu kwake.
 
Nadhani baadhi ya watanzania hasa hili kundi la mitandaoni hawako objective na hawajielewi wanataka nini.

Nj watu wa mihemko na matukio. Hawana kumbukumbu, hawana kanuni Wala itikadi wanayoiamini!
Kila kinachopumbaza nafsi zao Wanakiendea.

Kundi hili lina-mmiss Magufuli, LAKINI wkati huo huo linajifanya kulaani kukatwa kwa Lowassa.

Hivyo vitu ni mutually exclusive! Huwezi vipata vyote!
Magufuli na Lowassa wasingeweza kuwa Marais wakati mmoja!
Mnajufanya kuchukia ufisadi, halafu mnamkumbatia fisadi namba 1 according to CHADEMA's list of shame!
Enyi wehu nani amewaroga?
 
Tangu Lowassa afe, maneno yote mabaya yanaenda kwa JK , kwenye jamii yako iliyokuzunguka kama haikukubali au haikuoni unafaa kwenye jambo fulani kuna tatizo?

Who is lowassa by the way kwenye nchi hiyo kwamba ilitakiwa ni lazima aje kuwa Rais wa JMT?

Lowassa hakuonekana kama ana maadili ya kuwa Rais, Jamii iliyomzunguka ndio ilimuona HAIFAI tangu na baada.

Suala la kumuondoa Lowassa halikuwa ni maamuzi ya JK binafsi. yalikuwa ni maamuzi ya Inner Circle na JK hana uwezo wa kumuahidi mtu nafasi kubwa kama hiyo yenye maamuzi ya wengi ni ujinga kuona hata wasomi wanaimba wimbo wa usaliti;

Chadema pia ilimkataa lowassa first hand na wao ndio walisema CCM inaenda kumsimamisha FISADI, au tuweke ushahidi?

Mlitaka kamati ya CCM ipoteze reputation kumsimamisha lowassa? He is just a human na kufa kila mtu atakufa na kifo sio ishara ya huruma.

Kwamba JK alimsaliti lowassa kwani nafasi ya Urais ni ushikaji au ni nafasi ya familia ? Anatoa tu subjectively !?

Kuwa Rais ni competency na acceptance ya watu wako , Lowassa was destined to be the president that never was.

Kumlaumu JK kwa failure ya Edo ni sawa na kumlaumu Shetani kwenye mythical story ya Adam na Eva kwenye imaginary garden. If it was meant Adam na Hawa waishi kwenye garden , kwanini serpent the deceiver nae akawa sehemu ya garden?

The story is myth , it never happened but it happens always !

JK aachwe na hana kosa wala baya, na hakuwa anamtaka hata huyo JPM, that should tell kuwa hata angetaka lowassa apite, the inner cycle ilishasema NO !

Jk had to respect the agreed decision or else arudishe kadi ya CCM, simple like that .

JK this JK that , by the way kwani lowassa ni Nani? Si ni mtu kama watu wengine waliowahi kuutaka urais na kuukosa, anatofauti gani na hao ?

Yaani unautaka Urais kwa kutegemea favor za mtu fulani, he was supposed to fight for his own course na sio ushikaji sijui tumetoka mbali, it never worked that way .

JK hana baya na azidi kuishi maisha marefu

Mkafanye kazi sasa ; lowassa wa watu kaenda zake kwa amani apumzike.
Umesema kweli. Hata mimi nimetoka mbali na mwendazake edo. Urais sio kitu utanunua au kupata kishikaji. Jk tumwache badala yake tumpe pole na pongezi.
 
Sasa wewe ndo msemaji wa kikwete au? Kama familia ya Edo inamwona kikwete kuwa ni msaliti na ika mnyima fursa ya kutoa neno msibani wewe N nani ubishe harafu unaumia nini kikwete akisemwa,? Kama ufisadi wote walikuwa wezi na mafisadi wakubwa . Ila kikwete ni msalitiiiii
 
Yaani nyinyi wapambe wa Lowasa mmeshafanya Urais ni cheo cha kupeana kiushkaji. Kwamba mtu akiwa rais basi akitaka rafiki, ndugu au mtoto wake awe rais, lazima itokee. Kwa mtazamo wenu Kikwete alimtaka Membe awe Rais, mbona Membe hakushinda hiyo nafasi ya kugombea Urais?

Tuambieni hapa chanzo cha utajiri wa kutupwa wa Lowasa ambaye alikuwa ni mtumishi wa uma ni kipi? Tuambieni huo usafi wa Lowasa ni upi? Yaani hii nchi kuna hulka ya kijinga sana ya wengi kuwa wapambe wa viongozi bila ya kuweka mbele maslahi ya Taifa letu. Tunajua viongozi wengi wa CCM ni wezi na wengi hugombea hizi nafasi za juu ili wajitajirishe na kutajirisha watu wao wa karibu.
 
([emoji1621] na mwandishi wetu wa kwenye misiba ya viongozi)

MSIBA umemalizika na kilichobaki kwa sisi tunaomini YESU ni Mwokozi na Mlinzi wa maisha yetu tunajukumu la kuiombea familia ya Lowassa ili Mungu awape amani na awaangazie fadhili na nuru za uso wake.

Kamati iliyopanga ratiba kule Monduli mna nafasi yenu peponi na hakika Hayati Lowassa atakuwa anafuraha sana huko aliko kwa kuwa MLIKATAA UNAFIKI NA KUFYEKELEA MBALI OMBI NA JINA LA JAKAYA KIKWETE kuwekwa kuwa miongoni mwa watu wa kuongea kwenye mazishi yale.

Mmefanya jambo la maana sana na hili mtalipwa na Mungu na mmemtendea sawa sana Hayati Lowassa kwa kuwa kukubali mtu huyu kuongea kwenye mazishi yake wakati alimtendea mambo machafu sana wakati wa uhai wake na kushindwa hata kwenda kumuona akiwa mgonjwa mngekuwa mnamkosea sana Mzee Lowassa na angefadhaika sana huko aliko.

Hiki mlichokifanya ndiyo maana halisi ya farsafa ya UBAYA UBAYA TU. Yaani hauwezi ukamtendea vibaya mtu akiwa hai halafu ukataka usubiri amekufa ndiyo uende kujikosha kuwa eti alikuwa


Huyu mwandishi yeye anao ushahidi usio na shaka kwamba Family iliondoa jina?
 
Uko sahihi Mkuu!
Nadhani wamwache Mzee wa Msoga astarehe!
Nimpongeze kwa uvumilivu wake!
Alipokuwa Rais alisemwa kwa mengi, kwenye kifo cha JPM walimsema sana!
Na sasa kwenye kifo cha ENL wanamsema tena!

Jamani mwacheni astarehe kwa amani!
Rais anachaguliwa na Mungu hachaguliwi na mwanadamu!
 
Back
Top Bottom